12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

wote wakumbuke <strong>ya</strong> kwamba siku <strong>ya</strong> saba ilitakaswa na Mungu, na ilikubaliwa na kushikwa,<br />

si kwa Wayuda tu, lakini na kwa wengine wote wanaodai kuabudu Mungu; ingawa sisi<br />

Wakristo tumebadilisha Sabato <strong>ya</strong>o kwa Siku <strong>ya</strong> Bwana.”4 Wale waliokuwa wakiharibu<br />

sheria <strong>ya</strong> Mungu walikuwa wanajua tabia <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>o.<br />

Mufano wa kushangaza wa mipango <strong>ya</strong> Roma ulitolewa katika mateso marefu <strong>ya</strong> mauaji<br />

juu <strong>ya</strong> Waldenses (Vaudois), wengine wao walikuwa washika Sabato. (Tazama Nyongezo.)<br />

Historia <strong>ya</strong> makanisa <strong>ya</strong> Ethiopia na Abyssinia ni <strong>ya</strong> maana <strong>ya</strong> kipekee. Katikati <strong>ya</strong> huzuni <strong>ya</strong><br />

Miaka <strong>ya</strong> Giza, Wakristo wa Afrika <strong>ya</strong> Kati walifichama kwa uso wa dunia na wakasahauliwa<br />

na ulimwengu na kwa karne nyingi wakafurahia uhuru katika imani <strong>ya</strong>o. Mwishoni Roma<br />

ikajifunza juu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o, na mfalme wa Abyssinia akadanganywa hata akakubali Papa<br />

kama mjumbe mkubwa wa Kristo. Amri ikatolewa kukataza kushikwa kwa Sabato chini <strong>ya</strong><br />

malipizi makaii1] Lakini uonevu wa Papa (kanisa la Roma) kwa upesi ukawa nira <strong>ya</strong> kutia<br />

uchungu sana ambayo watu wa Abyssinia wakakusudia kuivunja. Wakuu wa Roma<br />

wakafukuziwa mbali kwa mamlaka <strong>ya</strong>o na imani <strong>ya</strong> zamani ikarudishwa.<br />

Wakati makanisa <strong>ya</strong> Afrika <strong>ya</strong>lipokuwa <strong>ya</strong>kishika Sabato katika utii kwa amri za Mungu,<br />

wakaepuka na kufan<strong>ya</strong> kazi siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche) kwa kufuatana na desturi <strong>ya</strong> kanisa.<br />

Roma ikavunja Sabato <strong>ya</strong> Mungu kwa kujiinua mwenyewe, lakini makanisa <strong>ya</strong> Afrika,<br />

<strong>ya</strong>kajificha karibu miaka elfu moja, ha<strong>ya</strong>kushirikiana kwa uasi huu. Walipoletwa chini <strong>ya</strong><br />

Roma, wakalazimishwa kuweka pembeni kweli na kutukuza sabato <strong>ya</strong> uwongo. Lakini kwa<br />

upesi walipopata tena uhuru wao wakarudia kutii amri <strong>ya</strong> ine. (Tazama Nyongezo).<br />

Mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naonyesha wazi uadui wa Roma kwa ajili <strong>ya</strong> Sabato <strong>ya</strong> kweli na<br />

wasimamizi wake. Neno la Mungu linafundisha <strong>ya</strong> kwamba mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napashwa<br />

kutendeka tena kwa namna kukaririwa kama vile Wakatoliki na Waprotestanti wanajiunga<br />

kwa kutukuza siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche).<br />

Mn<strong>ya</strong>ma wa Pembe Mbili Mfano wa Mwana-Kondoo<br />

Unabii wa Ufunuo 13 unatangaza <strong>ya</strong> kwamba mn<strong>ya</strong>ma wa pembe mbili mfano wa mwanakondoo<br />

atafan<strong>ya</strong> “dunia na wanaokaa ndani <strong>ya</strong>ke” kuabudu kanisa la Rome--lililofananishwa<br />

na mn<strong>ya</strong>ma “alikuwa mfano wa chui. “Mn<strong>ya</strong>ma wa pembe mbili itasema vilevile “wale<br />

wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, kufanyia sanamu yule mn<strong>ya</strong>ma”. Tena, naye anawafan<strong>ya</strong> wote,<br />

“wadogo na wakubwa, na matajiri na maskini na wahuru na wafungwa,” wapokee chapa cha<br />

mn<strong>ya</strong>ma. Ufunuo 13:11-16. Amerika ni uwezo uliofananishwa na n<strong>ya</strong>ma yule wa pembe<br />

mbili mfano wa mwana-kondoo. Unabii huu utatimilika wakati Mwungano wa mataifa <strong>ya</strong><br />

Amerika watakapokaza kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche), ambayo Roma inadai kama<br />

hakikisho kwa mamlaka <strong>ya</strong>ke.<br />

“Nikaona kimoja cha vichwa v<strong>ya</strong>ke, kama kimetiwa kidonda cha kufa; kidonda chake cha<br />

kufa kikapona; dunia yote ikastaajabia mn<strong>ya</strong>ma yule”. Ufunio 13:3. Kidonda cha kufa<br />

kinaonyesha kuanguka kwa kanisa la Roma (Papa) katika mwaka 1798. Baada <strong>ya</strong> hii, asema<br />

234

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!