12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

wakakatazwa kuisoma. Mapadri na waaskofu wakatafsiri mafundisho <strong>ya</strong>ke kwa kuendesha<br />

madai <strong>ya</strong>o. Kwa hiyo Papa akajulikana pote kama msaidizi wa Mungu ulimwenguni.<br />

Namna Sabato Ilivyogeuzwa<br />

Unabii ulitangaza kwamba Kanisa la Kiroma “litafikiri kugeuza n<strong>ya</strong>kati na sheria”.<br />

Danieli 7:25. Kwa kutoa badala kwa ibada <strong>ya</strong> sanamu, ibada <strong>ya</strong> masura sanamu na masalio<br />

kumbukumbu, jambo hilo likaingizwa kidogo kidogo katika ibada <strong>ya</strong> Kikristo. Agizo la<br />

baraza la kawaida (Tazama mwisho wa kitabu (Nyongezo)) mwishowe likaanzisha ibada hii<br />

<strong>ya</strong> sanamu. Roma ikasubutu kufutia mbali amri <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu, inayokataza ibada<br />

<strong>ya</strong> sanamu, na kugawan<strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> kumi ili kulinda hesabu.<br />

Waongozi wasiotakaswa wa kanisa wakageuza amri <strong>ya</strong> ine vile vile, kwa kutangua Sabato<br />

<strong>ya</strong> zamani, siku ambayo Mungu alibariki na kutakasa (Mwanzo 2:2,3) na mahali pake<br />

wakatukuza siku kuu iliyolazimishwa na wapagani kama “siku tukufu <strong>ya</strong> jua”. Katika karne<br />

za kwanza Sabato <strong>ya</strong> kweli ilishikwa na Wakristo wote, lakini Shetani akatumika kwa kuleta<br />

kusudi lake. Siku <strong>ya</strong> jua (siku <strong>ya</strong> kwanza) (Dimanche) ikafanywa kuwa siku kuu kwa ajili <strong>ya</strong><br />

ufufuko wa Kristo. Huduma za dini zilifanyika kwa siku hiyo, lakini ilizaniwa kama siku <strong>ya</strong><br />

pumziko, Sabato ikaendelea kushikwa na utakatifu.<br />

Shetani akaongoza Wa<strong>ya</strong>hudi, kabla <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo mara <strong>ya</strong> kwanza, kulemeza Sabato<br />

kwa lazimisho makali, kuifan<strong>ya</strong> kuwa mzigo. Sasa, kwa kutumia nuru <strong>ya</strong> uongo ambamo<br />

alilete sabato kutazamiwa, akaitupia zarau kama sheria <strong>ya</strong> “Wa<strong>ya</strong>hudi”. Wakati Wakristo kwa<br />

kawaida waliendelea kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) kama siku kuu <strong>ya</strong> shangwe,<br />

akawaongoza kufan<strong>ya</strong> Sabato kuwa siku <strong>ya</strong> huzuni na giza ili kuonyesha machukio kwa<br />

Ki<strong>ya</strong>hudi.<br />

Mfalme Constantini akatoa amri kufan<strong>ya</strong> Siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) siku kuu <strong>ya</strong> watu<br />

wote popote katika ufalme wa Roma (Tazama Mwisho wa Kitabu ama Nyongezo). Siku <strong>ya</strong><br />

jua ilikuwa ikitukuzwa na watu wake wapagani na kuheshimiwa na Wakristo. Alilazimishwa<br />

kufan<strong>ya</strong> hivi na maaskofu wa kanisa. Walipoongozwa na hamu <strong>ya</strong> mamlaka, waliona <strong>ya</strong> kuwa<br />

kama siku hiyo moja ilishikwa kwa wote ni kusema Wakristo na wapagani, ingeendelesha<br />

uwezo na utukufu wa kanisa. Lakini wakati Wakristo wengi wenye kumcha Mungu<br />

walipoongozwa kuzania Siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) kama yenye kuwa na cheo cha utakatifu,<br />

waliendelea kushika Sabato <strong>ya</strong> kweli na kuitukuza katika utiifu wa amri <strong>ya</strong> ine.<br />

Mdanganyi mkuu hakutimiza kazi <strong>ya</strong>ke. Alikusudia kutumia uwezo wake kwa njia <strong>ya</strong><br />

mjumbe wake, askofu mwenye kiburi anayejidai kuwa mjumbe wa Kristo. Mabaraza<br />

makubwa <strong>ya</strong>lifanywa ambamo wakuu walikusanyika kutoka pote duniani. Karibu kila baraza<br />

Sabato iligandamizwa chini kidogo, wakati siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) ikatukuzwa. Kwa<br />

hiyo siku kuu <strong>ya</strong> wapagani mwishowe ikatukuzwa kama sheria <strong>ya</strong> Mungu, lakini sabato <strong>ya</strong><br />

Biblia ikatangazwa kuwa kumbukumbu <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Ki<strong>ya</strong>hudi na kawaida zake zikatangazwa<br />

kuwa za laana.<br />

17

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!