You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Lakini Mungu ametoa nuru <strong>ya</strong> kutosha kuvumbua mtego huo. Msingi kabisa wa imani <strong>ya</strong><br />
kuwa kwa roho za watu waliokufa unakuwa kwa vita ikipiganisha Maandiko. Biblia inasema<br />
<strong>ya</strong> kwamba wafu hawajui kitu, <strong>ya</strong> kwamba mawazo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>mepotea; hawana sehemu katika<br />
furaha wala huzuni <strong>ya</strong> wale wanaokuwa duniani.<br />
Tena zaidi Mungu amekataza maarifa <strong>ya</strong> hila <strong>ya</strong>mazungumzo na roho za wafu.<br />
“mashetani”. Kama hawa wageni kutoka dunia zingine walikuwa wakiitwa, wanatangazwa<br />
na Biblia kuwa “pepo za mashetani”. Tazama Hesabu 25:1-3; Zaburi 106:28; 1 Wakorinto<br />
10:20; Ufunuo 16:14. Kutendeana pamoja nao kulikatazwa katika azabu <strong>ya</strong> kufa. Walawi<br />
19:31; 20:27. Lakini imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa (spiritisme) imefan<strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong>ke<br />
katika jamii za ujuzoi wakweli ikashambulia makanisa, na kupata upendeleo katika majamii<br />
<strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong> sheria, hata katika majumba <strong>ya</strong> wafalme. Udanganyifu mkubwa huu ni uamsho<br />
katika hila mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uchawi uliohukumiwa zamani.<br />
Kwa kuonyesha uba<strong>ya</strong> zaidi wa watu kama katika mbingu, Shetani anasema kwa<br />
ulimwengu: “Si kitu ukiamini wala usipoamini Mungu na Biblia, uishi kama unanvyopenda;<br />
mbingu ni makao <strong>ya</strong>ko”. Neno la Mungu linasema: “Ole wao wanaoita uovu mema, na<br />
wanaita mema uovu; wanaoweka giza kwa nuru, na nuru giza.” Isa<strong>ya</strong> 5:20.<br />
Biblia llifananishwa kama Habari za Uwongo<br />
Mitume, wanafananishwa na pepo za uwongo, wanafanywa, kwa kukanusha mambo<br />
waliyoandika wakati walipokuwa kwa dunia. Shetani anafan<strong>ya</strong> ulimwengu kuamini <strong>ya</strong><br />
kwamba Biblia ni habari za uwongo, kitabu kilichopendeza kwa utoto wa taifa, lakini, sasa<br />
kuzaniwa kama kisiuchofaa. Kitabu kinachopaswa kumuhukumu yeye na wafuasi wake<br />
anakiweka katika kivuli; Mwokozi wa ulimwengu anamfan<strong>ya</strong> kuwa kama mtu yo yote. Na<br />
waaminifu katika mifano <strong>ya</strong> kiroho wanajaribu kufan<strong>ya</strong> kuonekana kwamba hakuna kitu cha<br />
muujiza katika maisha <strong>ya</strong> Mwokozi wetu. Miujiza <strong>ya</strong>o wenyewe, inatangaza, kwa mbali zaidi<br />
kazi za Kristo.<br />
Imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa (spiritisme) inajitwalia sasa umbo la Kikristo.<br />
Lakini mafundisho <strong>ya</strong>ke ha<strong>ya</strong>wezi kukanushwa wala kufichwa. Katika mfano wake wa sasa<br />
unakuwa <strong>ya</strong> hatari zaidi, wa hila, udanganyifu. Inajidai sasa kukubali Kristo na Biblia. Lakini<br />
Biblia inafasiriwa kwa namna <strong>ya</strong> kupendeza kwa moyo mp<strong>ya</strong>. Mapendo inakuwako kama sifa<br />
bora <strong>ya</strong> Mungu, lakini inaaibishwa kwa tamaa zaifu kufan<strong>ya</strong> tofauti ndogo kati <strong>ya</strong> uzuri na<br />
uba<strong>ya</strong>. Mashitaki <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong> zambi, matakwa <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong>ke takatifu <strong>ya</strong>nachungwa mbali<br />
na kuonekana kwa macho. Mifano inaongoza watu kukataa Biblia kama msingi wa imani <strong>ya</strong>o.<br />
Kristo anakaniwa kama mbele, lakini udanganyifu hautambuliwe.<br />
Wachache wanakuwa na wazo la haki la uwezo wa kudanganwa wa imani <strong>ya</strong> kuwa na<br />
roho za watu waliokufa (spiritisme). Wengi wanavuta viba<strong>ya</strong> nao kwa kupendeza tu<br />
uchunguzi. Wangejazwa na hofu kuu kwa wazo la kujitoa kwa utawala wa pepo. Lakini<br />
wanajita<strong>ya</strong>risha kwa kiwanja kilichokatazwa, na mharibu wautumia uwezo wake, na<br />
226