12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Hivi ndivyo itakavyofanywa mwisho wa zambi. “Umeharibu waovu, Umefuta jina lao<br />

kwa milele na milele. Adui wamekoma, wameachwa ukiwa kwa milele.” Zaburi 9:5,6. Yoane<br />

katika Ufunuo anasikia wimbo wa furaha wa sifa usiochafuliwa na sauti hata moja <strong>ya</strong><br />

kutopatana. Hakuna nafsi za watu zinazotukana Mungu wakati wanapojinyonga katika<br />

maumivu maba<strong>ya</strong> isiyokuwa na mwisho kamwe. Hakuna viumbe v<strong>ya</strong> taabu katika jehanum<br />

watakaochanganyisha na <strong>ya</strong>we <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> nguvu pamoja na nyimbo za waliookolewa.<br />

Juu <strong>ya</strong> kosa kuhusu maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong> asili kunabaki mafundisho <strong>ya</strong> ufahamu katika<br />

mauti. Kulingana na maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele, ni kinyume kwa Maandiko, kwa akili, na<br />

kwa mawazo yetu <strong>ya</strong> kibinadamu. Kufuatana na imani <strong>ya</strong> watu wengi, waliokombolewa<br />

katika mbingu wanafahamu yote <strong>ya</strong>nayofanyika duniani. Lakini namna gani ingekuwa na<br />

furaha kwa wafu kujua mateso <strong>ya</strong> walio hai, kuwaona wakiendelea na huzuni, uchungu, na<br />

maumivu makuu <strong>ya</strong> maisha? Na ni chukizo la namna gani kuamini <strong>ya</strong> kama mara pumzi<br />

inapotoka mwilini nafsi <strong>ya</strong> roho isiyotubu inawekwa kwa ndimi za jehanum!<br />

Maandiko <strong>ya</strong>nasema nini? Mtu hana ufahamu katika mauti: “Pumuzi <strong>ya</strong>ke inatoka,<br />

anarudia udongoni; siku ileile mafikiri <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>napotea.” “Maana walio hai wanajua <strong>ya</strong><br />

kwamba watakufa: lakini wafu hawajui kitu, ... Mapendo <strong>ya</strong>o na kuchukia kwao na wivu wao<br />

umepotea; wala hawana sehemu tena milele katika neno lo lote linalofanyika chini <strong>ya</strong> jua.’‘<br />

“Kwa kuwa Hadeze haiwezi kukusifu, wala kufa hakuwezi kukutukuza; wale wenye kushuka<br />

kwa shimo hawawezi kutarajia kweli <strong>ya</strong>ko. Mwenye uhai, mwenye uhai, ndiye atakayekusifu,<br />

kama mimi leo.” “Maana katika mauti hapana ukumbusho juu <strong>ya</strong>ko, Katika Hadeze nani<br />

atakayekupa asante?” Zaburi 146:4; Muhubiri 9:5,6; Isa<strong>ya</strong> 38:18, 19 ; Zaburi 6:5.<br />

Petro siku <strong>ya</strong> Pentekote akatangaza <strong>ya</strong> kwamba Dawidi “alikufa, akazikwa, na kaburi lake<br />

ni kwetu hata leo.” “Maana Dawidi hakupanda katika mbingu.” Matendo 2:29,34. Neno <strong>ya</strong><br />

kwamba Dawidi akingali katika kaburi hata ufufuo linaonyesha kwamba wenye haki<br />

hawaende mbinguni wanapokufa.<br />

Akasema Paulo: “Maana kama wafu hawafufuliwi, basi Kristo hakufufuliwa: na kama<br />

Kristo hakufufuliwa, imani yenu ni bure; mungali katika zambi zenu. Basi wao waliolala<br />

katika Kristo wamepotea.” 1 Wakorinto 15:16-18. Kama kwa miaka 4000 wenye haki<br />

walikwenda mara moja katika mbingu wakati wa kifo, namna gani Paulo amesema <strong>ya</strong><br />

kwamba kama hakuna ufufuo, “na wao waliolala katika Kristo wamepotea”?<br />

Wakati alipokuwa karibu kuacha wanafunzi wake, Yesu hakuwambia <strong>ya</strong> kwamba<br />

wangekuja mara moja kwake: “Ninakwenda kuwatengenezea ninyi pahali,” Akasema “Na<br />

kama ninakwenda kuwatengenezea ninyi pahali, nitakuja tena, na nitawakaribisha ninyi<br />

kwangu.” Yoane 14:2,3. Paulo anatwambia zaidi <strong>ya</strong> kwamba “Bwana mwenyewe atashuka<br />

toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti <strong>ya</strong> malaika mukubwa, na pamoja na baragumu <strong>ya</strong><br />

Mungu: Nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza; kisha sisi tulio hai, tuliobaki,<br />

tutan<strong>ya</strong>kuliwa pamoja nao katika mawingu, kukutana na Bwana katika hewa, na hivi tutakuwa<br />

pamoja na Bwana milele. Na anaongeza: “Basi mufarijiane kwa maneno ha<strong>ya</strong>.” 1 Tesalonika<br />

222

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!