Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
wakakatazwa kuisoma. Mapadri na waaskofu wakatafsiri mafundisho <strong>ya</strong>ke kwa kuendesha<br />
madai <strong>ya</strong>o. Kwa hiyo Papa akajulikana pote kama msaidizi wa Mungu ulimwenguni.<br />
Namna Sabato Ilivyogeuzwa<br />
Unabii ulitangaza kwamba Kanisa la Kiroma “litafikiri kugeuza n<strong>ya</strong>kati na sheria”.<br />
Danieli 7:25. Kwa kutoa badala kwa ibada <strong>ya</strong> sanamu, ibada <strong>ya</strong> masura sanamu na masalio<br />
kumbukumbu, jambo hilo likaingizwa kidogo kidogo katika ibada <strong>ya</strong> Kikristo. Agizo la<br />
baraza la kawaida (Tazama mwisho wa kitabu (Nyongezo)) mwishowe likaanzisha ibada hii<br />
<strong>ya</strong> sanamu. Roma ikasubutu kufutia mbali amri <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu, inayokataza ibada<br />
<strong>ya</strong> sanamu, na kugawan<strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> kumi ili kulinda hesabu.<br />
Waongozi wasiotakaswa wa kanisa wakageuza amri <strong>ya</strong> ine vile vile, kwa kutangua Sabato<br />
<strong>ya</strong> zamani, siku ambayo Mungu alibariki na kutakasa (Mwanzo 2:2,3) na mahali pake<br />
wakatukuza siku kuu iliyolazimishwa na wapagani kama “siku tukufu <strong>ya</strong> jua”. Katika karne<br />
za kwanza Sabato <strong>ya</strong> kweli ilishikwa na Wakristo wote, lakini Shetani akatumika kwa kuleta<br />
kusudi lake. Siku <strong>ya</strong> jua (siku <strong>ya</strong> kwanza) (Dimanche) ikafanywa kuwa siku kuu kwa ajili <strong>ya</strong><br />
ufufuko wa Kristo. Huduma za dini zilifanyika kwa siku hiyo, lakini ilizaniwa kama siku <strong>ya</strong><br />
pumziko, Sabato ikaendelea kushikwa na utakatifu.<br />
Shetani akaongoza Wa<strong>ya</strong>hudi, kabla <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo mara <strong>ya</strong> kwanza, kulemeza Sabato<br />
kwa lazimisho makali, kuifan<strong>ya</strong> kuwa mzigo. Sasa, kwa kutumia nuru <strong>ya</strong> uongo ambamo<br />
alilete sabato kutazamiwa, akaitupia zarau kama sheria <strong>ya</strong> “Wa<strong>ya</strong>hudi”. Wakati Wakristo kwa<br />
kawaida waliendelea kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) kama siku kuu <strong>ya</strong> shangwe,<br />
akawaongoza kufan<strong>ya</strong> Sabato kuwa siku <strong>ya</strong> huzuni na giza ili kuonyesha machukio kwa<br />
Ki<strong>ya</strong>hudi.<br />
Mfalme Constantini akatoa amri kufan<strong>ya</strong> Siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) siku kuu <strong>ya</strong> watu<br />
wote popote katika ufalme wa Roma (Tazama Mwisho wa Kitabu ama Nyongezo). Siku <strong>ya</strong><br />
jua ilikuwa ikitukuzwa na watu wake wapagani na kuheshimiwa na Wakristo. Alilazimishwa<br />
kufan<strong>ya</strong> hivi na maaskofu wa kanisa. Walipoongozwa na hamu <strong>ya</strong> mamlaka, waliona <strong>ya</strong> kuwa<br />
kama siku hiyo moja ilishikwa kwa wote ni kusema Wakristo na wapagani, ingeendelesha<br />
uwezo na utukufu wa kanisa. Lakini wakati Wakristo wengi wenye kumcha Mungu<br />
walipoongozwa kuzania Siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) kama yenye kuwa na cheo cha utakatifu,<br />
waliendelea kushika Sabato <strong>ya</strong> kweli na kuitukuza katika utiifu wa amri <strong>ya</strong> ine.<br />
Mdanganyi mkuu hakutimiza kazi <strong>ya</strong>ke. Alikusudia kutumia uwezo wake kwa njia <strong>ya</strong><br />
mjumbe wake, askofu mwenye kiburi anayejidai kuwa mjumbe wa Kristo. Mabaraza<br />
makubwa <strong>ya</strong>lifanywa ambamo wakuu walikusanyika kutoka pote duniani. Karibu kila baraza<br />
Sabato iligandamizwa chini kidogo, wakati siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) ikatukuzwa. Kwa<br />
hiyo siku kuu <strong>ya</strong> wapagani mwishowe ikatukuzwa kama sheria <strong>ya</strong> Mungu, lakini sabato <strong>ya</strong><br />
Biblia ikatangazwa kuwa kumbukumbu <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Ki<strong>ya</strong>hudi na kawaida zake zikatangazwa<br />
kuwa za laana.<br />
17