12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 3. Giza la Kiroyo Katika<br />

Mtume Paulo alisema kwamba siku <strong>ya</strong> Kristo haingepaswa kuja “ila maasi <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>fike<br />

mbele, na mtu yule wa kuasi akafunuliwe, mwana wa uharibifu, yeye mpinzani na<br />

kujionyesha mwenyewe juu <strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>nayoitwa Mungu ao kuabudiwa, hata kuketi ndani <strong>ya</strong><br />

hekalu la Mungu akijionyesha mwenyewe kama yeye ndiye Mungu”. Na zaidi, “Maana siri<br />

<strong>ya</strong> uasi hata sasa inatenda kazi”. 2 Watesalonika 2:3,4,7. Hata kwa tarehe ile <strong>ya</strong> mwanzo<br />

mtume aliona, makosa kuingia kim<strong>ya</strong> polepole, <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>ngeta<strong>ya</strong>risha njia kwa ajili <strong>ya</strong> Kanisa<br />

la Kipapa.<br />

Pole pole, “siri <strong>ya</strong> uasi” ikaendesha kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> Kudangan<strong>ya</strong>. Desturi za kipagani<br />

zikapata njia zao katika kanisa la Kikristo, zilipozuiwa wakati wa mateso makali chini <strong>ya</strong><br />

upagani; lakini wakati mateso <strong>ya</strong>lipokoma, ukristo ukaweka kando unyenyekevu wa Kristo<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> fahari <strong>ya</strong> mapadri wa kipagani na watawala. Kugeuka kwa jina tu kwa Constantini<br />

ukaleta furaha kubwa. Sasa kazi <strong>ya</strong> maovu ikaendelea kwa upesi. Upagani, ulionekana<br />

kushindwa kabisa.. Mafundisho <strong>ya</strong>ke na mambo <strong>ya</strong> uchawi <strong>ya</strong>kaingia katika imani <strong>ya</strong><br />

waliojidai kuwa wafuasi wa Kristo.<br />

Mapatano ha<strong>ya</strong> kati <strong>ya</strong> upagani na ukristo <strong>ya</strong>katokea katika “mutu wa zambi”<br />

aliyetabiriwa katika unabii. Dini ile <strong>ya</strong> uwongo kazi bora <strong>ya</strong> Shetani, juhudi <strong>ya</strong>ke kwa kukaa<br />

mwenyewe juu <strong>ya</strong> kiti cha ufalme kwa kutawala dunia kufuatana na mapenzi <strong>ya</strong>ke.<br />

Ni mojawapo <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> Kiroma <strong>ya</strong> msingi kwamba Papa amepewa mamlaka kuu<br />

juu <strong>ya</strong> maaskofu na wachungaji (pasteurs) katika ulimwengu wote. Zaidi <strong>ya</strong> jambo hili<br />

ameitwa “Bwana Mungu Papa” na ametangaziwa kuwa asiyeweza kukosa. (Tazama Mwisho<br />

wa Kitabu (Nyongezo)) Madai <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong>llazimishwa na Shetani katika jangwa la<br />

majaribu <strong>ya</strong>ngali <strong>ya</strong>kiendeshwa naye kati <strong>ya</strong> Kanisa la Kirumi, na hesabu kubwa wanamtolea<br />

heshima kubwa.<br />

Lakini wale wanaoheshimu Mungu wanapigana majivuno ha<strong>ya</strong> kama vile Kristo<br />

alipambana na adui mwerevu: “Utaabudu Bwana Mungu wako,yeye peke utamutumikia”.<br />

Luka 4:8. Mungu hakuagiza kamwe mtu ye yote kuwa kichwa cha kanisa. Utawala wa kipapa<br />

unakuwa kinyume kabisa na Maandiko. Papa hawezi kuwa na mamlaka juu <strong>ya</strong> Kanisa la<br />

Kristo isipokuwa kwa njia <strong>ya</strong> kun<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong>. Warumi huleta juu <strong>ya</strong> Waprotestanti madai <strong>ya</strong><br />

kwamba kwa mapenzi <strong>ya</strong>o walijitenga kwa kanisa la kweli. Lakini ni wao waliacha “imani<br />

waliyopewa watakatifu mara moja tu”. Yuda 3.<br />

Shetani alijua vizuri kwamba ilikuwa kwa Maandiko matakatifu ambayo Mwokozi<br />

alishindana na mashambulio <strong>ya</strong>ke. Kwa kila shambulio, Kristo alionyesha ngabo <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong><br />

milele, kusema, “Imeandikwa”. Kwa kudumisha uwezo wa utawala wake juu <strong>ya</strong> watu na<br />

kuanzisha mamlaka <strong>ya</strong> Papa mun<strong>ya</strong>nganyi, anapaswa kuendelea kufunga, watu katika kutojua<br />

Maandiko matakatifu. Mambo <strong>ya</strong> kweli matakatifu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lipaswa kufichwa na komeshwa.<br />

Kwa mda wa miaka mamia <strong>ya</strong> uenezaji wa Biblia ulikatazwa na Kanisa la Roma. Watu<br />

16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!