Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti Ni wajibu wa kwanza na ya juu sana kwa kila kiumbe chenye akili kujifunza kwa Maandiko mambo inayokuwa ya kweli, ndipo kutembea katika nuru na kutia wengine moyo kufuata mfano wake. Inatupasa kutengeneza nia zetu sisi wenyewe kwa namna tutakavyojibu sisi wenyewe mbele ya Mungu. Watu waliojifunza, kwa ujanja wa hekima kubwa, wanafundisha ya kama Maandiko yanakuwa na siri, maana ya kiroho si ya kutambulikana katika lugha iliyotumiwa. Watu hawa ni waalimu wa uwongo. Lugha ya Biblia inapashwa kuelezwa kufuata maana yake zahiri, ila tu kama mfano ao picha inatumiwa. Kama watu wangekamata tu Biblia kama inavyosomwa, kazi ingetimizwa ambayo ingeleta maelfu katika zizi la Kristo maelfu juu ya maelfu wanaotangatanga katika makosa. Sehemu nyingi za Maandiko ambazo wenye hekima wanazozania kutokuwa za maana zinajaa na faraja kwa yeye anayefundishwa katika shule la Kristo. Ufahamu wa ukweli wa Biblia hauko zaidi kwa uwezo akili ilioletwa kwa uchunguzi kama kwa umoja wa kusudi, tamaa ya juhudi baada ya haki. Matokeo ya Zarau ya Maombi na Kujifunza Biblia Biblia haipashwi kujifunzwa pasipo maombi. Roho Mtakatifu peke yake anayetuwezesha kuona umuhimu wa vitu rahisi kufahamiwa, ao kutuzuia kupotoa mambo magumu ya kweli. Malaika wa mbinguni wanatayarisha moyo kufahamu Neno la Mungu. Tutapendezwa kwa uzuri wake, kugombezwa kwa maonyo yake na kutiwa nguvu na ahadi zake. Mara kwa mara majaribu huonekana kuwa na nguvu nyingi sana kwa sababu yule aliyejaribiwa hawezi mara hiyo kukumbuka ahadi za Mungu na kukutana na Shetani anayekuwa na silaha za Maandiko. Lakini malaika wanazunguka wale wanaotaka kufundishwa, na wataleta kwa ukumbusho wao ukweli unayohitajiwa. “Yeye atawafundisha ninyi vitu vyote, na kuwakumbusha ninyi vitu vyote niliyowaambia ninyi”. Yoane 14:26. Lakini mafundusho ya Kristo yanapashwa kwanza kuwekwa katika akili ili Roho ya Mungu ayalete katika ukumbusho wetu katika wakati wa hatari. Ajali ya makutano mengi sana inakuwa karibu kukusudiwa. Kila mshiriki wa Kristo inampasa kudai kwa bidii: “Bwana unataka nifanye nini”? Matendo 9:6. Inatupasa sasa kutafuta maarifa ya ndani na ya nguvu katika vitu vya Mungu. Hatuna na wakati kwa kupoteza. Tunakuwa kwa udongo wa kupendeza wa Shetani. Zamu wa Mungu usilale! Wengi hushangilia wao wenyewe kwa matendo mabaya ambayo wasiyoyafanya. Haitoshi ya kama wao ni miti katika bustani ya Mungu. Inawapasa kuzaa matunda. Katika vitabu vya mbinguni wanaandikwa kama walimaji wa udongo. Kwani kwa wale waliozarau rehema ya Mungu na wakatumia vibaya neema yake, moyo na upendo wa uvumilivu ungali ukitetea. Wakati wa mvua hakuna tofauti ya kuonekana kati ya miti na miti ingine; lakini wakati wa kipwa na upepo na majira ya baridi inapofika, miti isiyokauka inadumu imara wakati miti ingine inapo ponoa majani yao. Acha upinzani uamke, acha kutovumilia kutikisika tena, acha mateso iwashwe, na mapenzi yasiyo na bidii na ya unafiki ikubali imani; lakini Mkristo wa 244
Kupinga ya Kiprotestanti kweli atasimama imara, imani yake kuzidi kuwa hodari; tumaini lake kuzidi kungaa, kuliko siku za mafani-kio. “Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, unaofikisha mizizi yake karibu ya mto; hautaona woga wakati wa jua kali linapokuja, lakini majani yake yatakuwa mabichi; wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, wala hautaacha kuzaa matunda”, Yeremia 17:8. 245
- Page 201 and 202: Kupinga ya Kiprotestanti Hapawezi k
- Page 203 and 204: Kupinga ya Kiprotestanti zote, namn
- Page 205 and 206: Kupinga ya Kiprotestanti Katika “
- Page 207 and 208: Kupinga ya Kiprotestanti aliyebaki
- Page 209 and 210: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 211 and 212: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa,
- Page 213 and 214: Kupinga ya Kiprotestanti za Mungu k
- Page 215 and 216: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 30. U
- Page 217 and 218: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 31. P
- Page 219 and 220: Kupinga ya Kiprotestanti Kapernaumu
- Page 221 and 222: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa kusima
- Page 223 and 224: Kupinga ya Kiprotestanti ya viumbe
- Page 225 and 226: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 33. K
- Page 227 and 228: Kupinga ya Kiprotestanti yameenea p
- Page 229 and 230: Kupinga ya Kiprotestanti Je, wale a
- Page 231 and 232: Kupinga ya Kiprotestanti 4:1618. Ka
- Page 233 and 234: Kupinga ya Kiprotestanti juu ya dun
- Page 235 and 236: Kupinga ya Kiprotestanti anawashiki
- Page 237 and 238: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 35. U
- Page 239 and 240: Kupinga ya Kiprotestanti Wanaweka m
- Page 241 and 242: Kupinga ya Kiprotestanti la Wakrist
- Page 243 and 244: Kupinga ya Kiprotestanti nabii, “
- Page 245 and 246: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 36. M
- Page 247 and 248: Kupinga ya Kiprotestanti kuchangany
- Page 249 and 250: Kupinga ya Kiprotestanti “Joka ak
- Page 251: Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu Kupi
- Page 255 and 256: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mmo
- Page 257 and 258: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mtu
- Page 259 and 260: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 39. W
- Page 261 and 262: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa namna
- Page 263 and 264: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenyewe.
- Page 265 and 266: Kupinga ya Kiprotestanti wanamlio w
- Page 267 and 268: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 40. U
- Page 269 and 270: Kupinga ya Kiprotestanti mwenye uha
- Page 271 and 272: Kupinga ya Kiprotestanti yote, na s
- Page 273 and 274: Kupinga ya Kiprotestanti walioheshi
- Page 275 and 276: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 41. D
- Page 277 and 278: Kupinga ya Kiprotestanti zamani, an
- Page 279 and 280: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 42. V
- Page 281 and 282: Kupinga ya Kiprotestanti ambayo wal
- Page 283 and 284: Kupinga ya Kiprotestanti Kila swali
- Page 285 and 286: Kupinga ya Kiprotestanti Huko ni Ye
- Page 288: Kungojea Mwisho
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Ni wajibu wa kwanza na <strong>ya</strong> juu sana kwa kila kiumbe chenye akili kujifunza kwa<br />
Maandiko mambo inayokuwa <strong>ya</strong> kweli, ndipo kutembea katika nuru na kutia wengine moyo<br />
kufuata mfano wake. Inatupasa kutengeneza nia zetu sisi wenyewe kwa namna tutakavyojibu<br />
sisi wenyewe mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Watu waliojifunza, kwa ujanja wa hekima kubwa, wanafundisha <strong>ya</strong> kama Maandiko<br />
<strong>ya</strong>nakuwa na siri, maana <strong>ya</strong> kiroho si <strong>ya</strong> kutambulikana katika lugha iliyotumiwa. Watu hawa<br />
ni waalimu wa uwongo. Lugha <strong>ya</strong> Biblia inapashwa kuelezwa kufuata maana <strong>ya</strong>ke zahiri, ila<br />
tu kama mfano ao picha inatumiwa. Kama watu wangekamata tu Biblia kama inavyosomwa,<br />
kazi ingetimizwa ambayo ingeleta maelfu katika zizi la Kristo maelfu juu <strong>ya</strong> maelfu<br />
wanaotangatanga katika makosa. Sehemu nyingi za Maandiko ambazo wenye hekima<br />
wanazozania kutokuwa za maana zinajaa na faraja kwa yeye anayefundishwa katika shule la<br />
Kristo. Ufahamu wa ukweli wa Biblia hauko zaidi kwa uwezo akili ilioletwa kwa uchunguzi<br />
kama kwa umoja wa kusudi, tamaa <strong>ya</strong> juhudi baada <strong>ya</strong> haki.<br />
Matokeo <strong>ya</strong> Zarau <strong>ya</strong> Maombi na Kujifunza Biblia<br />
Biblia haipashwi kujifunzwa pasipo maombi. Roho Mtakatifu peke <strong>ya</strong>ke anayetuwezesha<br />
kuona umuhimu wa vitu rahisi kufahamiwa, ao kutuzuia kupotoa mambo magumu <strong>ya</strong> kweli.<br />
Malaika wa mbinguni wanata<strong>ya</strong>risha moyo kufahamu Neno la Mungu. Tutapendezwa kwa<br />
uzuri wake, kugombezwa kwa maonyo <strong>ya</strong>ke na kutiwa nguvu na ahadi zake. Mara kwa mara<br />
majaribu huonekana kuwa na nguvu nyingi sana kwa sababu yule aliyejaribiwa hawezi mara<br />
hiyo kukumbuka ahadi za Mungu na kukutana na Shetani anayekuwa na silaha za Maandiko.<br />
Lakini malaika wanazunguka wale wanaotaka kufundishwa, na wataleta kwa ukumbusho wao<br />
ukweli unayohitajiwa.<br />
“Yeye atawafundisha ninyi vitu vyote, na kuwakumbusha ninyi vitu vyote niliyowaambia<br />
ninyi”. Yoane 14:26. Lakini mafundusho <strong>ya</strong> Kristo <strong>ya</strong>napashwa kwanza kuwekwa katika akili<br />
ili Roho <strong>ya</strong> Mungu a<strong>ya</strong>lete katika ukumbusho wetu katika wakati wa hatari.<br />
Ajali <strong>ya</strong> makutano mengi sana inakuwa karibu kukusudiwa. Kila mshiriki wa Kristo<br />
inampasa kudai kwa bidii: “Bwana unataka nifanye nini”? Matendo 9:6. Inatupasa sasa<br />
kutafuta maarifa <strong>ya</strong> ndani na <strong>ya</strong> nguvu katika vitu v<strong>ya</strong> Mungu. Hatuna na wakati kwa<br />
kupoteza. Tunakuwa kwa udongo wa kupendeza wa Shetani. Zamu wa Mungu usilale!<br />
Wengi hushangilia wao wenyewe kwa matendo maba<strong>ya</strong> ambayo wasiyo<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong>. Haitoshi<br />
<strong>ya</strong> kama wao ni miti katika bustani <strong>ya</strong> Mungu. Inawapasa kuzaa matunda. Katika vitabu v<strong>ya</strong><br />
mbinguni wanaandikwa kama walimaji wa udongo. Kwani kwa wale waliozarau rehema <strong>ya</strong><br />
Mungu na wakatumia viba<strong>ya</strong> neema <strong>ya</strong>ke, moyo na upendo wa uvumilivu ungali ukitetea.<br />
Wakati wa mvua hakuna tofauti <strong>ya</strong> kuonekana kati <strong>ya</strong> miti na miti ingine; lakini wakati<br />
wa kipwa na upepo na majira <strong>ya</strong> baridi inapofika, miti isiyokauka inadumu imara wakati miti<br />
ingine inapo ponoa majani <strong>ya</strong>o. Acha upinzani uamke, acha kutovumilia kutikisika tena, acha<br />
mateso iwashwe, na mapenzi <strong>ya</strong>siyo na bidii na <strong>ya</strong> unafiki ikubali imani; lakini Mkristo wa<br />
244