You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wanaweka misalaba kwa makanisa <strong>ya</strong>o, mazabahu <strong>ya</strong>o, na mavazi <strong>ya</strong>o. Po pote alama <strong>ya</strong><br />
msalaba kwa inje inaheshimiwa na kutukuzwa. Lakini mafundisho <strong>ya</strong> Kristo <strong>ya</strong>nazikwa chini<br />
<strong>ya</strong> desturi za uongo na malipizi makali. Roho aminifu zinalindwa katika woga wa hasira <strong>ya</strong><br />
Mungu aliyechukizwa, wakati wakuu wa kanisa wengi wanaishi katika anasa na tamaa <strong>ya</strong><br />
mwili.<br />
Ni juhudi <strong>ya</strong> daima <strong>ya</strong> Shetani kusingizia tabia <strong>ya</strong> Mungu, asili <strong>ya</strong> zambi, na matokeo<br />
kwenye mti wa kuchoma wafia dini katika vita kuu. Madanganyo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>natoa watu ruhusa<br />
kwa zambi. Kwa wakati ule ule anaanzisha mawazo <strong>ya</strong> uwongo juu <strong>ya</strong> Mungu ili<br />
wamwangalie kwa hofo na chuki kuliko kwa upendo. Kwa njia <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>liyopotoshwa<br />
juu <strong>ya</strong> tabia za Mungu, mataifa <strong>ya</strong> kishenzi waliongozwa kuamini kafara za kibinadamu kuwa<br />
za lazima kwakupata mapendo <strong>ya</strong> Mungu. Mambo makali <strong>ya</strong> kuogopesha <strong>ya</strong>metendwa chini<br />
<strong>ya</strong> mifano mbalimbali <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu.<br />
Umoja wa Upagani na Ukristo<br />
Kanisa la Katoliki la Roma, kwa kuunganisha upagani na Ukristo, na, kama upagani,<br />
kusingizia tabia <strong>ya</strong> Mungu, lilitumia basi matendo makali. Vyombo v<strong>ya</strong> mateso vilishurutisha<br />
watu kukubali mafundisho <strong>ya</strong>ke. Wakuu wa kanisa wakajifunza kuvumbua njia za kufanyiza<br />
mateso makubwa iwezekanavyo bila kuondoa maisha <strong>ya</strong> wale wasingekubali madai <strong>ya</strong>ke.<br />
Kwa mara nyingi yule aliyeteswa alipokea mauti kuwa kufunguliwa kuzuri.<br />
Kwa wafuasi wa Roma kanisa lilikuwa na malezi <strong>ya</strong> shida, njaa, <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong> mwili. Kwa<br />
kupata kibali cha Mungu, wenye kutubu walifundishwa kupasua vifungo ambavyo Mungu<br />
alivifan<strong>ya</strong> kwa kubariki na kufurahisha maisha <strong>ya</strong> mwanadamu duniani. Uwanja wa kanisa<br />
unakuwa na mamilioni <strong>ya</strong> watu waliotoa maisha <strong>ya</strong>o kwa masumbuko <strong>ya</strong> bure, kwa<br />
kukomesha, kama machukizo kwa Mungu, kila wazo na nia <strong>ya</strong> huruma kwa viumbe wenzao.<br />
Mungu hakuweka kamwe mojawapo <strong>ya</strong> mizigo hii mzito juu watu wo wote. Kristo<br />
hakutoa mfano kwa wanaume na wanawake kujifungia wenyewe katika nyumba <strong>ya</strong> watawa<br />
(monasteres) ili kuweza kustahili kuingia mbinguni. Hakufundisha kamwe <strong>ya</strong> kwamba<br />
mapendo <strong>ya</strong>napashwa kukomeshwa.<br />
Papa anadai kuwa mjumbe mkubwa wa Kristo. Lakini je, Kristo alijulikana daima kutupa<br />
watu kwa gereza kwa sababu hawakumtolea heshima kubwa kama Mfalme wa mbingu? Je,<br />
sauti <strong>ya</strong>ke ilisikiwa kuhukumu kwa mauti wale wasiomkubali?<br />
Kanisa la Roma sasa linaonyesha uso mzuri kwa ulimwengu, kufunika kwa maneno <strong>ya</strong><br />
kujitetea ukumbusho wake wa maovu <strong>ya</strong> kuchukiza. Limejivika lenyewe mavazi <strong>ya</strong> mfano<br />
wa Kikristo, lakini linakuwa lisilobadilika. Kanuni yo yote <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Roma katika vizazi v<strong>ya</strong><br />
wakati uliopita inakuwako leo. Mafundisho <strong>ya</strong>liyoshauriwa kwa miaka <strong>ya</strong> giza <strong>ya</strong>ngali<br />
<strong>ya</strong>nashikwa. Dini <strong>ya</strong> Roma ambayo Waprotestanti wanaheshimu sasa ni ileile iliyotawala<br />
katika siku za Matengenezo (Reformation), wakati watu wa Mungu waliposimama kwa hatari<br />
<strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o kufunua zambi lake.<br />
231