You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 35. Uhuru wa Zamiri Unatishwa<br />
Kanisa la Roma sasa linapendelewa sana na Waprotestanti kuliko miaka <strong>ya</strong> zamani. Katika<br />
inchi hizo ambamo Kanisa la Kikatoliki linapata mwendo wa kuunganisha kwa kupata mvuto,<br />
mawazo <strong>ya</strong>naanza kusimamiwa <strong>ya</strong> kwamba hakuna tofauti sana juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> lazima<br />
kama ilivyozaniwa na <strong>ya</strong> kwamba ukubali ule mdogo kwa upande wetu utatuongoza katika<br />
mapatano bora pamoja na Roma. Kulikuwa wakati Waprotestanti walifundisha watoto wao<br />
<strong>ya</strong> kwamba kutafuta umoja na Roma kungekuwa kutokuwa na uaminifu kwa Mungu. Lakini<br />
ni tofauti kubwa <strong>ya</strong> namna gani tunaona katika taarifa <strong>ya</strong> sasa!<br />
Watetezi wa dini <strong>ya</strong> Rome (Papa) wanatangaza kwamba kanisa limeshitakiwa uwongo, <strong>ya</strong><br />
kwamba si haki kuhukumu kanisa la leo kwa utawala wake wa mda wa karne nyingi za ujinga<br />
na giza. Wanarehemu ukali wake wakuogopesha kwa ushenzi wa n<strong>ya</strong>kati zile.<br />
Je, watu hawa hawakusahau madai <strong>ya</strong> kutoweza kukosa kulikowekwa na uwezo huu?<br />
Roma inadai <strong>ya</strong> kwamba “kanisa halikukosa kamwe; wala kukosa kwa wakati ujao, kufuatana<br />
na Maandiko, halitakosa daima.”<br />
Kanisa la Roma halitaacha kamwe madai <strong>ya</strong>ke kwa kutoweza kukosa (infallibilité). Acha<br />
vizuizi (amri) vilivyoamriwa sasa na serikali za dunia vitoshwe na Roma irudishwe katika<br />
mamlaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza, na hapo kwa upesi ingekuwa uamsho wa uonevu wake na mateso.<br />
Ni kweli <strong>ya</strong> kwamba Wakristo wa kweli wanakuwako katika ushirika wa kanisa la<br />
Kikatoliki la Roma. Maelfu katika kanisa lile wanamtumikia Mungu kufuatana na nuru bora<br />
wanayokuwa nayo. Mungu anatazama na upendo wa huruma juu <strong>ya</strong> nafsi hizi, zilizolelewa<br />
katika imani ile <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong> na isiyotosheleka. Ataleta mishale <strong>ya</strong> nuru kupen<strong>ya</strong> giza, na<br />
wengi watakamata misimamo <strong>ya</strong>o pamoja na watu wake.<br />
Lakini Kanisa la Roma kama chama haliko tena katika umoja na habari njema <strong>ya</strong> Kristo<br />
sasa kuliko kwa wakati wa kwanza. Kanisa la Roma linatumia shauri lo lote kwa kupata<br />
utawala wa ulimwengu, kuanzisha tena mateso, na kuharibu mambo yote ambayo<br />
Waprotestanti wamefan<strong>ya</strong>. Kanisa la Kikatoliki liko linapata nafasi kwa pande zote. Angalia<br />
kuongezeka kwa makanisa <strong>ya</strong>ke. Tazama uwingi wa vyuo v<strong>ya</strong>o vikubwa (colleges) na<br />
seminaires, vinavyosimamiwa na Waprotestanti. Tazama usitawi wa utaratibu wa sala katika<br />
Uingereza na maasi <strong>ya</strong> mara kwa mara kwa vyuo v<strong>ya</strong> Wakatoliki.<br />
Mapatano na Ukubali<br />
Waprotestanti wamesaidia ama kupendelea mafundisho <strong>ya</strong> Kanisa la Papa; wamefan<strong>ya</strong><br />
mapatano na mkubaliano ambayo wakatoliki wenyewe wameshangaa ku<strong>ya</strong>ona. Watu<br />
wanafunga macho <strong>ya</strong>o kwa tabia <strong>ya</strong> kamili <strong>ya</strong> Kanisa la Roma. Watu wanahitaji kupinga<br />
maendeleo <strong>ya</strong> adui huyu wa hatari kwa uhuru wa watu na dini.<br />
229