Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kuchangan<strong>ya</strong> uwongo na ukweli shauri laonekana kuwa njema. Waongozi wa mwendo wa<br />
siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche) wangeshindania matengenezo ambayo watu wanahitaji, kanuni<br />
katika umoja pamoja na Biblia; lakini wakati ambao kunakuwa na madai pamoja na hizi<br />
kinyume kwa sheria za Mungu, watumishi wake hawawewzi kujiunga pamoja nao. Hakuna<br />
kitu kinachoweza kuthibitika kuweka kando amri za Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> amri za watu.<br />
Katika makosa mawili makubwa, kutokufa kwa nafsi na utakatifu wa siku <strong>ya</strong> kwanza<br />
(dimanche), Shetani ataleta watu chini <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong>ke. Wakati kosa la kwanza<br />
linapowekwa msingi wa imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na<br />
kuongea na watu (spiritualisma), kosa la mwisho hufan<strong>ya</strong> kifungo cha huruma pamoja na<br />
Roma. Waprotestanti wa Umoja wa Mataifa <strong>ya</strong> Kiamerika watakuwa wa kwanza kunyoosha<br />
mikono <strong>ya</strong>o ngambo <strong>ya</strong> shimo kubwa kushika mkono wa imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu<br />
walikufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu (Spiritualisme); wakifikia kwa shimo<br />
kubwa kukumbatia mikono na mamlaka <strong>ya</strong> Roma. Na chini <strong>ya</strong> mvuto wa umoja huu wa mara<br />
tatu, inchi hii itafuata katika hatua za Roma kwa kukan<strong>ya</strong>nga haki za zamiri.<br />
Kwa namna imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na<br />
watu (spiritualisme) , inakuwa na uwezo mkubwa kwa kudangan<strong>ya</strong>. Shetani yeye mwenyewe<br />
“hujigeuza”. Ataonekana kama malaika wa nuru. Kwa njia <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu<br />
waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu, miujiza itafanyika, wangonjwa<br />
wataponyeshwa, na maajabu mengi <strong>ya</strong>siyokukanishwa <strong>ya</strong>tafanyika.<br />
Wafuasi wa kanisa la kiroma wanaojisifu juu <strong>ya</strong> miujiza kuwa alama <strong>ya</strong> kanisa la kweli<br />
watadanganyika upesi kwa uwezo huu wa kufan<strong>ya</strong> miujiza; na Waprotestanti, wanapokwisha<br />
kutupia mbali ngao <strong>ya</strong> ukweli, watadanganyika vile vile. Wafuasi wa kanisa la Roma,<br />
Waprotestanti, na watu wapendao anasa za dunia wataonekana vivyo hivyo katika umoja huu<br />
mabadiliko makubwa kwa ajili <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong> ulimwengu.<br />
Kwa njia <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na<br />
watu (spiritualisme), Shetani hutokea kama mtenda mema wa kabila, kuponyesha magonjwa<br />
na kuonyesha kawaida mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> dini, lakini wakati ule ule anaongoza wengi kwa<br />
maangamizi. Kukosa kiasi kunaondoa akili; mapendeleo <strong>ya</strong> anasa, vita, na kumwanga damu<br />
hufuata. Vita huamsha tamaa mba<strong>ya</strong> sana <strong>ya</strong> nafsi na kufutia kwa milele mateka wake<br />
walioloanishwa katika uovu na damu. Nikusudi la Shetani kuchochea mataifa kwa vita, kwani<br />
anaweza kupotosha watu kwa mata<strong>ya</strong>risho <strong>ya</strong> kusimama kwa siku ile <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Shetani amejifunza siri za maumbile, na anatumia uwezo wake wote kutawala mwanzo<br />
kadiri Mungu anavyoruhusu. Ni Mungu anayelinda viumbe v<strong>ya</strong>ke kutoka kwa mharibu.<br />
Lakini jamii <strong>ya</strong> Ukristo limeonyesha zarau kwa sheria <strong>ya</strong>ke, na Bwana atafan<strong>ya</strong> kile<br />
alichotangaza <strong>ya</strong> kwamba-angeondoa ukingaji wa ulinzi wake kwa wale wanaoasi kwa sheria<br />
<strong>ya</strong>ke na kukaza wengine kufan<strong>ya</strong> pamoja. Shetani anakuwa na utawala wa wote ambao<br />
Mungu asio walinda kwa kipekee. Atasaidia na kusitawisha wengine, ili kuzidisha makusudi<br />
239