Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 38. Ujumbe wa Mungu Ulio wa Mwisho<br />
“Nyuma <strong>ya</strong> maneno ha<strong>ya</strong> nikaona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, mwenye<br />
mamlaka kubwa; na dunia ikangazwa kwa utukufu wake. Akalia kwa sauti kubwa, akisema:<br />
Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkubwa, umekuwa makao <strong>ya</strong> mashetani, na boma la kila<br />
pepo mchafu na boma la kila ndege mchafu mwenye kuchukiza;<br />
Na nikasikia sauti nyingine toka mbinguni ikisema: Tokeni kwake, watu wangu,<br />
musishirikiane na zambi <strong>ya</strong>ke, wala musipokee mapigo <strong>ya</strong>ke”. Ufunuo 18:1,2,4. Matangazo<br />
<strong>ya</strong>liyofanywa na malaika wa pili <strong>ya</strong> Ufunuo 14 (fungu 8) ni <strong>ya</strong> kukaririwa, pamoja na mtajo<br />
mwingine wa machafuko <strong>ya</strong>liokuwa <strong>ya</strong>kiingia katika Babeli tangu ujumbe ulipotolewa mara<br />
<strong>ya</strong> kwanza.<br />
Hali <strong>ya</strong> kitisha inaelezwa hapa. Kwa kila kukataa kwa ukweli akili za watu zitakuwa giza<br />
sana, mioyo <strong>ya</strong>o mikaidi zaidi. Wataendelea kukan<strong>ya</strong>nga mojawapo <strong>ya</strong> maagizo <strong>ya</strong> amri kumi<br />
hata wanapotesa wale wanaoishika kuwa takatifu. Kristo anawekwa kwa sifuri juu <strong>ya</strong> zarau<br />
lililowekwa kwa Neno lake na kwa watu wake.<br />
Ungamo la dini litakuwa ni tendo la kudangan<strong>ya</strong> kwa kuficha uovu wa msingi kabisa.<br />
Uaminifu katika imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na<br />
watu (spiritualisme) inafungua mlango kwa mafundisho <strong>ya</strong> mashetani, na kwa hivyo mvuto<br />
wa malaika waba<strong>ya</strong> utaonekana katika makanisa. Babeli umejaza kipimo cha zambi zake, na<br />
maangamizo ni karibu kuanguka.<br />
Lakini Mungu akingali na watu katika Babeli, na waaminifu hawa wanapashwa kuitwa<br />
kutoka ili wasishirikiane na zambi zake na “wasipokee mapingo <strong>ya</strong>ke”. Malaika anashuka<br />
toka mbinguni kuangazia dunia kwa utukufu wake na kutangaza zambi za Babeli. Mwito<br />
umesikilika: “Tokeni kwake, watu wangu”. Matangazo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nakuwa onyo <strong>ya</strong> mwisho<br />
kutolewa kwa wakaaji wa dunia.<br />
Nguvu za dunia, kuungana kwa vita kupinga amri za Mungu, zitaamuru <strong>ya</strong> kama “wote,<br />
wadogo na wakubwa, na matajiri na masikini na wahuru na wafungwa” (Ufunuo 13:16)<br />
watakubali desturi za kanisa kwa kushika sabato <strong>ya</strong> uwongo. Wote wanaokataa mwishoni<br />
watatangazwa wenye kustahili mauti. Kwa upande mwingine, sheria <strong>ya</strong> Mungu inaagiza siku<br />
<strong>ya</strong> pumziko <strong>ya</strong> Mungu inaon<strong>ya</strong> hasira juu <strong>ya</strong> wote wanaovunja amri zake.<br />
Kwa matokeo, ndivyo ilivyoletwa wazi mbele <strong>ya</strong>ke, ye yote atakayekan<strong>ya</strong>nga juu <strong>ya</strong><br />
sheria <strong>ya</strong> Mungu na kutii sheria <strong>ya</strong> kibinadamu anapokea alama <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma, ishara <strong>ya</strong><br />
uaminifu kwa uwezo anaouchagua kutii badala <strong>ya</strong> Mungu. “Mtu awaye yote akimsujudu huyo<br />
mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke, yeye naye atakunywa katika mvinyo wa gazabu <strong>ya</strong> Mungu<br />
iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira <strong>ya</strong>ke”. Ufunuo<br />
14:9,10.<br />
246