Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu<br />
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kristo alikuwa na maoni <strong>ya</strong> unabii kwa kazi <strong>ya</strong> kutukuza mamlaka <strong>ya</strong> kibinadamu<br />
kutawala zamiri, ambalo lilikuwa jambo la laana la kitisha katika vizazi vyote. Maonyo <strong>ya</strong>ke<br />
si kufuata viongozi vipofu waliowekwa kwa ukumbusho kama onyo la upole kwa vizazi<br />
wakati vijavyo.<br />
Kanisa la Roma linawekwa akiba <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> kutafsiri Maandiko kwa mapadri. Ingawa<br />
matangenezo ilitoa Maandiko kwa wote, lakini kanuni <strong>ya</strong> namna moja iliyoshikwa kwa Roma<br />
inazuia wengi katika makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> kutochunguza Biblia wao wenyewe.<br />
Wanafundishwa kukubali mafundusho <strong>ya</strong>ke kama ilivyofasiriwa na kanisa. Maelfu<br />
wanasubutu kutopata kitu, lakini ni wazi katika maandiko, ile inayokuwa kinyume kwa imani<br />
<strong>ya</strong>o.<br />
Wengi wanakuwa ta<strong>ya</strong>ri kutoa nafsi zao kwa mapadri. Wanapita mbali <strong>ya</strong> mafundusho <strong>ya</strong><br />
Mwokozi karibu bila kuonywa. Lakini je, wanakuwa wahudumu wasioweza kukosa? Namna<br />
gani tunaweza kutumaini uongozi wao isipokuwa tunajua kutoka kwa Neno la Mungu <strong>ya</strong><br />
kama wanakuwa wachukuaji wa nuru? Ukosefu wa uhodari wa mafundisho unasukuma wengi<br />
kufuata watu waliojifunza, na wanakuwa wenye kufungwa bila kuwa na matumaini katika<br />
kosa. Wanaona ukweli kwa wakati huu katika Biblia na wanasikia uwezo wa Roho Mtakatifu<br />
kufikia matangazo jake, huku wakiruhusu mapadri kuwarudisha kutoka kwa nuru. Shetani<br />
anafunga wengi kuwafunga na kamba za hariri za upendo kwa wale wanaokuwa adui za<br />
msalaba wa Kristo. Kifungo hiki kinaweza kuwa cha wazazi, cha jamii, cha ndoa ao ujamii<br />
wa jamaa nyingi kuwa pamoja. Nafsi chini <strong>ya</strong> mvuto wao hauna uhodari wa kutii nia zawajibu<br />
wao.<br />
Wengi hudai <strong>ya</strong> kama si kitu cho chote mtu anachoamini, kama tu maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kiwa<br />
kamili. Lakini maisha <strong>ya</strong>nafanywa na imani. Kama ukweli unakuwa ndani unafikia kipimo<br />
na tunauzarau, tunaukataa kwa kweli, kuchagua giza badala nuru.<br />
Ujinga hauachiliwi kwa ajili <strong>ya</strong> kosa la zambi, kama pale kunakuwa na nafasi yo yote,<br />
kwa kujua mapenzi <strong>ya</strong> Mungu. Mtu mmoja anayesafiri anafika mahali ambapo panakuwa njia<br />
nyingi na mti wenye mkono wa kuonyesha njia mahali gani kila moja inaongoza. Kama<br />
akizarau alama na kukamata njia yo yote inayoonekana kuwa <strong>ya</strong> haki, angeweza kuwa <strong>ya</strong>kini,<br />
lakini katika kubahatisha kule kote atapatikana mwenyewe kwa njia mba<strong>ya</strong>.<br />
Shuguli <strong>ya</strong> Kwanza na <strong>ya</strong> Juu Sana<br />
Haitoshi kuwa na makusudi mema, kufan<strong>ya</strong> kitu mtu anachofikiri kuwa cha haki ao kite<br />
muhuduma anachowaambia kuwa cha haki. Anapashwa kuchunguza maandiko kwa ajili <strong>ya</strong>ke<br />
mwenyewe. Anakuwa na amani inayoonyesha kila alama <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong> kwenda<br />
mbinguni, na hapashwe kuamini kitu cho chote.<br />
243