Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Lakini jibu lao ni “Mtuonyeshe kutoka katika Neno la Mungu kosa letu”. Wale<br />
walioshitakiwa mbele <strong>ya</strong> baraza wanafan<strong>ya</strong> ushuhuda wa nguvu wa ukweli, na wengine<br />
wanaowasikia huongozwa kwa kukata shauri la kushika amri zote za Mungu. Kama sivyo<br />
maelfu hawangeweza kujua kitu juu <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kweli.<br />
Utii kwa Mungu ungetendewa kama uasi. Mzazi atatumia ukali kwa mtoto mwenye<br />
kuamini. Watoto wataondolewa katika urithi na kufukuzwa kutoka nyumbani. “Na wote<br />
wanaotaka kuishi maisha <strong>ya</strong> utawa katika Kristo Yesu watapata mateso”. 2 Timoteo 3:12.<br />
Kuwa kama wateteaji wa ukweli wanapokataa kuheshimu siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />
wengine wataingizwa gerezani, wengine watahamishwa, wengine watatendewa kama<br />
watumwa. Kwa namna roho <strong>ya</strong> Mungu atakavyoondolewa kutoka kwa watu hapo kutakuwa<br />
maendeleo <strong>ya</strong> kigeni. Moyo unaweza kuwa na jeuri sana wakati uchaji wa Mungu na upendo<br />
<strong>ya</strong>napoondolewa.<br />
Machafuko Yanakaribia<br />
Kwa namna machafuko <strong>ya</strong>navyokaribia, jamii kubwa <strong>ya</strong> walioungama imani katika<br />
ujumbe wa malaika wa tatu, lakini hawakutakasiwa kwa njia <strong>ya</strong> utii kwa ukweli, wataacha<br />
nia <strong>ya</strong>o na kujiunga kwa upinzani. Kwa kujiunga pamoja na ulimwengu wamefikia kuona<br />
mambo karibu <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong> namna moja, na wanachagua upande wa watu wengi. Watu ambao<br />
kwanza walifurahi katika ukweli wanatumia kipawa chao na hadizi za kupendeza kwa<br />
kuongoza viba<strong>ya</strong> roho. Wanakuwa adui wakali wa ndugu zao wa kwanza. Waasi hawa ni<br />
wajumbe wa nguvu wa shetani kwa kueleza viba<strong>ya</strong> na kushitaki wanaoshika Sabato na<br />
kuchochea watawala kwa kuwapinga.<br />
Watumishi wa Bwana wametoa onyo. Roho <strong>ya</strong> Mungu imewalazimisha.<br />
Hawakushauriana na faida zao za mda, wala hawakutafuta kulinda sifa <strong>ya</strong>o ao maisha <strong>ya</strong>o.<br />
Kazi inaonekana kuwa mbali kabisa na uwezo wao kuitimiza. Kwani hawawezi kurudi<br />
nyuma. Kuona uzaifu wao, wanakimbilia kwa Mwenye Uwezo kwa kutaka nguvu.<br />
N<strong>ya</strong>kati mbalimbali katika historia zimeonyeshwa na maendeleo <strong>ya</strong> ukweli wa kipekee,<br />
uliofanyizwa kwa mahitaji <strong>ya</strong> watu wa Mungu kwa wakati ule. Kila ukweli mp<strong>ya</strong> umefan<strong>ya</strong><br />
namna <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> upinzani. Mabalozi wa Kristo wanapashwa kufan<strong>ya</strong> wajibu wao na kuacha<br />
matokeo kwa Mungu.<br />
Upinzani Umeongezeka kwa Kimo Kip<strong>ya</strong><br />
Jinsi ushindani umeongezeka kwa nguvu nyingi; watumishi wa Mungu wanahangaika<br />
tena, kwani inaonekana kwao <strong>ya</strong> kama wameleta taabu. Lakini zamiri na Neno la Mungu<br />
vinawahakikishia <strong>ya</strong> kama mwenendo wao ni wa haki. Imani <strong>ya</strong>o na uhodari umeongezeka<br />
pamoja na ujushi. Ushuhuda wao ni “Kristo ameshinda nguvu za dunia, je, tutaogopa<br />
ulimwengu uliokwisha kushindwa”?<br />
248