You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
nabii, “kidonda chake cha kufa kikapona: na dunia yote ikastaajabia n<strong>ya</strong>ma yule”. Paulo<br />
akataja <strong>ya</strong> kwamba “mwana wa uharibifu” ataendelea na kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> madanganyo kwa<br />
mwisho kabisa wa wakati”. 2 Tesalonika 2:3-8. Na “watu wote wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia<br />
watamwabudu, wale, majina <strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>kuandikwa katika kitabu cha uzima”. Ufunuo 13:8.<br />
Katika Ulimwengu wa Zamani na mp<strong>ya</strong>, kanisa la Papa litapokea heshima kwa heshima<br />
iliyotolewa kwa siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche).<br />
Tangu katikati <strong>ya</strong> karne <strong>ya</strong> kumi na tisa, wanafunzi wa unabii wameonyesha ushuhuda<br />
huu kwa ulimwengu. Sasa tunaona maendeleo <strong>ya</strong> upesi kwa utimilifu wa unabii. Kwa<br />
waalimu wa Waprotestanti kunakuwa na madai <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Mungu kwa<br />
ajili <strong>ya</strong> kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche), na ukosefu wa namna moja wa ushuhuda wa<br />
maandiko, kama kwa waongozi wa kanisa la Roma (Papa). Tangazo <strong>ya</strong> kwamba hukumu za<br />
Mungu zinafikia watu kwa ajili <strong>ya</strong> kuvunja sabato <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> kwanza (di-manche) litarudiliwa:<br />
ta<strong>ya</strong>ri linaanza kulazimishwa.<br />
Ni ajabu kwa werevu, Kanisa la Roma. Linaweza kusoma kitu gani kinapaswa kuwa--<strong>ya</strong><br />
kwamba makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti <strong>ya</strong>natoa heshima <strong>ya</strong>ke kwa Roma wanapokubali sabato<br />
<strong>ya</strong> uwongo na <strong>ya</strong> kwamba wanajita<strong>ya</strong>risha kuikaza kwa namna kanisa lenyewe lilifan<strong>ya</strong> katika<br />
siku zilizopita. Kwa upesi gani litapata usaada wa Waprotestanti katika kazi hii si vigumu<br />
kuelewa.<br />
Kanisa la Wakatoliki wa Roma linafan<strong>ya</strong> muungano mkubwa chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Papa,<br />
mamilioni <strong>ya</strong> washiriki wake katika kila inchi wanaagizwa utii kwa Papa, hata taifa lao liwe<br />
la namna gani wala serkali <strong>ya</strong>o. Ijapo wanaweza kuapa kiapo kuahidi uaminifu kwa serikali,<br />
lakini kinyume cha hii kunakuwa kiapo wala naziri <strong>ya</strong> uaminifu kwa Roma.<br />
Historia inashuhudia juu <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong> uerevu wa Roma kujiingiza mwenyewe katika<br />
mambo <strong>ya</strong> mataifa, kuweza kupata ustawi, kuendesha makusudi <strong>ya</strong>ke mwenyewe, hata kwa<br />
maangamizi <strong>ya</strong> watawala na watu.<br />
Ni majivuno <strong>ya</strong> Roma kwamba hawezi kubadili kamwe. Waprotestanti hawajui<br />
wanalolifan<strong>ya</strong> wanapokusudia kukubali usaada wa Roma kwa kazi <strong>ya</strong> kutukuza siku <strong>ya</strong><br />
kwanza (dimanche). Kwa namna wanavyoelekea kwa kusudi lao, Roma inakusudia<br />
kuimarisha mamlaka <strong>ya</strong>ke, kujipatia tena uwezo wake uliopotea. Acha kanuni kwanza<br />
liimarishwe na kanisa liweze kutawala uwezo wa serikali; na desturi za dini ziweze kukazwa<br />
na sheria za dunia; kwa kifupi, <strong>ya</strong> kwamba mamlaka <strong>ya</strong> kanisa na <strong>ya</strong> serikali itatawala<br />
zamirina ushindi wa Roma umehakikishwa.<br />
Jamii <strong>ya</strong> Waprotestanti itajifunza namna gani makusudi <strong>ya</strong> Roma inavyokuwa, ila tu<br />
wakati unapokwisha kupita kwa kuepuka mtego. Linasitawi kwa utulivu katika mamlaka.<br />
Mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>natumia mvuto katika vyumba v<strong>ya</strong> sheria, katika makanisa, na katika<br />
mioyo <strong>ya</strong> watu. Linaimarisha nguvu zake kuendesha maangamizo <strong>ya</strong>ke wakati mda<br />
235