You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kando pamoja na <strong>ya</strong> ine. Watoto hawangekataa kukamata maisha <strong>ya</strong> wazazi wao kama kwa<br />
kufan<strong>ya</strong> vile wangeweza kupata tamaa <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong>o iliyoharibika. Ulimwengu uliostaarabika<br />
ungekuwa kundi la wezi na wauaji wa siri, na amani na furaha ingekomeshwa duniani.<br />
Ta<strong>ya</strong>ri mafundisho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>mefungua milango <strong>ya</strong> uovu ulimwenguni. Bila sheria na uovu<br />
vinafiagia kama pepo kali <strong>ya</strong> kipwa. Hata katika nyumba za wale wanaojidai kuwa Wakristo<br />
kunakuwa unafiki, mvunjo wa urafiki, usaliti wa matumaini matakatifu, upendeleo wa tamaa<br />
mba<strong>ya</strong>. Kanuni za dini, msingi wa maisha <strong>ya</strong> ushirika, unaonekana wa kutikisika sana karibu<br />
kuanguka. Wavunja sheria waovu mara kwa mara wanafanywa kuwa wenye kupokea mambo<br />
<strong>ya</strong> uangalifu kama kwamba walifikia sifa nzuri. Matangazo makubwa <strong>ya</strong>metolewa kwa<br />
makosa <strong>ya</strong>o. Mtambo wa kupiga chapa unatangaza maelezo <strong>ya</strong> uasi wa uovu, kuingiza<br />
wengine katika madanganyo, wizi, na uuaji. Kupumbazuka kwa kosa, kukosa kuwa na kiasi<br />
kwa kutisha na uzalimu wa namna yo yote ulipasa kuamsha mambo yote. Ni kitu gani<br />
kinaweza kufanyika kuzuia mwendo wa uovu?<br />
Kukosa Kiasi Kumetia Wengi Katika Mashaka<br />
Baraza za hukumu zimeharibika, watawala wamevutwa na tamaa kwa faida na upendo wa<br />
anasa za mambo <strong>ya</strong> uasherati. Kukosa kiasi kumetia wengi katika mashaka hivyo Shetani<br />
amekuwa na utawala karibu kamili juu <strong>ya</strong>o. Wana sheria wamapotoshwa, wanavutwa kwa<br />
feza (rushwa), wamedanganyika. Ulevi na ulafi, udanganyifu wa kila namna, unaonekana<br />
miongoni mwa wale wanaosimamia sheria. Sasa Shetani hawezi tena kulinda ulimwengu<br />
chini <strong>ya</strong> utawala kwa njia <strong>ya</strong> kuzuia Maandiko, anatumia njia zingine kwa kutimiza kusudi<br />
lile lile moja. Kwa kuharibu imani katika Biblia ni kutumia pia kuharibu Biblia yenyewe.<br />
Ni kama katika miaka <strong>ya</strong> kwanza, alikuwa akitumika katika makanisa kuendelesha<br />
mashauri <strong>ya</strong>ke. Kwa kupinga mambo <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> watu wengi katika Maandiko,<br />
wanatumia maelezo ambayo <strong>ya</strong>napenda kueneza mbegu za mashaka. Kushikama na kwa kosa<br />
la Papa la maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong> asili na ufahamu wa mtu katika mauti, wanakataa ulinzi wa<br />
kipekee juu <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa kurudi na kujionyesha<br />
na kuongea na watu (spiritualisme). Mafundisho wa maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong>meongoza<br />
wengi kuwa kutoamini Biblia. Kwa madai <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine <strong>ya</strong>navyoshurutisha, inaoonekana <strong>ya</strong><br />
kuwa kushika Sabato <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> saba kunaamriwa; na kwa namna inavyokuwa njia moja tu<br />
kwa kujiokoa wenyewe kwa shuguli ambayo hawataki kuifan<strong>ya</strong>, waalimu wa watu wote<br />
wakatupilia mbali sheria <strong>ya</strong> Mungu na Sabato pamoja. Kama matengenezo <strong>ya</strong> Sabato<br />
inavyoenea, kukataa huku kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu kwa kuepuka amri <strong>ya</strong> ine kutakuwa karibu<br />
kuenea pote. Waongozi wa dini wanafungua mlango kwa kumkana Mungu, kwa imani <strong>ya</strong><br />
kuwa roho za watu waliokufa kurudi na kujionyesha na kuongea na watu (spiritualisme), na<br />
zarau kwa sheria takatifu <strong>ya</strong> Mungu-daraka la kutisha kwa uovu unaokuwako katika jamii la<br />
Kikristo.<br />
Kwani jamii lilelile linalodai <strong>ya</strong> kama mkazo wa kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />
kungesitawisha mafundisho <strong>ya</strong>hali <strong>ya</strong> kijamii. Ni mojawapo <strong>ya</strong> mashauri <strong>ya</strong> Shetani<br />
238