12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu<br />

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kristo alikuwa na maoni <strong>ya</strong> unabii kwa kazi <strong>ya</strong> kutukuza mamlaka <strong>ya</strong> kibinadamu<br />

kutawala zamiri, ambalo lilikuwa jambo la laana la kitisha katika vizazi vyote. Maonyo <strong>ya</strong>ke<br />

si kufuata viongozi vipofu waliowekwa kwa ukumbusho kama onyo la upole kwa vizazi<br />

wakati vijavyo.<br />

Kanisa la Roma linawekwa akiba <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> kutafsiri Maandiko kwa mapadri. Ingawa<br />

matangenezo ilitoa Maandiko kwa wote, lakini kanuni <strong>ya</strong> namna moja iliyoshikwa kwa Roma<br />

inazuia wengi katika makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> kutochunguza Biblia wao wenyewe.<br />

Wanafundishwa kukubali mafundusho <strong>ya</strong>ke kama ilivyofasiriwa na kanisa. Maelfu<br />

wanasubutu kutopata kitu, lakini ni wazi katika maandiko, ile inayokuwa kinyume kwa imani<br />

<strong>ya</strong>o.<br />

Wengi wanakuwa ta<strong>ya</strong>ri kutoa nafsi zao kwa mapadri. Wanapita mbali <strong>ya</strong> mafundusho <strong>ya</strong><br />

Mwokozi karibu bila kuonywa. Lakini je, wanakuwa wahudumu wasioweza kukosa? Namna<br />

gani tunaweza kutumaini uongozi wao isipokuwa tunajua kutoka kwa Neno la Mungu <strong>ya</strong><br />

kama wanakuwa wachukuaji wa nuru? Ukosefu wa uhodari wa mafundisho unasukuma wengi<br />

kufuata watu waliojifunza, na wanakuwa wenye kufungwa bila kuwa na matumaini katika<br />

kosa. Wanaona ukweli kwa wakati huu katika Biblia na wanasikia uwezo wa Roho Mtakatifu<br />

kufikia matangazo jake, huku wakiruhusu mapadri kuwarudisha kutoka kwa nuru. Shetani<br />

anafunga wengi kuwafunga na kamba za hariri za upendo kwa wale wanaokuwa adui za<br />

msalaba wa Kristo. Kifungo hiki kinaweza kuwa cha wazazi, cha jamii, cha ndoa ao ujamii<br />

wa jamaa nyingi kuwa pamoja. Nafsi chini <strong>ya</strong> mvuto wao hauna uhodari wa kutii nia zawajibu<br />

wao.<br />

Wengi hudai <strong>ya</strong> kama si kitu cho chote mtu anachoamini, kama tu maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kiwa<br />

kamili. Lakini maisha <strong>ya</strong>nafanywa na imani. Kama ukweli unakuwa ndani unafikia kipimo<br />

na tunauzarau, tunaukataa kwa kweli, kuchagua giza badala nuru.<br />

Ujinga hauachiliwi kwa ajili <strong>ya</strong> kosa la zambi, kama pale kunakuwa na nafasi yo yote,<br />

kwa kujua mapenzi <strong>ya</strong> Mungu. Mtu mmoja anayesafiri anafika mahali ambapo panakuwa njia<br />

nyingi na mti wenye mkono wa kuonyesha njia mahali gani kila moja inaongoza. Kama<br />

akizarau alama na kukamata njia yo yote inayoonekana kuwa <strong>ya</strong> haki, angeweza kuwa <strong>ya</strong>kini,<br />

lakini katika kubahatisha kule kote atapatikana mwenyewe kwa njia mba<strong>ya</strong>.<br />

Shuguli <strong>ya</strong> Kwanza na <strong>ya</strong> Juu Sana<br />

Haitoshi kuwa na makusudi mema, kufan<strong>ya</strong> kitu mtu anachofikiri kuwa cha haki ao kite<br />

muhuduma anachowaambia kuwa cha haki. Anapashwa kuchunguza maandiko kwa ajili <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe. Anakuwa na amani inayoonyesha kila alama <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong> kwenda<br />

mbinguni, na hapashwe kuamini kitu cho chote.<br />

243

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!