12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Je, wale ambao mioyo <strong>ya</strong>o imejazwa na uchuki kwa Mungu, kwa kweli na kwa utakatifu,<br />

wanaweza kuchanganyika pamoja na makutano <strong>ya</strong> mbinguni na kujiunga katika nyimbo zao<br />

za sifa? Miaka <strong>ya</strong> rehema ilitolewa kwao, lakini hawakuzoeza moyo wao kupenda usafi.<br />

Hawakujifunza kamwe lugha <strong>ya</strong> mbinguni. Sasa ni kuchelewa.<br />

Maisha <strong>ya</strong> maasi kumpinga Mungu haikuwastahilisha kwa mbinguni. Usafi wake na<br />

amani <strong>ya</strong>ngekuwa ni mateso kwao; utukufu wa Mungu ungekuwa moto unaoteketeza.<br />

Wangetamani sana kukimbia kutoka mahali pale patakatifu na wangekaribisha vizuri<br />

maangamizi, ili waweze kufichwa kutoka usoni pake yeye aliyekufa kwa kuwakomboa.<br />

Mwisho wa waovu anaimarishwa kwa uchaguzi wao wenyewe. Kufukuzwa kwao kutoka<br />

mbinguni ni kwa kujichagulia wao wenyewe na ni haki na rehema kwa upande wa Mungu.<br />

Kama maji <strong>ya</strong> Garika mioto <strong>ya</strong> siku kuu inatangaza hukumu <strong>ya</strong> Mungu kwamba hakuna dawa<br />

<strong>ya</strong> waovu. Mapenzi <strong>ya</strong>o imetumiwa katika maasi. Wakati uzima unapoisha, ni kuchelewa sana<br />

kugeuza mawazo <strong>ya</strong>o kutoka kwa uasi hata wa utiifu, kutoka kwa uchuki hata kwa mapendo.<br />

Mshahara wa Zambi<br />

“Kwa maana mshahara wa zambi ni mauti, lakini zawadi <strong>ya</strong> Mungu ni uzima wa milele<br />

katika Yesu Kristo Bwana wetu.” Wakati ambao uzima ni uriti wa wenye haki, mauti ni<br />

sehemu <strong>ya</strong> waovu. “Mauti <strong>ya</strong> pili” inawekwa kinyume na uzima wa milele. Waroma 6:23;<br />

tazama Ufunuo 20:14.<br />

Kwa matokeo <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong> Adamu, mauti imewekwa juu <strong>ya</strong> uzao wote wa wanadamu.<br />

Wote sawasawa huenda chini kaburini. Na kwa njia <strong>ya</strong> mpango wa wokovu, wote<br />

wanapashwa kuletwa kutoka kwa makaburi <strong>ya</strong>o: “kutakuwa ufufuo wa wafu, wote wenye<br />

haki na wasio haki pia.” “Kwa sababu kama katika Adamu wote wanakufa, hivyo wote katika<br />

Kristo watafanywa wahai.” Lakini tofauti imefanywa kati <strong>ya</strong> makundi mawili inayoletwa:<br />

“Wote walio katika makaburi watasikia sauti <strong>ya</strong>ke, nao watatoka; wale waliofan<strong>ya</strong> mema kwa<br />

ufufuo wa uzima, na wale waliofan<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong>, kwa ufufuo wa hukumu.” Matendo 24:15; 1<br />

Wakorinto 15:22; Yoane 5:28,29.<br />

Ufufuo wa Kwanza<br />

Wale “wanaohesabiwa kuwa wamestahili” kwa ufufuo wa kwanza ni “heri na<br />

Watakatifu”. “Juu <strong>ya</strong> hawa mauti <strong>ya</strong> pili haina nguvu.” Luka 20:35; Ufunuo 20:6. Lakini wale<br />

wasiopata msamaha kwa njia <strong>ya</strong> toba na imani wanapaswa kupokea “mishahara <strong>ya</strong> zambi,”<br />

azabu “kufwatana na matendo <strong>ya</strong>o,” kuishi katika “mauti <strong>ya</strong> pili.”<br />

Kwani ni jambo lisilowezekana kwa Mungu kuokoa mwenye zambi katika zambi zake,<br />

anamwondolea maisha <strong>ya</strong>ke ambayo makosa ilin<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> na ambaye amejionyesha<br />

mwenyewe kwamba hastahili. ” Maana bado kidogo na mwovu hatakuwa; ndiyo utafikiri sana<br />

pahali pake, naye hatakuwa,” “Na watakuwa kama hawakuwa mbele.” Zaburi 37:10; Obadia<br />

16. Wanazama katika usahaulifu usiokuwa na matumaini <strong>ya</strong> milele.<br />

221

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!