You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Je, wale ambao mioyo <strong>ya</strong>o imejazwa na uchuki kwa Mungu, kwa kweli na kwa utakatifu,<br />
wanaweza kuchanganyika pamoja na makutano <strong>ya</strong> mbinguni na kujiunga katika nyimbo zao<br />
za sifa? Miaka <strong>ya</strong> rehema ilitolewa kwao, lakini hawakuzoeza moyo wao kupenda usafi.<br />
Hawakujifunza kamwe lugha <strong>ya</strong> mbinguni. Sasa ni kuchelewa.<br />
Maisha <strong>ya</strong> maasi kumpinga Mungu haikuwastahilisha kwa mbinguni. Usafi wake na<br />
amani <strong>ya</strong>ngekuwa ni mateso kwao; utukufu wa Mungu ungekuwa moto unaoteketeza.<br />
Wangetamani sana kukimbia kutoka mahali pale patakatifu na wangekaribisha vizuri<br />
maangamizi, ili waweze kufichwa kutoka usoni pake yeye aliyekufa kwa kuwakomboa.<br />
Mwisho wa waovu anaimarishwa kwa uchaguzi wao wenyewe. Kufukuzwa kwao kutoka<br />
mbinguni ni kwa kujichagulia wao wenyewe na ni haki na rehema kwa upande wa Mungu.<br />
Kama maji <strong>ya</strong> Garika mioto <strong>ya</strong> siku kuu inatangaza hukumu <strong>ya</strong> Mungu kwamba hakuna dawa<br />
<strong>ya</strong> waovu. Mapenzi <strong>ya</strong>o imetumiwa katika maasi. Wakati uzima unapoisha, ni kuchelewa sana<br />
kugeuza mawazo <strong>ya</strong>o kutoka kwa uasi hata wa utiifu, kutoka kwa uchuki hata kwa mapendo.<br />
Mshahara wa Zambi<br />
“Kwa maana mshahara wa zambi ni mauti, lakini zawadi <strong>ya</strong> Mungu ni uzima wa milele<br />
katika Yesu Kristo Bwana wetu.” Wakati ambao uzima ni uriti wa wenye haki, mauti ni<br />
sehemu <strong>ya</strong> waovu. “Mauti <strong>ya</strong> pili” inawekwa kinyume na uzima wa milele. Waroma 6:23;<br />
tazama Ufunuo 20:14.<br />
Kwa matokeo <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong> Adamu, mauti imewekwa juu <strong>ya</strong> uzao wote wa wanadamu.<br />
Wote sawasawa huenda chini kaburini. Na kwa njia <strong>ya</strong> mpango wa wokovu, wote<br />
wanapashwa kuletwa kutoka kwa makaburi <strong>ya</strong>o: “kutakuwa ufufuo wa wafu, wote wenye<br />
haki na wasio haki pia.” “Kwa sababu kama katika Adamu wote wanakufa, hivyo wote katika<br />
Kristo watafanywa wahai.” Lakini tofauti imefanywa kati <strong>ya</strong> makundi mawili inayoletwa:<br />
“Wote walio katika makaburi watasikia sauti <strong>ya</strong>ke, nao watatoka; wale waliofan<strong>ya</strong> mema kwa<br />
ufufuo wa uzima, na wale waliofan<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong>, kwa ufufuo wa hukumu.” Matendo 24:15; 1<br />
Wakorinto 15:22; Yoane 5:28,29.<br />
Ufufuo wa Kwanza<br />
Wale “wanaohesabiwa kuwa wamestahili” kwa ufufuo wa kwanza ni “heri na<br />
Watakatifu”. “Juu <strong>ya</strong> hawa mauti <strong>ya</strong> pili haina nguvu.” Luka 20:35; Ufunuo 20:6. Lakini wale<br />
wasiopata msamaha kwa njia <strong>ya</strong> toba na imani wanapaswa kupokea “mishahara <strong>ya</strong> zambi,”<br />
azabu “kufwatana na matendo <strong>ya</strong>o,” kuishi katika “mauti <strong>ya</strong> pili.”<br />
Kwani ni jambo lisilowezekana kwa Mungu kuokoa mwenye zambi katika zambi zake,<br />
anamwondolea maisha <strong>ya</strong>ke ambayo makosa ilin<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> na ambaye amejionyesha<br />
mwenyewe kwamba hastahili. ” Maana bado kidogo na mwovu hatakuwa; ndiyo utafikiri sana<br />
pahali pake, naye hatakuwa,” “Na watakuwa kama hawakuwa mbele.” Zaburi 37:10; Obadia<br />
16. Wanazama katika usahaulifu usiokuwa na matumaini <strong>ya</strong> milele.<br />
221