Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti Sura 34. Roho za Wafu? Mafundisho ya maisha ya milele ya kawaida, mara ya kwanza yaliletwa kutoka kwa hekima ya kishenzi na katika giza ya maasi makubwa yaliyounganishwa katika imani ya Kikristo, yakaondosha kweli ambayo “wafu hawajui kitu.” Muhubiri 9:5. Wengi wanaamini ya kwamba pepo za wafu ni “roho za kutumikia, zilizotumwa kutumikia wale watakaoriti wokovu.” Waebrania 1:14. Imani ya kwamba roho za wafu zinarudi kutumia walio hai ikatayarisha njia kwa imani ya wafu ya kisasa kuwa roho za watu waliokufa hurudi kujionyesha na kuongea na watu. Kama wafu wanakuwa na majaliwa na maarifa inayopita zaidi ile waliyokuwa nayo mbele, sababu gani kutorudi duniani na kufundisha wa hai? Kama roho za wafu zinatangatanga kwa rafiki zao duniani, sababu gani hazipelekane habari nao? Namna gani wale wanaoamini katika uaminifu wa kibinadamu katika mauti wanaweza kukana “nuru ya Mungu” iliyotolewa na roho tukufu? Hapa kuna mferezi unaoweza kuangaliwa kama takatifu ambamo shetani anatumika. Malaika walioanguka wanaonekana kama wajumbe kutoka ulimwengu wa kiroho. Mfalme wa mabaya anakuwa na uwezo wa kuleta mbele ya watu mfano wa rafiki waliokufa. Mfano ni kamilifu, ulifatishwa kwa uzahiri wa ajabu. Wengi wanafarijika na hakikisho ya kwamba wapenzi wao wana furaha mbinguni. Bila mashaka ya hatari, wanatoa sikio kwa roho za kudanganya, na mafundisho ya mashetani.” 1 Timoteo 4:1. Wale waliokwenda kwa kaburi bila kujitayarisha wanadai kuwa na furaha na kuwa mahali pa cheo bora huko mbinguni. Wageni wa uwongo kutoka kwa ulimwengu ya mapepo (spirits) mara ingine hutoa maonyo halisi yanayoshuhudia kuwa hakika. Halafu, kwa hivi tumaini linapatikana, wanafundisha mafundisho yale yanayongoa Maandiko. Kwa sababu kwamba wanataja mambo mengine ya kweli na palepale kutabiri mambo ya wakati ujao jambo hilo linatoa mfano wa hakika, na mafundisho yao ya uwongo yanakubaliwa. Sheria ya Mungu huwekwa kando, Roho ya neema huzarauliwa. Pepo wanakana Umungu wa Kristo na wanaweka Muumba kwa cheo pamoja na wao wenyewe. Wakati inakuwa kweli kwamba matokeo ya udanganyifu mara kwa mara yamepokewa kwa hila kama maonyesho ya kweli, pale kulikuwa, vilevile, maonyesho ya kupambanua ya uwezo wa ajabu, kazi kabisa ya malaika waovu. Wengi wanaamini ya kwamba imani yakuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu ni ujanja tu wa kibinadamu. Kama ikiletwa mbele ya maonyesho ambayo hawawezi kuizania namna ingine isipokuwa kama ni ya ajabu, watadanganyiwa na kuyakubali kama uwezo mkubwa wa Mungu. Kwa msaada wa Shetani wachawi wa Farao wakaiga kazi ya Mungu. Tazama Kutoka 7:10-12. Paulo anashuhudia kwamba kuja kwa Bwana kutatanguliwa na “kutenda kwa Shetani na uwezo wote, na ishara na maajabu ya uwongo”. 2 Watesalonika 2:9,10. Na Yoane anatangaza: “Naye anafanya mastaajabu makubwa, hata kufanya moto kushuka toka mbingu 224

Kupinga ya Kiprotestanti juu ya dunia, mbele ya watu. Naye anawakosesha wale wanaokaa juu ya dunia, kwa mastaajabu yale aliyopewa kufanya. Ufunuo 13:13, 14. Si mambo ya ujanja tu yaliyotabiriwa hapa. Watu wanadanganyiwa na mastaajabu ambayo wajumbe wa Shetani wanafanya, si yale wanayotaka kufanya. Mwito Wa Shetani Kwa Wenye Akili Kwa watu wenye elimu naustaarabu mfalme wa giza anaonyesha imani ya kuwa na roho za watu waliokufa na kujionyesha na kuongea na watu (spiritisme) katika mifano yake safi zaidi na ya akili. Anapendezwa sana na wazo la tendoo la kushangaza kwa furaha na maelezo yenye uwezo wa kushawishi ya mapendo na wema. Anaongoza watu kutumia kiburi sana katika hekima yao wenyewe ili ndani ya mioyo yao waaibishe Bwana wa Milele. Shetani anadanganya watu sasa kama alivyodanganya Hawa katika Edeni kwa njia ya kuamsha tamaa ya nguvu kwa ajili ya kujiinua. “Mutakuwa kama miungu,” anatangaza, “mukijua uzuri na ubaya”. Mwanzo 3:5. Imani ya kuwako kwa roho za watu waliokufa inafundisha” kwamba mtu ni kiumbe cha maendeleo... karibu ya kichwa cha uungu”. Tena; “Hukumu itakuwa ya haki, kwa sababu ni hukumu ya kila mtu binafsi.... Kiti cha enzi ni ndani yako”. Na mwingine anasema: “Kila kiumbe cha haki na kikamilifu ni Kristo”. Kwa hivyo Shetani aligeuza tabia ya zambi ya mtu mwenyewe kuwa amri ya pekee ya hukumu. Hii ni maendeleo, si kwenda juu, bali kwenda chini. Mtu hawezi kuinuka juu kuliko cheo chake cha usafi wala wema. Kama nafsi ndiyo kipeo chake kikamilifu cha juu kuliko, hatafikia kamwe kwa kitu cho chote kinachoinuka zaidi. Neema ya Mungu tu inakuwa na uwezo kwa kuinua mtu. Kuachwa upekee, maendeleo yake inapaswa kwenda chini. Mwito kwa Kupenda Anasa Kwa ulafi, kupenda anasa, uasherati, imani ya kuwa na roho za watu waliokufa (spiritisme) inaonyesha umbo la uwongo la werevu kidogo. Katika mifano yao mbaya sana wanapata kitu ambacho kinachokuwa katika umoja na tamaa zake. Shetani anaandika hesabu ya zambi kila mtu kutenda halafu anajihazali ya kwamba saa za kufaa zisipunguke kwa kupendeza mvuto. Anajaribu watu kwa njia ya kutojizuia kwa kupunguza nguvu za mwili, akili na za mafundusho mazuri. Anaharibu maelfu katika mazoezi wa kufurahisha tamaa, kuharibu tabia yote nzima. Na kutimiza kazi yake, pepo wanatangaza kwamba “maarifa ya kweli yanamuweka mtu juu ya sheria yote”; “cho chote kinachokuwa, kinakuwa haki”; ya kwamba “Mungu hahukumu”, na ya kwamba “zambi zote... zinakuwa bila kosa”. Wakati watu wanapoamini ya kwamba tamaa ni sheria ya juu zaidi, ya kwamba uhuru ni ruhusa, ya kwamba mtu ni juu yake mwenyewe tu, nani anayeweza kushangaa ya kwamba uchafu unajaa kwa kila mkono? Wengi kwa moyo wanakubali maongozi ya tamaa mbaya. Shetani anachukua maelfu katika wavu lake wanaodai kufuata Kristo. 225

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 34. Roho za Wafu?<br />

Mafundisho <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong> kawaida, mara <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong>liletwa kutoka kwa<br />

hekima <strong>ya</strong> kishenzi na katika giza <strong>ya</strong> maasi makubwa <strong>ya</strong>liyounganishwa katika imani <strong>ya</strong><br />

Kikristo, <strong>ya</strong>kaondosha kweli ambayo “wafu hawajui kitu.” Muhubiri 9:5. Wengi wanaamini<br />

<strong>ya</strong> kwamba pepo za wafu ni “roho za kutumikia, zilizotumwa kutumikia wale watakaoriti<br />

wokovu.” Waebrania 1:14.<br />

Imani <strong>ya</strong> kwamba roho za wafu zinarudi kutumia walio hai ikata<strong>ya</strong>risha njia kwa imani <strong>ya</strong><br />

wafu <strong>ya</strong> kisasa kuwa roho za watu waliokufa hurudi kujionyesha na kuongea na watu. Kama<br />

wafu wanakuwa na majaliwa na maarifa inayopita zaidi ile waliyokuwa nayo mbele, sababu<br />

gani kutorudi duniani na kufundisha wa hai? Kama roho za wafu zinatangatanga kwa rafiki<br />

zao duniani, sababu gani hazipelekane habari nao? Namna gani wale wanaoamini katika<br />

uaminifu wa kibinadamu katika mauti wanaweza kukana “nuru <strong>ya</strong> Mungu” iliyotolewa na<br />

roho tukufu? Hapa kuna mferezi unaoweza kuangaliwa kama takatifu ambamo shetani<br />

anatumika. Malaika walioanguka wanaonekana kama wajumbe kutoka ulimwengu wa kiroho.<br />

Mfalme wa maba<strong>ya</strong> anakuwa na uwezo wa kuleta mbele <strong>ya</strong> watu mfano wa rafiki<br />

waliokufa. Mfano ni kamilifu, ulifatishwa kwa uzahiri wa ajabu. Wengi wanafarijika na<br />

hakikisho <strong>ya</strong> kwamba wapenzi wao wana furaha mbinguni. Bila mashaka <strong>ya</strong> hatari, wanatoa<br />

sikio kwa roho za kudangan<strong>ya</strong>, na mafundisho <strong>ya</strong> mashetani.” 1 Timoteo 4:1.<br />

Wale waliokwenda kwa kaburi bila kujita<strong>ya</strong>risha wanadai kuwa na furaha na kuwa mahali<br />

pa cheo bora huko mbinguni. Wageni wa uwongo kutoka kwa ulimwengu <strong>ya</strong> mapepo (spirits)<br />

mara ingine hutoa maonyo halisi <strong>ya</strong>nayoshuhudia kuwa hakika. Halafu, kwa hivi tumaini<br />

linapatikana, wanafundisha mafundisho <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>nayongoa Maandiko. Kwa sababu kwamba<br />

wanataja mambo mengine <strong>ya</strong> kweli na palepale kutabiri mambo <strong>ya</strong> wakati ujao jambo hilo<br />

linatoa mfano wa hakika, na mafundisho <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong>nakubaliwa. Sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

huwekwa kando, Roho <strong>ya</strong> neema huzarauliwa. Pepo wanakana Umungu wa Kristo na<br />

wanaweka Muumba kwa cheo pamoja na wao wenyewe.<br />

Wakati inakuwa kweli kwamba matokeo <strong>ya</strong> udanganyifu mara kwa mara <strong>ya</strong>mepokewa<br />

kwa hila kama maonyesho <strong>ya</strong> kweli, pale kulikuwa, vilevile, maonyesho <strong>ya</strong> kupambanua <strong>ya</strong><br />

uwezo wa ajabu, kazi kabisa <strong>ya</strong> malaika waovu. Wengi wanaamini <strong>ya</strong> kwamba imani <strong>ya</strong>kuwa<br />

roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu ni ujanja tu wa<br />

kibinadamu. Kama ikiletwa mbele <strong>ya</strong> maonyesho ambayo hawawezi kuizania namna ingine<br />

isipokuwa kama ni <strong>ya</strong> ajabu, watadanganyiwa na ku<strong>ya</strong>kubali kama uwezo mkubwa wa<br />

Mungu.<br />

Kwa msaada wa Shetani wachawi wa Farao wakaiga kazi <strong>ya</strong> Mungu. Tazama Kutoka<br />

7:10-12. Paulo anashuhudia kwamba kuja kwa Bwana kutatanguliwa na “kutenda kwa<br />

Shetani na uwezo wote, na ishara na maajabu <strong>ya</strong> uwongo”. 2 Watesalonika 2:9,10. Na Yoane<br />

anatangaza: “Naye anafan<strong>ya</strong> mastaajabu makubwa, hata kufan<strong>ya</strong> moto kushuka toka mbingu<br />

224

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!