You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
<strong>ya</strong>ke wenyewe; na ataleta taabu kwa wengine, na kuongoza watu kuamini <strong>ya</strong> kama ni Mungu<br />
ndiye anayewatesa.<br />
Anapotokea kama tabibu mkuu anayeweza kupon<strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong>o yote, Shetani ataleta<br />
ugonjwa na msiba hata miji <strong>ya</strong> watu waingie kwa maangamizi. Katika misiba baharini na<br />
inchini, katika mateketeo makubwa, katika tufani kali na mvua <strong>ya</strong> mawe, katika zoruba,<br />
garika, kimbunga, mawimbi <strong>ya</strong> maji kujaa, na tetemeko la inchi, katika namna maelfu, Shetani<br />
anatumia uwezo wake. Anaondolea mbali mavuno yenye kukomea yote, na njaa na taabu<br />
hufuata. Hugawan<strong>ya</strong> mawaa <strong>ya</strong> mauti angani, na maelfu huangamia.<br />
Ndipo mdanganyifu mkubwa atashawishi watu kutwika taabu zao zote kwa wale<br />
wanaokuwa na utii kwa amri za Mungu ni laumu la daima kwa wakosaji. Itatangazwa <strong>ya</strong> kama<br />
watu wanamkosea Mungu juu <strong>ya</strong> mvunjo wa siku <strong>ya</strong> kwanza, <strong>ya</strong> kwamba zambi hii imeleta<br />
misiba ambayo haitakoma hata kushika kwa siku <strong>ya</strong> kwanza kutakapo kazwa kabisa. “Wale<br />
wanaoharibu heshima kwa ajili <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> kwanza wanazuia kurudishwa kwa majaliwa <strong>ya</strong><br />
Mungu na kufanyikiwa”. Kwa hivyo mashitaki <strong>ya</strong>liyofanywa <strong>ya</strong> zamani juu <strong>ya</strong> watumushi<br />
wa Mungu <strong>ya</strong>takaririwa. “Wakati Ahaba alipomuona Eli<strong>ya</strong>, Ahaba akamwaambia: Ni wewe<br />
mwenye kutaabisha Israeli”? 1 Wafalme 18:17,18. Uwezo wa kufan<strong>ya</strong> miujiza utatumia<br />
mvuto wake juu <strong>ya</strong> wale wanaomtii Mungu kuliko watu. “Pepo” watatangaza <strong>ya</strong> kama Mungu<br />
amewatuma kusadikisha wanaokataa siku <strong>ya</strong> kwanza kwa kosa lao. Watalilia uovu mkubwa<br />
ulimwenguni na kusaidia ushuhuda wa waalimu wa dini <strong>ya</strong> kama hali iliopoteza cheo cha<br />
mafundisho imaletwa na ukufuru wa siku <strong>ya</strong> kwanza<br />
Chini <strong>ya</strong> utawala wa Roma, wale walioteseka kwa ajili <strong>ya</strong> habari njema walishitakiwa<br />
kama watenda maovu katika mapatano pamoja na Shetani. Ndivyo hivyo itakavyokuwa sasa.<br />
Shetani ataletea wale wanaoheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu kushitakiwa kuwa watu wanaoleta<br />
hukumu duniani. Kwa njia <strong>ya</strong> kutisha anajaribu kutawala zamiri, anasukuma watawala wa<br />
dini na wa dunia kukaza sheria za kibinadamu katika kuasi sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Wale wanaoheshimu Sabato <strong>ya</strong> Biblia watashitakiwa kuwa adui wa sheria na ukim<strong>ya</strong>,<br />
kuvunja amri za maana za kijamii, kuleta machafuko <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> utawala na makosa, na<br />
kuita hukumu za Mungu inchini. Watashitakiwa juu <strong>ya</strong> chuki kwa serekali. Wajumbe<br />
wanaokana kanuni <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu wataonyesha kwa mimbara shuguli <strong>ya</strong> utii kwa<br />
utawala wa dunia. Katika vyumba vikubwa v<strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> sheria na baraza za hukumu,<br />
wanaoshika amri watahukumiwa. Rangi <strong>ya</strong> uwongo itatolewa kwa maneno <strong>ya</strong>o; maana mba<strong>ya</strong><br />
kuliko itawekwa kwa mashitaki <strong>ya</strong>o.<br />
Wakuu wa kanisa na serekali watajiiunga kwa kushawishi ao kushurutisha wote<br />
kuheshimu siku <strong>ya</strong> kwanza. Hata katika watawala wa Kiamerika wenye uhuru na wenye<br />
kufan<strong>ya</strong> sheria watakubali matakwa <strong>ya</strong> watu wote kwa ajili <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> kukaza kushika siku<br />
<strong>ya</strong> kwanza. Uhuru wa zamiri ambao umegaramishwa kwa kafara kubwa hauta heshimiwa<br />
tena. Katika kuja kwa karibu kwa shindano tutaona kuonyesha kwa mfano maneno <strong>ya</strong> nabii,<br />
240