Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
4:1618. Katika kuja kwa Bwana, minyororo <strong>ya</strong> kaburi itavunjika na “wafu katika Kristo”<br />
watafufuliwa kwa uzima wa milele.<br />
Wote watahukumiwa kwa kupatana na mambo <strong>ya</strong>liyoandikwa katika vitabu na kulipwa<br />
kama vile matendo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>livyokuwa. Hukumu hii haitafanyika katika mauti. “Kwa maana<br />
ameweka siku, atakayohukumu dunia kwa haki.” “Angalia, Bwana alikuja na watakatifu<br />
wake, elfu kumi, ili afanye hukumu juu <strong>ya</strong> watu wote.” Matendo 17:31; Yuda 15.<br />
Lakini kama wafu wamekwisha kufurahishwa na mbingu ao kujinyonga katika ndimi za<br />
moto <strong>ya</strong> jehanum, ni haja gani <strong>ya</strong> hukumu ijayo? Neno la Mungu linaweza kufahamika katika<br />
mafikara <strong>ya</strong> kawaida. Lakini ni fikara gani la haki tunaweza kuona wala hekima ao haki katika<br />
maelezo inayokubaliwa na wengi? Je, wenye haki watapokea sifa, “Verna, mutumwa mwema<br />
na mwaminifu, ... ingia katika furaha <strong>ya</strong> bwana wako,” wakati walikuwa wakikaa machoni<br />
pake kwa miaka mingi? Je, waovu wameitwa kutoka taabuni kupokea hukumu kutoka kwa<br />
Mwamzi, “Ondokeni kwangu, ninyi muliolaaniwa, endeni katika moto wa milele”? Matayo<br />
25:21,41.<br />
Maelezo juu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong> nafsi <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>likuwa mojawapo <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong><br />
uwongo ambayo Roma ilipokea kutoka kwa ushenzi. Luther ali<strong>ya</strong>panga pamoja na hadisi<br />
kubwa (za uwongo) vinavyofan<strong>ya</strong> sehemu <strong>ya</strong> mtu wa uchafu <strong>ya</strong> maagizo <strong>ya</strong> Roma. Biblia<br />
inafundisha <strong>ya</strong> kwamba wafu wanalala hata ufufuo.<br />
Pumziko la heri kwa wenye haki waliochoka! Wakati ukiwa mrefu ao mfupi, lakini ni<br />
wakati kwao. Wanalala; wanaamshwa kwa baragumu <strong>ya</strong> Mungu kwa maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong><br />
utukufu. “Kwa sababu baragumu italia, na wafu watafufuliwa wasiwe na kuoza. ... Lakini<br />
wakati ule wa kuoza utakapovaa kutokuoza, na ule wa mauti utakapovaa kutokufa, wakati ule<br />
litakapotimia neno lililoandikwa; Mauti imemezwa kwa ushindi”. 1 Wakorinto 15:52-54.<br />
Kuitwa kutoka kwa usingizi wao, wanaanza kufikiri ni wapi waliishia. Shituko la mwisho<br />
lilikuwa ni maumivu makali <strong>ya</strong> mauti; wazo la mwisho, kwamba walikuwa wakianguka chini<br />
<strong>ya</strong> uwezo wa kaburi. Wanapofufuka kutoka kaburini, wazo lao la kwanza la furaha,<br />
litakaririwa katika shangwe la ushindi: Ee mauti, uchungu wako ni wapi?” 1 Wakorinto 15:55.<br />
“Ee kaburi, kushinda kwako ni wapi?<br />
223