Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
anawashikilia kuwa watumwa. Hakuna kitu kingine kisipokuwa uwezo wa Mungu, kwa jibu<br />
kwa maombi <strong>ya</strong> bidii, inayowezakuokoa nafsi hizi.<br />
Wote wanaolinda zambi inayojulikana kwa makusudi wanaalika majaribu <strong>ya</strong> Shetani.<br />
Wanajitenga wenyewe kutoka kwa Mungu na ulinzi wa malaika zake, na wanakuwa pasipo<br />
mateteo. “Na wakati wanapokuambia: Tafuta habari kwa watu wenye roho na kwa walozi<br />
wafumu, wanaolialia kama ndege na kunungunika, sema, haifai kwa watu kutafuta kwa<br />
Mungu wao? Waenda kwa watu waliokufa kwa ajili <strong>ya</strong> watu walio hai? Kwa sheria na kwa<br />
ushuhuda! Kama hawasemi sawasawa na neno hili, kweli hapana asubui kwao.” Isa<strong>ya</strong> 8:19,<br />
20.<br />
Kama watu wangekusudia kupokea ukweli juu <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong> mtu na hali <strong>ya</strong> wafu, wangeona<br />
katika imani <strong>ya</strong> kuwa roho <strong>ya</strong> watu waliokufa (spiritisme) uwezo wa Shetani na miujiza <strong>ya</strong><br />
uwongo. Lakini wengi wanafunga macho <strong>ya</strong>o kwa nuru, na Shetani anafuma mitego <strong>ya</strong>ke<br />
kwao. “Kwa sababu hawakupokea mapendo kwa kweli, wapate kuokolewa,” kwa sababu hii,<br />
“Mungu anawaletea nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini uwongo.” 2 Watesalonika 2:10, 11.<br />
Wale wanaopinga imani <strong>ya</strong> kuwako kwa roho <strong>ya</strong> watu waliokufa (spiritisme)<br />
wanashambulia Shetani na malaika zake. Shetani hataacha hatua (=2,54cm) moja <strong>ya</strong> uwanja<br />
ila tu akisukumwa kwa nguvu na wajumbe wa mbinguni. Anaweza kutumia Maandiko na<br />
atapotosha maana <strong>ya</strong> mafundisho Wale watakaosimama kwa wakati huu wa hatari<br />
wanapashwa kufahamu wao wenyewe ushuhuda wa Maandiko.<br />
Pepo za mashetani wanaoiga ndugu ao rafiki watatokea kwa huruma za mapendo kwetu<br />
na watafan<strong>ya</strong> miujiza. Inatupasa kuwazuia kwa njia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> Biblia <strong>ya</strong> kwamba wafu<br />
hawajui kitu cho chote na <strong>ya</strong> kwamba wale wanaotokea ni pepo za mashetani.<br />
Imani <strong>ya</strong>o yote haikuanzishwa kwa Neno la Mungu watadanganyiwa na kushindwa.<br />
Shetani “anatumika na madanganyo yote <strong>ya</strong> uovu, ” Na madanganyo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>taongezeka.<br />
Lakini wale wanaotafuta maarifa <strong>ya</strong> kweli na safi nafsi zao katika utii watapata katika Mungu<br />
wa kweli ulinzi wa hakika. Mwokozi angetuma upesi kila malaika kutoka mbinguni kulinda<br />
watu wake kuliko kuacha nafsi moja inayotumaini kushindwa na Shetani. Wale wanaojifariji<br />
wenyewe kwa uhakikisho kwamba hakuna azabu kwa ajili <strong>ya</strong> mwenye zambi, wanaokataa<br />
kweli ambayo Mbingu inayotoa kama ulinzi kwa siku <strong>ya</strong> taabu, watakubali madanganyo<br />
<strong>ya</strong>liyotolewa na Shetani, madai <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> madanganyo za watu waliokufa (spiritisme).<br />
Wenye kuzihaki wanazani mizaha matangazo <strong>ya</strong> Maandiko juu <strong>ya</strong> shauri la wokovu na<br />
malipo <strong>ya</strong>takayokuja <strong>ya</strong> wanaokataa kweli. Wanageuza jambo la kutia huruma kwa mawazo<br />
<strong>ya</strong> ushupavu, uzaifu, na mafundisho <strong>ya</strong> uchawi kama kutii matakwa <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Wamejitoa wote kwa mshawishi, wamejiunga karibu sana naye na kujazwa na roho <strong>ya</strong>ke, ili<br />
wasiwe na upungufu kutoka katika mtego wake.<br />
Msingi wa kazi <strong>ya</strong> Shetani uliwekwa kwa matumaini iliyotolewa kwa Hawa katika Edeni:<br />
“Hakika hamutakufa”. “Siku mutakapokula matunda <strong>ya</strong>ke, macho yenu <strong>ya</strong>tafunguliwa, na<br />
227