Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti utakapofika kwa kushangaza. Yote linayotumaini (kanisa) ni mahali pafaapo. Ye yote atakayeamini na kutii Neno la Mungu atapata laumu na mateso. 236

Kupinga ya Kiprotestanti Sura 36. Migogoro Inayokaribia Tangu mwanzo kabisa wa vita kubwa mbinguni, kusudi daima la Shetani lilikuwa kuvunja sheria ya Mungu. Kwa yeye kufikia kusudi lake ni kukataa sheria yote ama kukataa mojawapo ya amri zake, matokeo yatakuwa namna moja. Mtu anayekosa “katika neno moja tu” anaonyesha zarau kwa sheria yote; mvuto wake na mfano yanakuwa kwa upande wa kosa; anakuwa mwenye kukosa juu ya yote”. Yakobo 2:10. Shetani amepotesha mafundisho ya Biblia, na kwa hivi makosa yakaingia katika imani ya maelfu. Mapigano makubwa ya mwisho kati ya ukweli na uwongo ni juu ya amri ya Mungu, kati ya Biblia na dini ya uwongo na mambo ya asili. Biblia inafikia wote, lakini wachache tu wanaoikubali kama kiongozi cha uzima. Katika kanisa wengi wanakana nguzo za imani ya Kristo. Uumbaji, kuanguka kwa mtu, upatanisho wa Yesu Kristo kwa kufa kwake, na sheria ya Mungu hutawaliwa yote ao sehemu. Maelfu wanaizania kuwa kama ushuhuda wa uzaifu kuweka tumaini kamili katika Biblia. Ni rahisi kufanya sanamu na maelezo ya uwongo kama kufanya sanamu ya mti ao jiwe. Kwa kueleza Mungu vibaya, Shetani anaongoza watu kumzania katika tabia ya uwongo. Sanamu ya utilivu imewekwa katika pahali pa Mungu mwenye uhai kama anavyofuniliwa katika Neno lake, katika Kristo, na katika kazi ya uumbaji. Mungu wa watu hodari wengi, watunga mashairi, watu wa siasa, waandishi wa habari kwa magazetu-wa vyuo vikubwa (universités) vingi, hata wavyama vya elimu ya tabia na za Mungu na dini (théologie) ni afazali kidogo kuliko Bali, mungu wa jua wa Foiniki katika siku za Eliya. Hapana kosa linalofika kwa ujasiri zaidi juu ya mamlaka ya Mungu, hapana linalokuwa mbaya zaidi katika matukio yake, kuliko mafundisho ya kwamba sheria ya Mungu haina na masharti tena. Ufikiri ya kama wahuduma wenye kujulikana walikuwa wakifundisha kwa wazi ya kuwa sheria zinazotawala inchi yao hazikuwa za lazima, ya kama zilizuia mambo ya uhuru wa watu na haiwapashwi kutiiwa; muda gani watu kama wale wangevumiliwa katika mimbara? Ingekuwa muaminifu zaidi kwa mataifa kuvunja sheria zao kuliko kwa mtawala wa viumbe vyote kutangua sheria yake. Jaribio la kufanya nafasi sheria ya Mungu lilijaribiwa katika Ufransa wakati kukana Mungu ulipokuwa na uwezo wa kutawala. Ilionyeshwa ya kwamba kwa kutupa amri ambazo Mungu aliamuru ni kukubali kanuni ya mtawala wa uovu. Kuweka Kando Sheria ya Mungu Wale wanaofundisha watu kutunza sheria za Mungu kwa urahisi wanapanda uasi kwa kuvuna uasi. Kuacha amri iliyoamuriwa kwa sheria ya Mungu kuweka yote kando, na sheria za kibinadamu kwa upesi hazitajaliwa. Matokeo ya kutangua amri za Mungu ingekuwa kama hazikutumainiwa. Mali hayangekuwa tena na usalama. Watu wangekamata milki ya jirani zao kwa jeuri, na walio hodari zaidi wangekuwa watajiri kuliko. Maisha yenyewe hayangeheshimiwa Kiapo cha ndoa hakingedumu tena kuwa kama boma kwa kulinda jamaa. Yeye aliyekuwa na uwezo angekamata mke wa jirani yake kwa jeuri. Amri ya tano ingekuwa 237

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 36. Migogoro Inayokaribia<br />

Tangu mwanzo kabisa wa vita kubwa mbinguni, kusudi daima la Shetani lilikuwa kuvunja<br />

sheria <strong>ya</strong> Mungu. Kwa yeye kufikia kusudi lake ni kukataa sheria yote ama kukataa mojawapo<br />

<strong>ya</strong> amri zake, matokeo <strong>ya</strong>takuwa namna moja. Mtu anayekosa “katika neno moja tu”<br />

anaonyesha zarau kwa sheria yote; mvuto wake na mfano <strong>ya</strong>nakuwa kwa upande wa kosa;<br />

anakuwa mwenye kukosa juu <strong>ya</strong> yote”. Yakobo 2:10.<br />

Shetani amepotesha mafundisho <strong>ya</strong> Biblia, na kwa hivi makosa <strong>ya</strong>kaingia katika imani <strong>ya</strong><br />

maelfu. Mapigano makubwa <strong>ya</strong> mwisho kati <strong>ya</strong> ukweli na uwongo ni juu <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> Mungu,<br />

kati <strong>ya</strong> Biblia na dini <strong>ya</strong> uwongo na mambo <strong>ya</strong> asili. Biblia inafikia wote, lakini wachache tu<br />

wanaoikubali kama kiongozi cha uzima. Katika kanisa wengi wanakana nguzo za imani <strong>ya</strong><br />

Kristo. Uumbaji, kuanguka kwa mtu, upatanisho wa Yesu Kristo kwa kufa kwake, na sheria<br />

<strong>ya</strong> Mungu hutawaliwa yote ao sehemu. Maelfu wanaizania kuwa kama ushuhuda wa uzaifu<br />

kuweka tumaini kamili katika Biblia.<br />

Ni rahisi kufan<strong>ya</strong> sanamu na maelezo <strong>ya</strong> uwongo kama kufan<strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> mti ao jiwe.<br />

Kwa kueleza Mungu viba<strong>ya</strong>, Shetani anaongoza watu kumzania katika tabia <strong>ya</strong> uwongo.<br />

Sanamu <strong>ya</strong> utilivu imewekwa katika pahali pa Mungu mwenye uhai kama anavyofuniliwa<br />

katika Neno lake, katika Kristo, na katika kazi <strong>ya</strong> uumbaji. Mungu wa watu hodari wengi,<br />

watunga mashairi, watu wa siasa, waandishi wa habari kwa magazetu-wa vyuo vikubwa<br />

(universités) vingi, hata wav<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> tabia na za Mungu na dini (théologie) ni<br />

afazali kidogo kuliko Bali, mungu wa jua wa Foiniki katika siku za Eli<strong>ya</strong>. Hapana kosa<br />

linalofika kwa ujasiri zaidi juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Mungu, hapana linalokuwa mba<strong>ya</strong> zaidi katika<br />

matukio <strong>ya</strong>ke, kuliko mafundisho <strong>ya</strong> kwamba sheria <strong>ya</strong> Mungu haina na masharti tena. Ufikiri<br />

<strong>ya</strong> kama wahuduma wenye kujulikana walikuwa wakifundisha kwa wazi <strong>ya</strong> kuwa sheria<br />

zinazotawala inchi <strong>ya</strong>o hazikuwa za lazima, <strong>ya</strong> kama zilizuia mambo <strong>ya</strong> uhuru wa watu na<br />

haiwapashwi kutiiwa; muda gani watu kama wale wangevumiliwa katika mimbara?<br />

Ingekuwa muaminifu zaidi kwa mataifa kuvunja sheria zao kuliko kwa mtawala wa<br />

viumbe vyote kutangua sheria <strong>ya</strong>ke. Jaribio la kufan<strong>ya</strong> nafasi sheria <strong>ya</strong> Mungu lilijaribiwa<br />

katika Ufransa wakati kukana Mungu ulipokuwa na uwezo wa kutawala. Ilionyeshwa <strong>ya</strong><br />

kwamba kwa kutupa amri ambazo Mungu aliamuru ni kukubali kanuni <strong>ya</strong> mtawala wa uovu.<br />

Kuweka Kando Sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

Wale wanaofundisha watu kutunza sheria za Mungu kwa urahisi wanapanda uasi kwa<br />

kuvuna uasi. Kuacha amri iliyoamuriwa kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu kuweka yote kando, na sheria<br />

za kibinadamu kwa upesi hazitajaliwa. Matokeo <strong>ya</strong> kutangua amri za Mungu ingekuwa kama<br />

hazikutumainiwa. Mali ha<strong>ya</strong>ngekuwa tena na usalama. Watu wangekamata milki <strong>ya</strong> jirani zao<br />

kwa jeuri, na walio hodari zaidi wangekuwa watajiri kuliko. Maisha yenyewe<br />

ha<strong>ya</strong>ngeheshimiwa Kiapo cha ndoa hakingedumu tena kuwa kama boma kwa kulinda jamaa.<br />

Yeye aliyekuwa na uwezo angekamata mke wa jirani <strong>ya</strong>ke kwa jeuri. Amri <strong>ya</strong> tano ingekuwa<br />

237

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!