Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti Kanisa la Roma ni kama vile unabii ulivyotangaza kwamba lingekuwa, ni kukufuru kwa nyakati za mwisho. Tazama 2 Watesalonika 2 :3,4. Chini ya mfano wa kigeugeu linaficha sumu isiyobadilika ya nyoka. Je, uwezo huu, ambao ukumbusho wake kwa miaka elfu umeandikwa katika damu ya watakatifu, utakubaliwa kama sehemu ya kanisa la Kristo? Badiliko katika Kanisa la Protestanti Madai yamewekwa katika inchi za Kiprotestanti ya kwamba Dini ya Kikatoliki inakuwa tofauti kidogo kwa Dini ya Kiprotestanti kuliko nyakati za zamani. Hapo kumekuwa badiliko; lakini badiliko haliko katika kanisa la Roma. Kanisa la Katoliki linafanana sana na Kanisa la Kiprotestanti linalokuwa sasa kwa sababu Kanisa la Kiprotestanti kiliharibika tabia sana tangu siku za Watengenezaji (Reformateurs). Makanisa ya Kiprotestanti, kutafuta mapendeleo ya ulimwen-gu, yanaamini kila kitu kibaya kuwa kizuri, na kama matokeo wataamini mwishoni kila kitu kizuri kuwa kibaya. Wanakuwa sasa, kama ilivyokuwa, kujitetea kwa Roma kwa ajili ya mawazo yao isiyokuwa na mapendo kwake, kuomba musamaha kwa “ushupavu” wao. Wengi wanasihi sana ya kwamba giza ya kiakili na yakiroho iliyokuwa pote wakati wa Miaka ya Katikati ilisaidia Roma kueneza mambo ya uchawi na mateso, na ya kwamba akili kubwa zaidi ya nyakati za sasa na kuongezeka kwa wema katika mambo ya dini kunakataza mwamsho wa kutovumilia. Watu wanacheka sana wazo la kwamba mambo ya namna ile yanaweza kutokea kwa nyakati za nuru. Inapaswa kukumbukwa lakini ya kwamba kwa namna nuru inapotolewa zaidi, na zaidi giza ya wale wanaopotea na kuikataa itakuwa kubwa. Siku ya giza kubwa ya walio elimishwa imesaidia kwa mafanikio ya kanisa la Roma (Papa). Siku ya nuru kubwa ya walioelimishwa nayo itasaidia vile vile. Katika miaka iliyopita wakati watu walipokuwa pasipo maarifa ya ukweli, maelfu walikamatwa kwa mtego, bila kuona wavu uliotandikwa kwa nyanyo zao. Katika kizazi hiki wengi hawatambui wavu na wanatembea ndani yake mara moja bila kufikiri. Wakati watu wanapotukuza mafundisho yao wenyewe juu ya Neno la Mungu, akili inaweza kutimiza maumivu makubwa kuliko ujinga. Kwa hivyo elimu ya uwongo ya wakati huu utahakikisha mafanikio ya kutayarisha njia kwa kukubali kanisa la Roma (Papa), kama kukataa kwa maarifa kulivyofanya katika Miaka ya Giza. Kushika Siku ya Kwanza (Jumapili) Kushika siku ya kwanza (jumapili) ni desturi ilioanzishwa na Roma, ambayo anadai kuwa alama ya mamlaka yake. Roho ya Kanisa la Roma (Papa)--ya mapatano kwa desturi za kidunia, heshima kwa desturi za kibinadamu juu ya amri za Mungu--inaenea sehemu zote za makanisa ya Waprotestanti na kuwaongoza kwa kazi ya namna moja ya kutukuza Siku ya kwanza (Jumapili) ambayo kanisa la Roma limeigeuza mbele yao. Sheria za kifalme, baraza za kawaida na maagizo ya kanisa zilizokubaliwa na mamlaka ya kidunia zilikuwa ni hatua ambazo siku kuu za kishenzi zilifikia cheo cha heshima katika dunia 232
Kupinga ya Kiprotestanti la Wakristo. Mpango wa kwanza wa kulazimisha watu wote kushika Siku ya kwanza ya juma ilikuwa sheria iliyotolewa na Constantine. Ingawa ilikuwa kweli sheria ya kipagani, ilikazwa na mfalme akiisha kukubali dini ya Kikristo. Eusebius, kama askofu aliyetafuta upendeleo wa watawala, na aliyekuwa rafiki wa kipekee wa Constantine, akaendesha matangazo ya kwamba Kristo alihamisha Sabato na kuiweka kwa siku ya kwanza (dimanche). Hakuna ushuhuda wa Maandiko uliotolewa kuwa uhakikisho. Eusebius yeye mwenyewe, bila kuwa na hakikisho akatangaza uwongo wake. “Vitu vyote,” anasema, “Kila kitu kilichokuwa kazi ya kufanya kwa Sabato, hivi tumevihamisha kwa siku ya Bwana”. 2 Kwa namna Kanisa la Roma lilipoimarishwa, kutukuzwa kwa Siku ya Kwanza kukaendelea. Kwa wakati mfupi siku ya saba iliendelea kushikwa kama Sabato, lakini baadaye badiliko likafanyika. Baadaye Papa akatoa maagizo ya kwamba padri wa wilaya alipaswa kukaripia wanaoharibu siku ya kwanza (dimanche) wasilete msiba mkubwa juu yao wenyewe na kwa jirani. Amri za baraza zilizo hakikisha upungufu, wakubwa wa serkali wakaombwa sana kutoa amri ambayo ingeogopesha mioyo ya watu na kuwalazimisha kuacha kazi kwa siku ya kwanza (dimanche). Kwa mkutano wa wakubwa wa kanisa uliofanywa Roma, mipango yote ya mbele ikahakikishwa tena na kuingizwa katika sheria ya kanisa na kukazwa na wakubwa wa serikali1] Lakini ukosefu wa mamlaka ya maandiko kwa ajili ya kushika siku ya kwanza (dimanche) ukaleta mashaka. Watu wakauliza haki ya waalimu wao kwa ajili ya kutia pembeni tangazo hili, “Siku ya saba ni Sabato kwa Bwana Mungu wako,” ili kuheshimu siku ya jua. Kwa kusaidia ukosefu wa ushuhuda wa Biblia, mashauri mengine yalikuwa ya lazima. Musimamizi wa nguvu wa siku ya kwanza (dimanche), ambaye karibu mwisho wa karne ya kumi na mbili alizuru makanisa ya Uingereza, akapingwa na washuhuda waaminifu kwa ajili ya kweli; na kwa hivi nguvu yake ilikuwa ya bure hata akatoka kwa inchi wakati moja. Wakati aliporudi, akaleta mkunjo waonyesho ambayo alidai kutoka kwa Mungu mwenyewe, iliyokuwa na agizo la kulazimisha watu kushika siku ya kwanza (dimanche), pamoja na matisho ya ajabu kuogopesha wasiotii. Maandiko haya ya damani yalisemwa wala kutajwa kuwa ya kuanguka kutoka mbinguni na kupatikana pale Yerusalema juu ya mazabahu ya Simeona Mtakatifu, katika Golgotha. Lakini, kwa kweli yaliandikwa katika jumba kubwa la askofu kule Roma. Madanganyo na maandiko ya uwongo yalikuwa katika miaka yote yakihesabiwa ya kweli kwa watawala wa kanisa la Roma. (Tazama kwa Mwisho wa Kitabu (Nyongezo), hati kwa ukarasa 37.) Lakini ijapo walifanya nguvu kwa kuanzisha utakatifu wa Siku ya kwanza (dimanche) wakuu wa kanisa la Roma wao wenyewe kwa wazi wakatubu kwamba sabato inatoka kwa mamlaka ya Mungu. Katika karne ya kumi na sita baraza la Papa ikatangaza: “Acha Wakristo 233
- Page 189 and 190: Kupinga ya Kiprotestanti linainua k
- Page 191 and 192: Kupinga ya Kiprotestanti “Mnyama
- Page 193 and 194: Kupinga ya Kiprotestanti kutolewa k
- Page 195 and 196: Kupinga ya Kiprotestanti Tangu siku
- Page 197 and 198: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 27. M
- Page 199 and 200: Kupinga ya Kiprotestanti Sheria ya
- Page 201 and 202: Kupinga ya Kiprotestanti Hapawezi k
- Page 203 and 204: Kupinga ya Kiprotestanti zote, namn
- Page 205 and 206: Kupinga ya Kiprotestanti Katika “
- Page 207 and 208: Kupinga ya Kiprotestanti aliyebaki
- Page 209 and 210: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 211 and 212: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa,
- Page 213 and 214: Kupinga ya Kiprotestanti za Mungu k
- Page 215 and 216: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 30. U
- Page 217 and 218: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 31. P
- Page 219 and 220: Kupinga ya Kiprotestanti Kapernaumu
- Page 221 and 222: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa kusima
- Page 223 and 224: Kupinga ya Kiprotestanti ya viumbe
- Page 225 and 226: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 33. K
- Page 227 and 228: Kupinga ya Kiprotestanti yameenea p
- Page 229 and 230: Kupinga ya Kiprotestanti Je, wale a
- Page 231 and 232: Kupinga ya Kiprotestanti 4:1618. Ka
- Page 233 and 234: Kupinga ya Kiprotestanti juu ya dun
- Page 235 and 236: Kupinga ya Kiprotestanti anawashiki
- Page 237 and 238: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 35. U
- Page 239: Kupinga ya Kiprotestanti Wanaweka m
- Page 243 and 244: Kupinga ya Kiprotestanti nabii, “
- Page 245 and 246: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 36. M
- Page 247 and 248: Kupinga ya Kiprotestanti kuchangany
- Page 249 and 250: Kupinga ya Kiprotestanti “Joka ak
- Page 251 and 252: Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu Kupi
- Page 253 and 254: Kupinga ya Kiprotestanti kweli atas
- Page 255 and 256: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mmo
- Page 257 and 258: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mtu
- Page 259 and 260: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 39. W
- Page 261 and 262: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa namna
- Page 263 and 264: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenyewe.
- Page 265 and 266: Kupinga ya Kiprotestanti wanamlio w
- Page 267 and 268: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 40. U
- Page 269 and 270: Kupinga ya Kiprotestanti mwenye uha
- Page 271 and 272: Kupinga ya Kiprotestanti yote, na s
- Page 273 and 274: Kupinga ya Kiprotestanti walioheshi
- Page 275 and 276: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 41. D
- Page 277 and 278: Kupinga ya Kiprotestanti zamani, an
- Page 279 and 280: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 42. V
- Page 281 and 282: Kupinga ya Kiprotestanti ambayo wal
- Page 283 and 284: Kupinga ya Kiprotestanti Kila swali
- Page 285 and 286: Kupinga ya Kiprotestanti Huko ni Ye
- Page 288: Kungojea Mwisho
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kanisa la Roma ni kama vile unabii ulivyotangaza kwamba lingekuwa, ni kukufuru kwa<br />
n<strong>ya</strong>kati za mwisho. Tazama 2 Watesalonika 2 :3,4. Chini <strong>ya</strong> mfano wa kigeugeu linaficha<br />
sumu isiyobadilika <strong>ya</strong> nyoka. Je, uwezo huu, ambao ukumbusho wake kwa miaka elfu<br />
umeandikwa katika damu <strong>ya</strong> watakatifu, utakubaliwa kama sehemu <strong>ya</strong> kanisa la Kristo?<br />
Badiliko katika Kanisa la Protestanti<br />
Madai <strong>ya</strong>mewekwa katika inchi za <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong> kwamba Dini <strong>ya</strong> Kikatoliki inakuwa<br />
tofauti kidogo kwa Dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> kuliko n<strong>ya</strong>kati za zamani. Hapo kumekuwa badiliko;<br />
lakini badiliko haliko katika kanisa la Roma. Kanisa la Katoliki linafanana sana na Kanisa la<br />
<strong>Kiprotestanti</strong> linalokuwa sasa kwa sababu Kanisa la <strong>Kiprotestanti</strong> kiliharibika tabia sana tangu<br />
siku za Watengenezaji (Reformateurs).<br />
Makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong>, kutafuta mapendeleo <strong>ya</strong> ulimwen-gu, <strong>ya</strong>naamini kila kitu<br />
kiba<strong>ya</strong> kuwa kizuri, na kama matokeo wataamini mwishoni kila kitu kizuri kuwa kiba<strong>ya</strong>.<br />
Wanakuwa sasa, kama ilivyokuwa, kujitetea kwa Roma kwa ajili <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>o isiyokuwa<br />
na mapendo kwake, kuomba musamaha kwa “ushupavu” wao. Wengi wanasihi sana <strong>ya</strong><br />
kwamba giza <strong>ya</strong> kiakili na <strong>ya</strong>kiroho iliyokuwa pote wakati wa Miaka <strong>ya</strong> Katikati ilisaidia<br />
Roma kueneza mambo <strong>ya</strong> uchawi na mateso, na <strong>ya</strong> kwamba akili kubwa zaidi <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati za<br />
sasa na kuongezeka kwa wema katika mambo <strong>ya</strong> dini kunakataza mwamsho wa kutovumilia.<br />
Watu wanacheka sana wazo la kwamba mambo <strong>ya</strong> namna ile <strong>ya</strong>naweza kutokea kwa n<strong>ya</strong>kati<br />
za nuru. Inapaswa kukumbukwa lakini <strong>ya</strong> kwamba kwa namna nuru inapotolewa zaidi, na<br />
zaidi giza <strong>ya</strong> wale wanaopotea na kuikataa itakuwa kubwa.<br />
Siku <strong>ya</strong> giza kubwa <strong>ya</strong> walio elimishwa imesaidia kwa mafanikio <strong>ya</strong> kanisa la Roma<br />
(Papa). Siku <strong>ya</strong> nuru kubwa <strong>ya</strong> walioelimishwa nayo itasaidia vile vile. Katika miaka iliyopita<br />
wakati watu walipokuwa pasipo maarifa <strong>ya</strong> ukweli, maelfu walikamatwa kwa mtego, bila<br />
kuona wavu uliotandikwa kwa n<strong>ya</strong>nyo zao. Katika kizazi hiki wengi hawatambui wavu na<br />
wanatembea ndani <strong>ya</strong>ke mara moja bila kufikiri. Wakati watu wanapotukuza mafundisho <strong>ya</strong>o<br />
wenyewe juu <strong>ya</strong> Neno la Mungu, akili inaweza kutimiza maumivu makubwa kuliko ujinga.<br />
Kwa hivyo elimu <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong> wakati huu utahakikisha mafanikio <strong>ya</strong> kuta<strong>ya</strong>risha njia kwa<br />
kukubali kanisa la Roma (Papa), kama kukataa kwa maarifa kulivyofan<strong>ya</strong> katika Miaka <strong>ya</strong><br />
Giza.<br />
Kushika Siku <strong>ya</strong> Kwanza (Jumapili)<br />
Kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (jumapili) ni desturi ilioanzishwa na Roma, ambayo anadai kuwa<br />
alama <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke. Roho <strong>ya</strong> Kanisa la Roma (Papa)--<strong>ya</strong> mapatano kwa desturi za<br />
kidunia, heshima kwa desturi za kibinadamu juu <strong>ya</strong> amri za Mungu--inaenea sehemu zote za<br />
makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti na kuwaongoza kwa kazi <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> kutukuza Siku <strong>ya</strong><br />
kwanza (Jumapili) ambayo kanisa la Roma limeigeuza mbele <strong>ya</strong>o.<br />
Sheria za kifalme, baraza za kawaida na maagizo <strong>ya</strong> kanisa zilizokubaliwa na mamlaka <strong>ya</strong><br />
kidunia zilikuwa ni hatua ambazo siku kuu za kishenzi zilifikia cheo cha heshima katika dunia<br />
232