Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wakati msingi wa kanisa la Roma linaimarishwa juu <strong>ya</strong> madanganyo, si la ushenzi na<br />
ujiinga. Huduma <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Kanisa la Roma kawaida ni <strong>ya</strong> kuvuta sana. Maonyesho <strong>ya</strong>ke<br />
mazuri sana mengi na kanuni kubwa za dini zinavuta watu na kun<strong>ya</strong>mazisha sauti <strong>ya</strong> akili na<br />
zamiri. Jicho linavutwa kwa uzuri. Makanisa mazuri kabisa, maandamano makubwa <strong>ya</strong> ajabu,<br />
mazabahu <strong>ya</strong> zahabu, sanduku za kuwekea vitu vitakatifu za johari, mapicha mazuri, na<br />
muchoro bora vinavuta wenye kupenda uzuri. Muziki ni waajabu. Nukta za muziki nzuri za<br />
kutoka kwa sauti kubwa za kinanda zinachanganyika na nyimbo tamu sana za sauti nyingi<br />
kama inavyoongeza katika madari <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong> juu sana na sehemu ndefu <strong>ya</strong> nguzo <strong>ya</strong><br />
majengo makubwa <strong>ya</strong> kanisa <strong>ya</strong>ke, <strong>ya</strong>navuta akili <strong>ya</strong> uchai na heshima.<br />
Utukufu huu wa inje na ibada vinacheka tamaa za nafsi yenye kugonjwa <strong>ya</strong> zambi. Dini<br />
<strong>ya</strong> Kristo haihitaji mivuto <strong>ya</strong> namna hiyo. Nuru inayongaa kutoka kwa msalaba inaonekana<br />
safi na <strong>ya</strong> kupendeza na hakuna mapambo <strong>ya</strong> inje <strong>ya</strong>nayoweza kuongeza damani <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
kweli. Mawazo <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> ufundi, malezi <strong>ya</strong> kupendeza tamaa, mara kwa mara <strong>ya</strong>natumiwa na<br />
Shetani kuongoza watu kusahau mahitaji <strong>ya</strong> nafsi na kuishi kwa ajili <strong>ya</strong> ulimwengu huu tu.<br />
Fahari na sherehe <strong>ya</strong> kuabudu kwa Kikatoliki kunakuwa na uwezo wa kuvuta (kushawishi)<br />
kufan<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong>, nzuri wakupoteza akili, na hiyo, wengi wamedanganyika. Wanajipatia<br />
uhakikisho juu <strong>ya</strong> Kanisa la Roma kuwa mlango wa mbinguni. Hakuna hata mmoja ila tu<br />
wale wanaoweka miguu <strong>ya</strong>o kwa msingi wa kweli, ambao mioyo <strong>ya</strong>o hufanywa up<strong>ya</strong> kwa<br />
Roho <strong>ya</strong> Mungu, wanakuwa salama juu <strong>ya</strong> mvuto wake. Mfano wa utawa pasipo uwezo ni<br />
kitu kile wengi wanatamani.<br />
Madai <strong>ya</strong> Kanisa kwa haki kwa <strong>ya</strong> kusamehe zambi <strong>ya</strong>naongoza wafuasi wa Roma<br />
kujisikia huru kwa zambi, na agizo la maungamo linaelekea vile vile kutoa ruhusa kwa uovu.<br />
Yeye anayepiga magoti mbele <strong>ya</strong> mtu aliyeanguka na anafungua katika maungamo mawazo<br />
<strong>ya</strong> siri <strong>ya</strong> moyo wake anapoteza cheo cha nafsi <strong>ya</strong>ke. Katika kufunua zambi za maisha <strong>ya</strong>ke<br />
kwa padri--mwenye kufa wa kosa-cheo cha tabia <strong>ya</strong>ke ni chini, na anakuwa mchafu kwa hiyo.<br />
Mawazo <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> Mungu ni <strong>ya</strong> kushusha cheo katika mfano wa mwanadamu aliyeanguka,<br />
kwa sababu kuhani anasimama kama mjumbe wa Mungu. Ungamo hili la ha<strong>ya</strong> la mtu kwa<br />
mtu ni chemchemi <strong>ya</strong> siri ambamo kumebubujika uwingi wa uovu unaochafua ulimwengu.<br />
Kwani kwa yeye anayependa anasa, ni kupendeza zaidi kuungama kwa mtu wa mauti kuliko<br />
kufungua roho kwa Mungu. Ni jambo la kupendeza zaidi kwa kiumbe mwanadamu kutubu<br />
kuliko kuacha zambi; ni rahisi kuhuzunisha wala kutesa mwili kwa nguo <strong>ya</strong> gunia kuliko<br />
kusulubisha tamaa za mwili.<br />
Mfano Wa Kushangaza<br />
Wakati walipozarau kwa siri kuja kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Kristo juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong><br />
Mungu, walikuwa wa kali kwa inje katika kushika amri zake, kuzilemeza kwa masharti<br />
<strong>ya</strong>nayofan<strong>ya</strong> utii kuwa mzito. Kama vile Wayuda walivyojidai kuheshimu sheria, vivyo hivyo<br />
watu wa kanisa la Roma wanajidai kwa heshima <strong>ya</strong> msalaba.<br />
230