Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti utakapofika kwa kushangaza. Yote linayotumaini (kanisa) ni mahali pafaapo. Ye yote atakayeamini na kutii Neno la Mungu atapata laumu na mateso. 236
Kupinga ya Kiprotestanti Sura 36. Migogoro Inayokaribia Tangu mwanzo kabisa wa vita kubwa mbinguni, kusudi daima la Shetani lilikuwa kuvunja sheria ya Mungu. Kwa yeye kufikia kusudi lake ni kukataa sheria yote ama kukataa mojawapo ya amri zake, matokeo yatakuwa namna moja. Mtu anayekosa “katika neno moja tu” anaonyesha zarau kwa sheria yote; mvuto wake na mfano yanakuwa kwa upande wa kosa; anakuwa mwenye kukosa juu ya yote”. Yakobo 2:10. Shetani amepotesha mafundisho ya Biblia, na kwa hivi makosa yakaingia katika imani ya maelfu. Mapigano makubwa ya mwisho kati ya ukweli na uwongo ni juu ya amri ya Mungu, kati ya Biblia na dini ya uwongo na mambo ya asili. Biblia inafikia wote, lakini wachache tu wanaoikubali kama kiongozi cha uzima. Katika kanisa wengi wanakana nguzo za imani ya Kristo. Uumbaji, kuanguka kwa mtu, upatanisho wa Yesu Kristo kwa kufa kwake, na sheria ya Mungu hutawaliwa yote ao sehemu. Maelfu wanaizania kuwa kama ushuhuda wa uzaifu kuweka tumaini kamili katika Biblia. Ni rahisi kufanya sanamu na maelezo ya uwongo kama kufanya sanamu ya mti ao jiwe. Kwa kueleza Mungu vibaya, Shetani anaongoza watu kumzania katika tabia ya uwongo. Sanamu ya utilivu imewekwa katika pahali pa Mungu mwenye uhai kama anavyofuniliwa katika Neno lake, katika Kristo, na katika kazi ya uumbaji. Mungu wa watu hodari wengi, watunga mashairi, watu wa siasa, waandishi wa habari kwa magazetu-wa vyuo vikubwa (universités) vingi, hata wavyama vya elimu ya tabia na za Mungu na dini (théologie) ni afazali kidogo kuliko Bali, mungu wa jua wa Foiniki katika siku za Eliya. Hapana kosa linalofika kwa ujasiri zaidi juu ya mamlaka ya Mungu, hapana linalokuwa mbaya zaidi katika matukio yake, kuliko mafundisho ya kwamba sheria ya Mungu haina na masharti tena. Ufikiri ya kama wahuduma wenye kujulikana walikuwa wakifundisha kwa wazi ya kuwa sheria zinazotawala inchi yao hazikuwa za lazima, ya kama zilizuia mambo ya uhuru wa watu na haiwapashwi kutiiwa; muda gani watu kama wale wangevumiliwa katika mimbara? Ingekuwa muaminifu zaidi kwa mataifa kuvunja sheria zao kuliko kwa mtawala wa viumbe vyote kutangua sheria yake. Jaribio la kufanya nafasi sheria ya Mungu lilijaribiwa katika Ufransa wakati kukana Mungu ulipokuwa na uwezo wa kutawala. Ilionyeshwa ya kwamba kwa kutupa amri ambazo Mungu aliamuru ni kukubali kanuni ya mtawala wa uovu. Kuweka Kando Sheria ya Mungu Wale wanaofundisha watu kutunza sheria za Mungu kwa urahisi wanapanda uasi kwa kuvuna uasi. Kuacha amri iliyoamuriwa kwa sheria ya Mungu kuweka yote kando, na sheria za kibinadamu kwa upesi hazitajaliwa. Matokeo ya kutangua amri za Mungu ingekuwa kama hazikutumainiwa. Mali hayangekuwa tena na usalama. Watu wangekamata milki ya jirani zao kwa jeuri, na walio hodari zaidi wangekuwa watajiri kuliko. Maisha yenyewe hayangeheshimiwa Kiapo cha ndoa hakingedumu tena kuwa kama boma kwa kulinda jamaa. Yeye aliyekuwa na uwezo angekamata mke wa jirani yake kwa jeuri. Amri ya tano ingekuwa 237
- Page 193 and 194: Kupinga ya Kiprotestanti kutolewa k
- Page 195 and 196: Kupinga ya Kiprotestanti Tangu siku
- Page 197 and 198: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 27. M
- Page 199 and 200: Kupinga ya Kiprotestanti Sheria ya
- Page 201 and 202: Kupinga ya Kiprotestanti Hapawezi k
- Page 203 and 204: Kupinga ya Kiprotestanti zote, namn
- Page 205 and 206: Kupinga ya Kiprotestanti Katika “
- Page 207 and 208: Kupinga ya Kiprotestanti aliyebaki
- Page 209 and 210: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 211 and 212: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa,
- Page 213 and 214: Kupinga ya Kiprotestanti za Mungu k
- Page 215 and 216: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 30. U
- Page 217 and 218: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 31. P
- Page 219 and 220: Kupinga ya Kiprotestanti Kapernaumu
- Page 221 and 222: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa kusima
- Page 223 and 224: Kupinga ya Kiprotestanti ya viumbe
- Page 225 and 226: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 33. K
- Page 227 and 228: Kupinga ya Kiprotestanti yameenea p
- Page 229 and 230: Kupinga ya Kiprotestanti Je, wale a
- Page 231 and 232: Kupinga ya Kiprotestanti 4:1618. Ka
- Page 233 and 234: Kupinga ya Kiprotestanti juu ya dun
- Page 235 and 236: Kupinga ya Kiprotestanti anawashiki
- Page 237 and 238: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 35. U
- Page 239 and 240: Kupinga ya Kiprotestanti Wanaweka m
- Page 241 and 242: Kupinga ya Kiprotestanti la Wakrist
- Page 243: Kupinga ya Kiprotestanti nabii, “
- Page 247 and 248: Kupinga ya Kiprotestanti kuchangany
- Page 249 and 250: Kupinga ya Kiprotestanti “Joka ak
- Page 251 and 252: Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu Kupi
- Page 253 and 254: Kupinga ya Kiprotestanti kweli atas
- Page 255 and 256: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mmo
- Page 257 and 258: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mtu
- Page 259 and 260: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 39. W
- Page 261 and 262: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa namna
- Page 263 and 264: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenyewe.
- Page 265 and 266: Kupinga ya Kiprotestanti wanamlio w
- Page 267 and 268: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 40. U
- Page 269 and 270: Kupinga ya Kiprotestanti mwenye uha
- Page 271 and 272: Kupinga ya Kiprotestanti yote, na s
- Page 273 and 274: Kupinga ya Kiprotestanti walioheshi
- Page 275 and 276: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 41. D
- Page 277 and 278: Kupinga ya Kiprotestanti zamani, an
- Page 279 and 280: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 42. V
- Page 281 and 282: Kupinga ya Kiprotestanti ambayo wal
- Page 283 and 284: Kupinga ya Kiprotestanti Kila swali
- Page 285 and 286: Kupinga ya Kiprotestanti Huko ni Ye
- Page 288: Kungojea Mwisho
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 36. Migogoro Inayokaribia<br />
Tangu mwanzo kabisa wa vita kubwa mbinguni, kusudi daima la Shetani lilikuwa kuvunja<br />
sheria <strong>ya</strong> Mungu. Kwa yeye kufikia kusudi lake ni kukataa sheria yote ama kukataa mojawapo<br />
<strong>ya</strong> amri zake, matokeo <strong>ya</strong>takuwa namna moja. Mtu anayekosa “katika neno moja tu”<br />
anaonyesha zarau kwa sheria yote; mvuto wake na mfano <strong>ya</strong>nakuwa kwa upande wa kosa;<br />
anakuwa mwenye kukosa juu <strong>ya</strong> yote”. Yakobo 2:10.<br />
Shetani amepotesha mafundisho <strong>ya</strong> Biblia, na kwa hivi makosa <strong>ya</strong>kaingia katika imani <strong>ya</strong><br />
maelfu. Mapigano makubwa <strong>ya</strong> mwisho kati <strong>ya</strong> ukweli na uwongo ni juu <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> Mungu,<br />
kati <strong>ya</strong> Biblia na dini <strong>ya</strong> uwongo na mambo <strong>ya</strong> asili. Biblia inafikia wote, lakini wachache tu<br />
wanaoikubali kama kiongozi cha uzima. Katika kanisa wengi wanakana nguzo za imani <strong>ya</strong><br />
Kristo. Uumbaji, kuanguka kwa mtu, upatanisho wa Yesu Kristo kwa kufa kwake, na sheria<br />
<strong>ya</strong> Mungu hutawaliwa yote ao sehemu. Maelfu wanaizania kuwa kama ushuhuda wa uzaifu<br />
kuweka tumaini kamili katika Biblia.<br />
Ni rahisi kufan<strong>ya</strong> sanamu na maelezo <strong>ya</strong> uwongo kama kufan<strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> mti ao jiwe.<br />
Kwa kueleza Mungu viba<strong>ya</strong>, Shetani anaongoza watu kumzania katika tabia <strong>ya</strong> uwongo.<br />
Sanamu <strong>ya</strong> utilivu imewekwa katika pahali pa Mungu mwenye uhai kama anavyofuniliwa<br />
katika Neno lake, katika Kristo, na katika kazi <strong>ya</strong> uumbaji. Mungu wa watu hodari wengi,<br />
watunga mashairi, watu wa siasa, waandishi wa habari kwa magazetu-wa vyuo vikubwa<br />
(universités) vingi, hata wav<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> tabia na za Mungu na dini (théologie) ni<br />
afazali kidogo kuliko Bali, mungu wa jua wa Foiniki katika siku za Eli<strong>ya</strong>. Hapana kosa<br />
linalofika kwa ujasiri zaidi juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Mungu, hapana linalokuwa mba<strong>ya</strong> zaidi katika<br />
matukio <strong>ya</strong>ke, kuliko mafundisho <strong>ya</strong> kwamba sheria <strong>ya</strong> Mungu haina na masharti tena. Ufikiri<br />
<strong>ya</strong> kama wahuduma wenye kujulikana walikuwa wakifundisha kwa wazi <strong>ya</strong> kuwa sheria<br />
zinazotawala inchi <strong>ya</strong>o hazikuwa za lazima, <strong>ya</strong> kama zilizuia mambo <strong>ya</strong> uhuru wa watu na<br />
haiwapashwi kutiiwa; muda gani watu kama wale wangevumiliwa katika mimbara?<br />
Ingekuwa muaminifu zaidi kwa mataifa kuvunja sheria zao kuliko kwa mtawala wa<br />
viumbe vyote kutangua sheria <strong>ya</strong>ke. Jaribio la kufan<strong>ya</strong> nafasi sheria <strong>ya</strong> Mungu lilijaribiwa<br />
katika Ufransa wakati kukana Mungu ulipokuwa na uwezo wa kutawala. Ilionyeshwa <strong>ya</strong><br />
kwamba kwa kutupa amri ambazo Mungu aliamuru ni kukubali kanuni <strong>ya</strong> mtawala wa uovu.<br />
Kuweka Kando Sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />
Wale wanaofundisha watu kutunza sheria za Mungu kwa urahisi wanapanda uasi kwa<br />
kuvuna uasi. Kuacha amri iliyoamuriwa kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu kuweka yote kando, na sheria<br />
za kibinadamu kwa upesi hazitajaliwa. Matokeo <strong>ya</strong> kutangua amri za Mungu ingekuwa kama<br />
hazikutumainiwa. Mali ha<strong>ya</strong>ngekuwa tena na usalama. Watu wangekamata milki <strong>ya</strong> jirani zao<br />
kwa jeuri, na walio hodari zaidi wangekuwa watajiri kuliko. Maisha yenyewe<br />
ha<strong>ya</strong>ngeheshimiwa Kiapo cha ndoa hakingedumu tena kuwa kama boma kwa kulinda jamaa.<br />
Yeye aliyekuwa na uwezo angekamata mke wa jirani <strong>ya</strong>ke kwa jeuri. Amri <strong>ya</strong> tano ingekuwa<br />
237