12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kando pamoja na <strong>ya</strong> ine. Watoto hawangekataa kukamata maisha <strong>ya</strong> wazazi wao kama kwa<br />

kufan<strong>ya</strong> vile wangeweza kupata tamaa <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong>o iliyoharibika. Ulimwengu uliostaarabika<br />

ungekuwa kundi la wezi na wauaji wa siri, na amani na furaha ingekomeshwa duniani.<br />

Ta<strong>ya</strong>ri mafundisho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>mefungua milango <strong>ya</strong> uovu ulimwenguni. Bila sheria na uovu<br />

vinafiagia kama pepo kali <strong>ya</strong> kipwa. Hata katika nyumba za wale wanaojidai kuwa Wakristo<br />

kunakuwa unafiki, mvunjo wa urafiki, usaliti wa matumaini matakatifu, upendeleo wa tamaa<br />

mba<strong>ya</strong>. Kanuni za dini, msingi wa maisha <strong>ya</strong> ushirika, unaonekana wa kutikisika sana karibu<br />

kuanguka. Wavunja sheria waovu mara kwa mara wanafanywa kuwa wenye kupokea mambo<br />

<strong>ya</strong> uangalifu kama kwamba walifikia sifa nzuri. Matangazo makubwa <strong>ya</strong>metolewa kwa<br />

makosa <strong>ya</strong>o. Mtambo wa kupiga chapa unatangaza maelezo <strong>ya</strong> uasi wa uovu, kuingiza<br />

wengine katika madanganyo, wizi, na uuaji. Kupumbazuka kwa kosa, kukosa kuwa na kiasi<br />

kwa kutisha na uzalimu wa namna yo yote ulipasa kuamsha mambo yote. Ni kitu gani<br />

kinaweza kufanyika kuzuia mwendo wa uovu?<br />

Kukosa Kiasi Kumetia Wengi Katika Mashaka<br />

Baraza za hukumu zimeharibika, watawala wamevutwa na tamaa kwa faida na upendo wa<br />

anasa za mambo <strong>ya</strong> uasherati. Kukosa kiasi kumetia wengi katika mashaka hivyo Shetani<br />

amekuwa na utawala karibu kamili juu <strong>ya</strong>o. Wana sheria wamapotoshwa, wanavutwa kwa<br />

feza (rushwa), wamedanganyika. Ulevi na ulafi, udanganyifu wa kila namna, unaonekana<br />

miongoni mwa wale wanaosimamia sheria. Sasa Shetani hawezi tena kulinda ulimwengu<br />

chini <strong>ya</strong> utawala kwa njia <strong>ya</strong> kuzuia Maandiko, anatumia njia zingine kwa kutimiza kusudi<br />

lile lile moja. Kwa kuharibu imani katika Biblia ni kutumia pia kuharibu Biblia yenyewe.<br />

Ni kama katika miaka <strong>ya</strong> kwanza, alikuwa akitumika katika makanisa kuendelesha<br />

mashauri <strong>ya</strong>ke. Kwa kupinga mambo <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> watu wengi katika Maandiko,<br />

wanatumia maelezo ambayo <strong>ya</strong>napenda kueneza mbegu za mashaka. Kushikama na kwa kosa<br />

la Papa la maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong> asili na ufahamu wa mtu katika mauti, wanakataa ulinzi wa<br />

kipekee juu <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa kurudi na kujionyesha<br />

na kuongea na watu (spiritualisme). Mafundisho wa maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong>meongoza<br />

wengi kuwa kutoamini Biblia. Kwa madai <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine <strong>ya</strong>navyoshurutisha, inaoonekana <strong>ya</strong><br />

kuwa kushika Sabato <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> saba kunaamriwa; na kwa namna inavyokuwa njia moja tu<br />

kwa kujiokoa wenyewe kwa shuguli ambayo hawataki kuifan<strong>ya</strong>, waalimu wa watu wote<br />

wakatupilia mbali sheria <strong>ya</strong> Mungu na Sabato pamoja. Kama matengenezo <strong>ya</strong> Sabato<br />

inavyoenea, kukataa huku kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu kwa kuepuka amri <strong>ya</strong> ine kutakuwa karibu<br />

kuenea pote. Waongozi wa dini wanafungua mlango kwa kumkana Mungu, kwa imani <strong>ya</strong><br />

kuwa roho za watu waliokufa kurudi na kujionyesha na kuongea na watu (spiritualisme), na<br />

zarau kwa sheria takatifu <strong>ya</strong> Mungu-daraka la kutisha kwa uovu unaokuwako katika jamii la<br />

Kikristo.<br />

Kwani jamii lilelile linalodai <strong>ya</strong> kama mkazo wa kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />

kungesitawisha mafundisho <strong>ya</strong>hali <strong>ya</strong> kijamii. Ni mojawapo <strong>ya</strong> mashauri <strong>ya</strong> Shetani<br />

238

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!