Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti Ni wajibu wa kwanza na ya juu sana kwa kila kiumbe chenye akili kujifunza kwa Maandiko mambo inayokuwa ya kweli, ndipo kutembea katika nuru na kutia wengine moyo kufuata mfano wake. Inatupasa kutengeneza nia zetu sisi wenyewe kwa namna tutakavyojibu sisi wenyewe mbele ya Mungu. Watu waliojifunza, kwa ujanja wa hekima kubwa, wanafundisha ya kama Maandiko yanakuwa na siri, maana ya kiroho si ya kutambulikana katika lugha iliyotumiwa. Watu hawa ni waalimu wa uwongo. Lugha ya Biblia inapashwa kuelezwa kufuata maana yake zahiri, ila tu kama mfano ao picha inatumiwa. Kama watu wangekamata tu Biblia kama inavyosomwa, kazi ingetimizwa ambayo ingeleta maelfu katika zizi la Kristo maelfu juu ya maelfu wanaotangatanga katika makosa. Sehemu nyingi za Maandiko ambazo wenye hekima wanazozania kutokuwa za maana zinajaa na faraja kwa yeye anayefundishwa katika shule la Kristo. Ufahamu wa ukweli wa Biblia hauko zaidi kwa uwezo akili ilioletwa kwa uchunguzi kama kwa umoja wa kusudi, tamaa ya juhudi baada ya haki. Matokeo ya Zarau ya Maombi na Kujifunza Biblia Biblia haipashwi kujifunzwa pasipo maombi. Roho Mtakatifu peke yake anayetuwezesha kuona umuhimu wa vitu rahisi kufahamiwa, ao kutuzuia kupotoa mambo magumu ya kweli. Malaika wa mbinguni wanatayarisha moyo kufahamu Neno la Mungu. Tutapendezwa kwa uzuri wake, kugombezwa kwa maonyo yake na kutiwa nguvu na ahadi zake. Mara kwa mara majaribu huonekana kuwa na nguvu nyingi sana kwa sababu yule aliyejaribiwa hawezi mara hiyo kukumbuka ahadi za Mungu na kukutana na Shetani anayekuwa na silaha za Maandiko. Lakini malaika wanazunguka wale wanaotaka kufundishwa, na wataleta kwa ukumbusho wao ukweli unayohitajiwa. “Yeye atawafundisha ninyi vitu vyote, na kuwakumbusha ninyi vitu vyote niliyowaambia ninyi”. Yoane 14:26. Lakini mafundusho ya Kristo yanapashwa kwanza kuwekwa katika akili ili Roho ya Mungu ayalete katika ukumbusho wetu katika wakati wa hatari. Ajali ya makutano mengi sana inakuwa karibu kukusudiwa. Kila mshiriki wa Kristo inampasa kudai kwa bidii: “Bwana unataka nifanye nini”? Matendo 9:6. Inatupasa sasa kutafuta maarifa ya ndani na ya nguvu katika vitu vya Mungu. Hatuna na wakati kwa kupoteza. Tunakuwa kwa udongo wa kupendeza wa Shetani. Zamu wa Mungu usilale! Wengi hushangilia wao wenyewe kwa matendo mabaya ambayo wasiyoyafanya. Haitoshi ya kama wao ni miti katika bustani ya Mungu. Inawapasa kuzaa matunda. Katika vitabu vya mbinguni wanaandikwa kama walimaji wa udongo. Kwani kwa wale waliozarau rehema ya Mungu na wakatumia vibaya neema yake, moyo na upendo wa uvumilivu ungali ukitetea. Wakati wa mvua hakuna tofauti ya kuonekana kati ya miti na miti ingine; lakini wakati wa kipwa na upepo na majira ya baridi inapofika, miti isiyokauka inadumu imara wakati miti ingine inapo ponoa majani yao. Acha upinzani uamke, acha kutovumilia kutikisika tena, acha mateso iwashwe, na mapenzi yasiyo na bidii na ya unafiki ikubali imani; lakini Mkristo wa 244

Kupinga ya Kiprotestanti kweli atasimama imara, imani yake kuzidi kuwa hodari; tumaini lake kuzidi kungaa, kuliko siku za mafani-kio. “Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, unaofikisha mizizi yake karibu ya mto; hautaona woga wakati wa jua kali linapokuja, lakini majani yake yatakuwa mabichi; wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, wala hautaacha kuzaa matunda”, Yeremia 17:8. 245

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Ni wajibu wa kwanza na <strong>ya</strong> juu sana kwa kila kiumbe chenye akili kujifunza kwa<br />

Maandiko mambo inayokuwa <strong>ya</strong> kweli, ndipo kutembea katika nuru na kutia wengine moyo<br />

kufuata mfano wake. Inatupasa kutengeneza nia zetu sisi wenyewe kwa namna tutakavyojibu<br />

sisi wenyewe mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Watu waliojifunza, kwa ujanja wa hekima kubwa, wanafundisha <strong>ya</strong> kama Maandiko<br />

<strong>ya</strong>nakuwa na siri, maana <strong>ya</strong> kiroho si <strong>ya</strong> kutambulikana katika lugha iliyotumiwa. Watu hawa<br />

ni waalimu wa uwongo. Lugha <strong>ya</strong> Biblia inapashwa kuelezwa kufuata maana <strong>ya</strong>ke zahiri, ila<br />

tu kama mfano ao picha inatumiwa. Kama watu wangekamata tu Biblia kama inavyosomwa,<br />

kazi ingetimizwa ambayo ingeleta maelfu katika zizi la Kristo maelfu juu <strong>ya</strong> maelfu<br />

wanaotangatanga katika makosa. Sehemu nyingi za Maandiko ambazo wenye hekima<br />

wanazozania kutokuwa za maana zinajaa na faraja kwa yeye anayefundishwa katika shule la<br />

Kristo. Ufahamu wa ukweli wa Biblia hauko zaidi kwa uwezo akili ilioletwa kwa uchunguzi<br />

kama kwa umoja wa kusudi, tamaa <strong>ya</strong> juhudi baada <strong>ya</strong> haki.<br />

Matokeo <strong>ya</strong> Zarau <strong>ya</strong> Maombi na Kujifunza Biblia<br />

Biblia haipashwi kujifunzwa pasipo maombi. Roho Mtakatifu peke <strong>ya</strong>ke anayetuwezesha<br />

kuona umuhimu wa vitu rahisi kufahamiwa, ao kutuzuia kupotoa mambo magumu <strong>ya</strong> kweli.<br />

Malaika wa mbinguni wanata<strong>ya</strong>risha moyo kufahamu Neno la Mungu. Tutapendezwa kwa<br />

uzuri wake, kugombezwa kwa maonyo <strong>ya</strong>ke na kutiwa nguvu na ahadi zake. Mara kwa mara<br />

majaribu huonekana kuwa na nguvu nyingi sana kwa sababu yule aliyejaribiwa hawezi mara<br />

hiyo kukumbuka ahadi za Mungu na kukutana na Shetani anayekuwa na silaha za Maandiko.<br />

Lakini malaika wanazunguka wale wanaotaka kufundishwa, na wataleta kwa ukumbusho wao<br />

ukweli unayohitajiwa.<br />

“Yeye atawafundisha ninyi vitu vyote, na kuwakumbusha ninyi vitu vyote niliyowaambia<br />

ninyi”. Yoane 14:26. Lakini mafundusho <strong>ya</strong> Kristo <strong>ya</strong>napashwa kwanza kuwekwa katika akili<br />

ili Roho <strong>ya</strong> Mungu a<strong>ya</strong>lete katika ukumbusho wetu katika wakati wa hatari.<br />

Ajali <strong>ya</strong> makutano mengi sana inakuwa karibu kukusudiwa. Kila mshiriki wa Kristo<br />

inampasa kudai kwa bidii: “Bwana unataka nifanye nini”? Matendo 9:6. Inatupasa sasa<br />

kutafuta maarifa <strong>ya</strong> ndani na <strong>ya</strong> nguvu katika vitu v<strong>ya</strong> Mungu. Hatuna na wakati kwa<br />

kupoteza. Tunakuwa kwa udongo wa kupendeza wa Shetani. Zamu wa Mungu usilale!<br />

Wengi hushangilia wao wenyewe kwa matendo maba<strong>ya</strong> ambayo wasiyo<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong>. Haitoshi<br />

<strong>ya</strong> kama wao ni miti katika bustani <strong>ya</strong> Mungu. Inawapasa kuzaa matunda. Katika vitabu v<strong>ya</strong><br />

mbinguni wanaandikwa kama walimaji wa udongo. Kwani kwa wale waliozarau rehema <strong>ya</strong><br />

Mungu na wakatumia viba<strong>ya</strong> neema <strong>ya</strong>ke, moyo na upendo wa uvumilivu ungali ukitetea.<br />

Wakati wa mvua hakuna tofauti <strong>ya</strong> kuonekana kati <strong>ya</strong> miti na miti ingine; lakini wakati<br />

wa kipwa na upepo na majira <strong>ya</strong> baridi inapofika, miti isiyokauka inadumu imara wakati miti<br />

ingine inapo ponoa majani <strong>ya</strong>o. Acha upinzani uamke, acha kutovumilia kutikisika tena, acha<br />

mateso iwashwe, na mapenzi <strong>ya</strong>siyo na bidii na <strong>ya</strong> unafiki ikubali imani; lakini Mkristo wa<br />

244

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!