12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

juu <strong>ya</strong> dunia, mbele <strong>ya</strong> watu. Naye anawakosesha wale wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, kwa<br />

mastaajabu <strong>ya</strong>le aliyopewa kufan<strong>ya</strong>. Ufunuo 13:13, 14. Si mambo <strong>ya</strong> ujanja tu <strong>ya</strong>liyotabiriwa<br />

hapa. Watu wanadanganyiwa na mastaajabu ambayo wajumbe wa Shetani wanafan<strong>ya</strong>, si <strong>ya</strong>le<br />

wanayotaka kufan<strong>ya</strong>.<br />

Mwito Wa Shetani Kwa Wenye Akili<br />

Kwa watu wenye elimu naustaarabu mfalme wa giza anaonyesha imani <strong>ya</strong> kuwa na roho<br />

za watu waliokufa na kujionyesha na kuongea na watu (spiritisme) katika mifano <strong>ya</strong>ke safi<br />

zaidi na <strong>ya</strong> akili. Anapendezwa sana na wazo la tendoo la kushangaza kwa furaha na maelezo<br />

yenye uwezo wa kushawishi <strong>ya</strong> mapendo na wema. Anaongoza watu kutumia kiburi sana<br />

katika hekima <strong>ya</strong>o wenyewe ili ndani <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong>o waaibishe Bwana wa Milele.<br />

Shetani anadangan<strong>ya</strong> watu sasa kama alivyodangan<strong>ya</strong> Hawa katika Edeni kwa njia <strong>ya</strong><br />

kuamsha tamaa <strong>ya</strong> nguvu kwa ajili <strong>ya</strong> kujiinua.<br />

“Mutakuwa kama miungu,” anatangaza, “mukijua uzuri na uba<strong>ya</strong>”. Mwanzo 3:5. Imani<br />

<strong>ya</strong> kuwako kwa roho za watu waliokufa inafundisha” kwamba mtu ni kiumbe cha<br />

maendeleo... karibu <strong>ya</strong> kichwa cha uungu”. Tena; “Hukumu itakuwa <strong>ya</strong> haki, kwa sababu ni<br />

hukumu <strong>ya</strong> kila mtu binafsi.... Kiti cha enzi ni ndani <strong>ya</strong>ko”. Na mwingine anasema: “Kila<br />

kiumbe cha haki na kikamilifu ni Kristo”.<br />

Kwa hivyo Shetani aligeuza tabia <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong> mtu mwenyewe kuwa amri <strong>ya</strong> pekee <strong>ya</strong><br />

hukumu. Hii ni maendeleo, si kwenda juu, bali kwenda chini. Mtu hawezi kuinuka juu kuliko<br />

cheo chake cha usafi wala wema. Kama nafsi ndiyo kipeo chake kikamilifu cha juu kuliko,<br />

hatafikia kamwe kwa kitu cho chote kinachoinuka zaidi. Neema <strong>ya</strong> Mungu tu inakuwa na<br />

uwezo kwa kuinua mtu. Kuachwa upekee, maendeleo <strong>ya</strong>ke inapaswa kwenda chini.<br />

Mwito kwa Kupenda Anasa<br />

Kwa ulafi, kupenda anasa, uasherati, imani <strong>ya</strong> kuwa na roho za watu waliokufa<br />

(spiritisme) inaonyesha umbo la uwongo la werevu kidogo. Katika mifano <strong>ya</strong>o mba<strong>ya</strong> sana<br />

wanapata kitu ambacho kinachokuwa katika umoja na tamaa zake. Shetani anaandika hesabu<br />

<strong>ya</strong> zambi kila mtu kutenda halafu anajihazali <strong>ya</strong> kwamba saa za kufaa zisipunguke kwa<br />

kupendeza mvuto. Anajaribu watu kwa njia <strong>ya</strong> kutojizuia kwa kupunguza nguvu za mwili,<br />

akili na za mafundusho mazuri. Anaharibu maelfu katika mazoezi wa kufurahisha tamaa,<br />

kuharibu tabia yote nzima. Na kutimiza kazi <strong>ya</strong>ke, pepo wanatangaza kwamba “maarifa <strong>ya</strong><br />

kweli <strong>ya</strong>namuweka mtu juu <strong>ya</strong> sheria yote”; “cho chote kinachokuwa, kinakuwa haki”; <strong>ya</strong><br />

kwamba “Mungu hahukumu”, na <strong>ya</strong> kwamba “zambi zote... zinakuwa bila kosa”. Wakati<br />

watu wanapoamini <strong>ya</strong> kwamba tamaa ni sheria <strong>ya</strong> juu zaidi, <strong>ya</strong> kwamba uhuru ni ruhusa, <strong>ya</strong><br />

kwamba mtu ni juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe tu, nani anayeweza kushangaa <strong>ya</strong> kwamba uchafu unajaa<br />

kwa kila mkono? Wengi kwa moyo wanakubali maongozi <strong>ya</strong> tamaa mba<strong>ya</strong>. Shetani<br />

anachukua maelfu katika wavu lake wanaodai kufuata Kristo.<br />

225

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!