12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kuchangan<strong>ya</strong> uwongo na ukweli shauri laonekana kuwa njema. Waongozi wa mwendo wa<br />

siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche) wangeshindania matengenezo ambayo watu wanahitaji, kanuni<br />

katika umoja pamoja na Biblia; lakini wakati ambao kunakuwa na madai pamoja na hizi<br />

kinyume kwa sheria za Mungu, watumishi wake hawawewzi kujiunga pamoja nao. Hakuna<br />

kitu kinachoweza kuthibitika kuweka kando amri za Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> amri za watu.<br />

Katika makosa mawili makubwa, kutokufa kwa nafsi na utakatifu wa siku <strong>ya</strong> kwanza<br />

(dimanche), Shetani ataleta watu chini <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong>ke. Wakati kosa la kwanza<br />

linapowekwa msingi wa imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na<br />

kuongea na watu (spiritualisma), kosa la mwisho hufan<strong>ya</strong> kifungo cha huruma pamoja na<br />

Roma. Waprotestanti wa Umoja wa Mataifa <strong>ya</strong> Kiamerika watakuwa wa kwanza kunyoosha<br />

mikono <strong>ya</strong>o ngambo <strong>ya</strong> shimo kubwa kushika mkono wa imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu<br />

walikufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu (Spiritualisme); wakifikia kwa shimo<br />

kubwa kukumbatia mikono na mamlaka <strong>ya</strong> Roma. Na chini <strong>ya</strong> mvuto wa umoja huu wa mara<br />

tatu, inchi hii itafuata katika hatua za Roma kwa kukan<strong>ya</strong>nga haki za zamiri.<br />

Kwa namna imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na<br />

watu (spiritualisme) , inakuwa na uwezo mkubwa kwa kudangan<strong>ya</strong>. Shetani yeye mwenyewe<br />

“hujigeuza”. Ataonekana kama malaika wa nuru. Kwa njia <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu<br />

waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu, miujiza itafanyika, wangonjwa<br />

wataponyeshwa, na maajabu mengi <strong>ya</strong>siyokukanishwa <strong>ya</strong>tafanyika.<br />

Wafuasi wa kanisa la kiroma wanaojisifu juu <strong>ya</strong> miujiza kuwa alama <strong>ya</strong> kanisa la kweli<br />

watadanganyika upesi kwa uwezo huu wa kufan<strong>ya</strong> miujiza; na Waprotestanti, wanapokwisha<br />

kutupia mbali ngao <strong>ya</strong> ukweli, watadanganyika vile vile. Wafuasi wa kanisa la Roma,<br />

Waprotestanti, na watu wapendao anasa za dunia wataonekana vivyo hivyo katika umoja huu<br />

mabadiliko makubwa kwa ajili <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong> ulimwengu.<br />

Kwa njia <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na<br />

watu (spiritualisme), Shetani hutokea kama mtenda mema wa kabila, kuponyesha magonjwa<br />

na kuonyesha kawaida mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> dini, lakini wakati ule ule anaongoza wengi kwa<br />

maangamizi. Kukosa kiasi kunaondoa akili; mapendeleo <strong>ya</strong> anasa, vita, na kumwanga damu<br />

hufuata. Vita huamsha tamaa mba<strong>ya</strong> sana <strong>ya</strong> nafsi na kufutia kwa milele mateka wake<br />

walioloanishwa katika uovu na damu. Nikusudi la Shetani kuchochea mataifa kwa vita, kwani<br />

anaweza kupotosha watu kwa mata<strong>ya</strong>risho <strong>ya</strong> kusimama kwa siku ile <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Shetani amejifunza siri za maumbile, na anatumia uwezo wake wote kutawala mwanzo<br />

kadiri Mungu anavyoruhusu. Ni Mungu anayelinda viumbe v<strong>ya</strong>ke kutoka kwa mharibu.<br />

Lakini jamii <strong>ya</strong> Ukristo limeonyesha zarau kwa sheria <strong>ya</strong>ke, na Bwana atafan<strong>ya</strong> kile<br />

alichotangaza <strong>ya</strong> kwamba-angeondoa ukingaji wa ulinzi wake kwa wale wanaoasi kwa sheria<br />

<strong>ya</strong>ke na kukaza wengine kufan<strong>ya</strong> pamoja. Shetani anakuwa na utawala wa wote ambao<br />

Mungu asio walinda kwa kipekee. Atasaidia na kusitawisha wengine, ili kuzidisha makusudi<br />

239

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!