12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

la Wakristo. Mpango wa kwanza wa kulazimisha watu wote kushika Siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma<br />

ilikuwa sheria iliyotolewa na Constantine. Ingawa ilikuwa kweli sheria <strong>ya</strong> kipagani, ilikazwa<br />

na mfalme akiisha kukubali dini <strong>ya</strong> Kikristo.<br />

Eusebius, kama askofu aliyetafuta upendeleo wa watawala, na aliyekuwa rafiki wa<br />

kipekee wa Constantine, akaendesha matangazo <strong>ya</strong> kwamba Kristo alihamisha Sabato na<br />

kuiweka kwa siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche). Hakuna ushuhuda wa Maandiko uliotolewa kuwa<br />

uhakikisho. Eusebius yeye mwenyewe, bila kuwa na hakikisho akatangaza uwongo wake.<br />

“Vitu vyote,” anasema, “Kila kitu kilichokuwa kazi <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kwa Sabato, hivi<br />

tumevihamisha kwa siku <strong>ya</strong> Bwana”. 2<br />

Kwa namna Kanisa la Roma lilipoimarishwa, kutukuzwa kwa Siku <strong>ya</strong> Kwanza<br />

kukaendelea. Kwa wakati mfupi siku <strong>ya</strong> saba iliendelea kushikwa kama Sabato, lakini<br />

baadaye badiliko likafanyika. Baadaye Papa akatoa maagizo <strong>ya</strong> kwamba padri wa wila<strong>ya</strong><br />

alipaswa kukaripia wanaoharibu siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche) wasilete msiba mkubwa juu <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe na kwa jirani.<br />

Amri za baraza zilizo hakikisha upungufu, wakubwa wa serkali wakaombwa sana kutoa<br />

amri ambayo ingeogopesha mioyo <strong>ya</strong> watu na kuwalazimisha kuacha kazi kwa siku <strong>ya</strong><br />

kwanza (dimanche). Kwa mkutano wa wakubwa wa kanisa uliofanywa Roma, mipango yote<br />

<strong>ya</strong> mbele ikahakikishwa tena na kuingizwa katika sheria <strong>ya</strong> kanisa na kukazwa na wakubwa<br />

wa serikali1]<br />

Lakini ukosefu wa mamlaka <strong>ya</strong> maandiko kwa ajili <strong>ya</strong> kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />

ukaleta mashaka. Watu wakauliza haki <strong>ya</strong> waalimu wao kwa ajili <strong>ya</strong> kutia pembeni tangazo<br />

hili, “Siku <strong>ya</strong> saba ni Sabato kwa Bwana Mungu wako,” ili kuheshimu siku <strong>ya</strong> jua. Kwa<br />

kusaidia ukosefu wa ushuhuda wa Biblia, mashauri mengine <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> lazima.<br />

Musimamizi wa nguvu wa siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche), ambaye karibu mwisho wa karne<br />

<strong>ya</strong> kumi na mbili alizuru makanisa <strong>ya</strong> Uingereza, akapingwa na washuhuda waaminifu kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> kweli; na kwa hivi nguvu <strong>ya</strong>ke ilikuwa <strong>ya</strong> bure hata akatoka kwa inchi wakati moja.<br />

Wakati aliporudi, akaleta mkunjo waonyesho ambayo alidai kutoka kwa Mungu mwenyewe,<br />

iliyokuwa na agizo la kulazimisha watu kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche), pamoja na<br />

matisho <strong>ya</strong> ajabu kuogopesha wasiotii. Maandiko ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> damani <strong>ya</strong>lisemwa wala kutajwa<br />

kuwa <strong>ya</strong> kuanguka kutoka mbinguni na kupatikana pale Yerusalema juu <strong>ya</strong> mazabahu <strong>ya</strong><br />

Simeona Mtakatifu, katika Golgotha. Lakini, kwa kweli <strong>ya</strong>liandikwa katika jumba kubwa la<br />

askofu kule Roma. Madanganyo na maandiko <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong>likuwa katika miaka yote<br />

<strong>ya</strong>kihesabiwa <strong>ya</strong> kweli kwa watawala wa kanisa la Roma. (Tazama kwa Mwisho wa Kitabu<br />

(Nyongezo), hati kwa ukarasa 37.)<br />

Lakini ijapo walifan<strong>ya</strong> nguvu kwa kuanzisha utakatifu wa Siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />

wakuu wa kanisa la Roma wao wenyewe kwa wazi wakatubu kwamba sabato inatoka kwa<br />

mamlaka <strong>ya</strong> Mungu. Katika karne <strong>ya</strong> kumi na sita baraza la Papa ikatangaza: “Acha Wakristo<br />

233

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!