You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 37. Maandiko - Mlinda Yetu Pekee<br />
Watu wa Mungu wanaongozwa kwa maandiko kama mlinda usalama wao kwa kupinga<br />
mvuto wa wa waalimu wa uongo na roho za giza. Shetani hutumia kila shauri lo lote<br />
iwezekanavyo kuzuia watu kupokea maarifa <strong>ya</strong> Biblia, kwa usemi ao maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
waziinafunua madanganyifu <strong>ya</strong>ke. Madanganyo makubwa <strong>ya</strong> mwisho ni karibu kufunguliwa<br />
mbele yetu. Mpinga Kristo atafan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ajabu mbele <strong>ya</strong> macho yetu kwa ukaribu<br />
kutakuwa mfano wa kufanana na iliyo <strong>ya</strong> kweli ambayo itakuwa haiwezekani kutofautisha<br />
kati <strong>ya</strong>o isipokuwa kwa Maandiko. Wale wanaojitahidi kutii amri zote za Mungu watapingwa<br />
na kuzarauliwa. Kwa kuvumilia jaribu, wanapaswa kufahamu mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kama<br />
inavyofuniliwa katika Neno lake. Hapana mtu bali wale ambao wamaimarisha akili kwa kweli<br />
za Biblia watakaosimama katika vita kubwa <strong>ya</strong> mwisho.<br />
Mbele <strong>ya</strong> kusulibiwa kwake mwokozi alielezea wanafunzi wake <strong>ya</strong> kama alipashwa<br />
kuuawa na kufufuka tena. Lakini maneno <strong>ya</strong>liondolewa mbali kutoka kwa mawazo <strong>ya</strong><br />
wanafunzi. Wakati jaribu lilipofika, kifo cha Yesu kikaharibu kabisa matumaini <strong>ya</strong>o kama<br />
kwamba hakuwaon<strong>ya</strong> mbele. Kwa hivyo katika mambo <strong>ya</strong> unabii na wakati ujao umefunuliwa<br />
wazi mbele yetu kwa kama ulivyofunuliwa kwa wanafunzi na Kristo mwenyewe. Tukio<br />
zinazo ambatana na wakati wa kufungwa wakati wa majaribu na kazi <strong>ya</strong> mata<strong>ya</strong>risho kwa<br />
wakati wa taabu <strong>ya</strong>naonyeshwa wazi. Lakini wengi hawanaufahamu wa kweli hizi za maana<br />
sana, na wakati wa taabu utafika utawakuta wasiokuwa ta<strong>ya</strong>ri.<br />
Wakati Mungu anapotuma maonyo, anaagiza kila mtu kujaliwa na sababu kwa kukubali<br />
ujumbe. Hukumu za kutisha juu <strong>ya</strong> kuabudu mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke(Ufunuo 14:9-11)<br />
inapashwa kuongoza wote kujifunza namna alama <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma inavyokuwa na namna gani <strong>ya</strong><br />
kuepuka kuipokea. Lakini jamii <strong>ya</strong> watu hawataki ukweli wa Biblia, kwa sababu unazuia<br />
tamaa za moyo wa zambi. Shetani anatoa mambo <strong>ya</strong> udanganyifu wanaopenda.<br />
Lakini Mungu atakuwa na watu watakaodumisha Biblia, na ni Biblia peke <strong>ya</strong>ke, kama<br />
kawaida <strong>ya</strong> mafundisho yote na msingi wa matengenezo yote. Nia za watu waliojifunza,<br />
matoleo <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> kweli, makusudi <strong>ya</strong> baraza za kanisa, sauti <strong>ya</strong> watu wengi-hakuna<br />
mojawapo <strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napashwa kuzaniwa kama ushahidi kwa kukubaliana ao kutokubali<br />
mafundisho yo yote. Inatupasa kudai zahiri “Bwana anasema hivi”. Shetani anaongoza watu<br />
kutazama kwa wachungaji, kwa waalimu wa elimu <strong>ya</strong> tabia na sifa za Mungu na dini kama<br />
viongozi v<strong>ya</strong>o, badala <strong>ya</strong> kuchunguza Maandiko wao wenyewe. Kwa kutawala waongozi<br />
hawa, anaweza kuvuta wengi.<br />
Wakati Kristo alipokuja, watu wa kawaida walimsikia kwa furaha. Lakini mkuu wa<br />
ukuhani na watu wenye kuongoza wakajiingiza wao wenyewe katika uzalimu; wakakataa<br />
ushuhuda wa Umasi<strong>ya</strong> wake. “Namna gani inakuwa”, watu wakauliza, “<strong>ya</strong> kama watawala<br />
wetu na wandishi waliojifunza hawaamini Yesu? Waalimu kama wale walioongoza taifa la<br />
Wayuda kukataa Mkombozi wao.<br />
242