12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Lakini Mungu ametoa nuru <strong>ya</strong> kutosha kuvumbua mtego huo. Msingi kabisa wa imani <strong>ya</strong><br />

kuwa kwa roho za watu waliokufa unakuwa kwa vita ikipiganisha Maandiko. Biblia inasema<br />

<strong>ya</strong> kwamba wafu hawajui kitu, <strong>ya</strong> kwamba mawazo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>mepotea; hawana sehemu katika<br />

furaha wala huzuni <strong>ya</strong> wale wanaokuwa duniani.<br />

Tena zaidi Mungu amekataza maarifa <strong>ya</strong> hila <strong>ya</strong>mazungumzo na roho za wafu.<br />

“mashetani”. Kama hawa wageni kutoka dunia zingine walikuwa wakiitwa, wanatangazwa<br />

na Biblia kuwa “pepo za mashetani”. Tazama Hesabu 25:1-3; Zaburi 106:28; 1 Wakorinto<br />

10:20; Ufunuo 16:14. Kutendeana pamoja nao kulikatazwa katika azabu <strong>ya</strong> kufa. Walawi<br />

19:31; 20:27. Lakini imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa (spiritisme) imefan<strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong>ke<br />

katika jamii za ujuzoi wakweli ikashambulia makanisa, na kupata upendeleo katika majamii<br />

<strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong> sheria, hata katika majumba <strong>ya</strong> wafalme. Udanganyifu mkubwa huu ni uamsho<br />

katika hila mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uchawi uliohukumiwa zamani.<br />

Kwa kuonyesha uba<strong>ya</strong> zaidi wa watu kama katika mbingu, Shetani anasema kwa<br />

ulimwengu: “Si kitu ukiamini wala usipoamini Mungu na Biblia, uishi kama unanvyopenda;<br />

mbingu ni makao <strong>ya</strong>ko”. Neno la Mungu linasema: “Ole wao wanaoita uovu mema, na<br />

wanaita mema uovu; wanaoweka giza kwa nuru, na nuru giza.” Isa<strong>ya</strong> 5:20.<br />

Biblia llifananishwa kama Habari za Uwongo<br />

Mitume, wanafananishwa na pepo za uwongo, wanafanywa, kwa kukanusha mambo<br />

waliyoandika wakati walipokuwa kwa dunia. Shetani anafan<strong>ya</strong> ulimwengu kuamini <strong>ya</strong><br />

kwamba Biblia ni habari za uwongo, kitabu kilichopendeza kwa utoto wa taifa, lakini, sasa<br />

kuzaniwa kama kisiuchofaa. Kitabu kinachopaswa kumuhukumu yeye na wafuasi wake<br />

anakiweka katika kivuli; Mwokozi wa ulimwengu anamfan<strong>ya</strong> kuwa kama mtu yo yote. Na<br />

waaminifu katika mifano <strong>ya</strong> kiroho wanajaribu kufan<strong>ya</strong> kuonekana kwamba hakuna kitu cha<br />

muujiza katika maisha <strong>ya</strong> Mwokozi wetu. Miujiza <strong>ya</strong>o wenyewe, inatangaza, kwa mbali zaidi<br />

kazi za Kristo.<br />

Imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa (spiritisme) inajitwalia sasa umbo la Kikristo.<br />

Lakini mafundisho <strong>ya</strong>ke ha<strong>ya</strong>wezi kukanushwa wala kufichwa. Katika mfano wake wa sasa<br />

unakuwa <strong>ya</strong> hatari zaidi, wa hila, udanganyifu. Inajidai sasa kukubali Kristo na Biblia. Lakini<br />

Biblia inafasiriwa kwa namna <strong>ya</strong> kupendeza kwa moyo mp<strong>ya</strong>. Mapendo inakuwako kama sifa<br />

bora <strong>ya</strong> Mungu, lakini inaaibishwa kwa tamaa zaifu kufan<strong>ya</strong> tofauti ndogo kati <strong>ya</strong> uzuri na<br />

uba<strong>ya</strong>. Mashitaki <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong> zambi, matakwa <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong>ke takatifu <strong>ya</strong>nachungwa mbali<br />

na kuonekana kwa macho. Mifano inaongoza watu kukataa Biblia kama msingi wa imani <strong>ya</strong>o.<br />

Kristo anakaniwa kama mbele, lakini udanganyifu hautambuliwe.<br />

Wachache wanakuwa na wazo la haki la uwezo wa kudanganwa wa imani <strong>ya</strong> kuwa na<br />

roho za watu waliokufa (spiritisme). Wengi wanavuta viba<strong>ya</strong> nao kwa kupendeza tu<br />

uchunguzi. Wangejazwa na hofu kuu kwa wazo la kujitoa kwa utawala wa pepo. Lakini<br />

wanajita<strong>ya</strong>risha kwa kiwanja kilichokatazwa, na mharibu wautumia uwezo wake, na<br />

226

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!