12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Lakini jibu lao ni “Mtuonyeshe kutoka katika Neno la Mungu kosa letu”. Wale<br />

walioshitakiwa mbele <strong>ya</strong> baraza wanafan<strong>ya</strong> ushuhuda wa nguvu wa ukweli, na wengine<br />

wanaowasikia huongozwa kwa kukata shauri la kushika amri zote za Mungu. Kama sivyo<br />

maelfu hawangeweza kujua kitu juu <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kweli.<br />

Utii kwa Mungu ungetendewa kama uasi. Mzazi atatumia ukali kwa mtoto mwenye<br />

kuamini. Watoto wataondolewa katika urithi na kufukuzwa kutoka nyumbani. “Na wote<br />

wanaotaka kuishi maisha <strong>ya</strong> utawa katika Kristo Yesu watapata mateso”. 2 Timoteo 3:12.<br />

Kuwa kama wateteaji wa ukweli wanapokataa kuheshimu siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />

wengine wataingizwa gerezani, wengine watahamishwa, wengine watatendewa kama<br />

watumwa. Kwa namna roho <strong>ya</strong> Mungu atakavyoondolewa kutoka kwa watu hapo kutakuwa<br />

maendeleo <strong>ya</strong> kigeni. Moyo unaweza kuwa na jeuri sana wakati uchaji wa Mungu na upendo<br />

<strong>ya</strong>napoondolewa.<br />

Machafuko Yanakaribia<br />

Kwa namna machafuko <strong>ya</strong>navyokaribia, jamii kubwa <strong>ya</strong> walioungama imani katika<br />

ujumbe wa malaika wa tatu, lakini hawakutakasiwa kwa njia <strong>ya</strong> utii kwa ukweli, wataacha<br />

nia <strong>ya</strong>o na kujiunga kwa upinzani. Kwa kujiunga pamoja na ulimwengu wamefikia kuona<br />

mambo karibu <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong> namna moja, na wanachagua upande wa watu wengi. Watu ambao<br />

kwanza walifurahi katika ukweli wanatumia kipawa chao na hadizi za kupendeza kwa<br />

kuongoza viba<strong>ya</strong> roho. Wanakuwa adui wakali wa ndugu zao wa kwanza. Waasi hawa ni<br />

wajumbe wa nguvu wa shetani kwa kueleza viba<strong>ya</strong> na kushitaki wanaoshika Sabato na<br />

kuchochea watawala kwa kuwapinga.<br />

Watumishi wa Bwana wametoa onyo. Roho <strong>ya</strong> Mungu imewalazimisha.<br />

Hawakushauriana na faida zao za mda, wala hawakutafuta kulinda sifa <strong>ya</strong>o ao maisha <strong>ya</strong>o.<br />

Kazi inaonekana kuwa mbali kabisa na uwezo wao kuitimiza. Kwani hawawezi kurudi<br />

nyuma. Kuona uzaifu wao, wanakimbilia kwa Mwenye Uwezo kwa kutaka nguvu.<br />

N<strong>ya</strong>kati mbalimbali katika historia zimeonyeshwa na maendeleo <strong>ya</strong> ukweli wa kipekee,<br />

uliofanyizwa kwa mahitaji <strong>ya</strong> watu wa Mungu kwa wakati ule. Kila ukweli mp<strong>ya</strong> umefan<strong>ya</strong><br />

namna <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> upinzani. Mabalozi wa Kristo wanapashwa kufan<strong>ya</strong> wajibu wao na kuacha<br />

matokeo kwa Mungu.<br />

Upinzani Umeongezeka kwa Kimo Kip<strong>ya</strong><br />

Jinsi ushindani umeongezeka kwa nguvu nyingi; watumishi wa Mungu wanahangaika<br />

tena, kwani inaonekana kwao <strong>ya</strong> kama wameleta taabu. Lakini zamiri na Neno la Mungu<br />

vinawahakikishia <strong>ya</strong> kama mwenendo wao ni wa haki. Imani <strong>ya</strong>o na uhodari umeongezeka<br />

pamoja na ujushi. Ushuhuda wao ni “Kristo ameshinda nguvu za dunia, je, tutaogopa<br />

ulimwengu uliokwisha kushindwa”?<br />

248

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!