You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 3. Giza la Kiroyo Katika<br />
Mtume Paulo alisema kwamba siku <strong>ya</strong> Kristo haingepaswa kuja “ila maasi <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>fike<br />
mbele, na mtu yule wa kuasi akafunuliwe, mwana wa uharibifu, yeye mpinzani na<br />
kujionyesha mwenyewe juu <strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>nayoitwa Mungu ao kuabudiwa, hata kuketi ndani <strong>ya</strong><br />
hekalu la Mungu akijionyesha mwenyewe kama yeye ndiye Mungu”. Na zaidi, “Maana siri<br />
<strong>ya</strong> uasi hata sasa inatenda kazi”. 2 Watesalonika 2:3,4,7. Hata kwa tarehe ile <strong>ya</strong> mwanzo<br />
mtume aliona, makosa kuingia kim<strong>ya</strong> polepole, <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>ngeta<strong>ya</strong>risha njia kwa ajili <strong>ya</strong> Kanisa<br />
la Kipapa.<br />
Pole pole, “siri <strong>ya</strong> uasi” ikaendesha kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> Kudangan<strong>ya</strong>. Desturi za kipagani<br />
zikapata njia zao katika kanisa la Kikristo, zilipozuiwa wakati wa mateso makali chini <strong>ya</strong><br />
upagani; lakini wakati mateso <strong>ya</strong>lipokoma, ukristo ukaweka kando unyenyekevu wa Kristo<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> fahari <strong>ya</strong> mapadri wa kipagani na watawala. Kugeuka kwa jina tu kwa Constantini<br />
ukaleta furaha kubwa. Sasa kazi <strong>ya</strong> maovu ikaendelea kwa upesi. Upagani, ulionekana<br />
kushindwa kabisa.. Mafundisho <strong>ya</strong>ke na mambo <strong>ya</strong> uchawi <strong>ya</strong>kaingia katika imani <strong>ya</strong><br />
waliojidai kuwa wafuasi wa Kristo.<br />
Mapatano ha<strong>ya</strong> kati <strong>ya</strong> upagani na ukristo <strong>ya</strong>katokea katika “mutu wa zambi”<br />
aliyetabiriwa katika unabii. Dini ile <strong>ya</strong> uwongo kazi bora <strong>ya</strong> Shetani, juhudi <strong>ya</strong>ke kwa kukaa<br />
mwenyewe juu <strong>ya</strong> kiti cha ufalme kwa kutawala dunia kufuatana na mapenzi <strong>ya</strong>ke.<br />
Ni mojawapo <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> Kiroma <strong>ya</strong> msingi kwamba Papa amepewa mamlaka kuu<br />
juu <strong>ya</strong> maaskofu na wachungaji (pasteurs) katika ulimwengu wote. Zaidi <strong>ya</strong> jambo hili<br />
ameitwa “Bwana Mungu Papa” na ametangaziwa kuwa asiyeweza kukosa. (Tazama Mwisho<br />
wa Kitabu (Nyongezo)) Madai <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong>llazimishwa na Shetani katika jangwa la<br />
majaribu <strong>ya</strong>ngali <strong>ya</strong>kiendeshwa naye kati <strong>ya</strong> Kanisa la Kirumi, na hesabu kubwa wanamtolea<br />
heshima kubwa.<br />
Lakini wale wanaoheshimu Mungu wanapigana majivuno ha<strong>ya</strong> kama vile Kristo<br />
alipambana na adui mwerevu: “Utaabudu Bwana Mungu wako,yeye peke utamutumikia”.<br />
Luka 4:8. Mungu hakuagiza kamwe mtu ye yote kuwa kichwa cha kanisa. Utawala wa kipapa<br />
unakuwa kinyume kabisa na Maandiko. Papa hawezi kuwa na mamlaka juu <strong>ya</strong> Kanisa la<br />
Kristo isipokuwa kwa njia <strong>ya</strong> kun<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong>. Warumi huleta juu <strong>ya</strong> Waprotestanti madai <strong>ya</strong><br />
kwamba kwa mapenzi <strong>ya</strong>o walijitenga kwa kanisa la kweli. Lakini ni wao waliacha “imani<br />
waliyopewa watakatifu mara moja tu”. Yuda 3.<br />
Shetani alijua vizuri kwamba ilikuwa kwa Maandiko matakatifu ambayo Mwokozi<br />
alishindana na mashambulio <strong>ya</strong>ke. Kwa kila shambulio, Kristo alionyesha ngabo <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong><br />
milele, kusema, “Imeandikwa”. Kwa kudumisha uwezo wa utawala wake juu <strong>ya</strong> watu na<br />
kuanzisha mamlaka <strong>ya</strong> Papa mun<strong>ya</strong>nganyi, anapaswa kuendelea kufunga, watu katika kutojua<br />
Maandiko matakatifu. Mambo <strong>ya</strong> kweli matakatifu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lipaswa kufichwa na komeshwa.<br />
Kwa mda wa miaka mamia <strong>ya</strong> uenezaji wa Biblia ulikatazwa na Kanisa la Roma. Watu<br />
16