You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
“Mimi nitamupa yeye mwenye kiu, <strong>ya</strong> chemchemi <strong>ya</strong> maji <strong>ya</strong> uzima, bure.” Ahadi hii ni<br />
<strong>ya</strong> wale tu wanaokuwa na kiu. “Yeye anayeshinda atariti maneno ha<strong>ya</strong>, nami nitakuwa Mungu<br />
wake, naye atakuwa mwana wangu.” Ufunuo 21:6,7. Mashairi <strong>ya</strong>meelezwa. Kwa kuriti vitu<br />
vyote, inatupasa kushinda zambi.<br />
“Lakini haitakuwa heri kwake mwovu.” Muhubiri 8:13. Mwenye zambi anajiwekea<br />
mwenyewe “hasira kwa siku <strong>ya</strong> hasira na ufunuo wa hukumu <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> Mungu, atakayelipa<br />
kila mutu kwa kadiri <strong>ya</strong> matendo <strong>ya</strong>ke;” “mateso na taabu juu <strong>ya</strong> kila nafsi <strong>ya</strong> mutu<br />
anayefan<strong>ya</strong> uovu.” Waroma 2:5,6,9.<br />
“Hakuna mwasherati wala mutu muchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu,<br />
aliye uriti katika ufalme wa Kristo na Mungu.” “Heri wale wanaofula nguo zao, wawe na amri<br />
kwendea mti wa uzima, na kuingia katika muji kwa milango <strong>ya</strong>ke. Lakini inje ni imbwa, na<br />
wachawi, na wazini, na wauaji, na wanaoabudu sanamu, na kila mutu anayependa uwongo na<br />
kuufan<strong>ya</strong>.” Waefeso 5:5, ARV; Ufunuo 22:14,15.<br />
Mungu amewatolea watu tangazo la kanuni <strong>ya</strong> matendo na zambi. “Waovu wote<br />
atawaharibu.” ‘’Lakini wakosaji wataharibiwa pamoja; mwisho wa waovu utaharibiwa.”<br />
Zaburi 145:20; 37:38. Mamlaka <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> Mungu itaharibu maasi, lakini haki <strong>ya</strong> kulipiza<br />
kisasi itakuwa aminifu pamoja na tabia <strong>ya</strong> Mungu kama wa rehema, na wema.<br />
Mungu hashurutishe mapenzi. Hapendezwi na utii wa utumwa. Anataka <strong>ya</strong> kama viumbe<br />
v<strong>ya</strong> mikono <strong>ya</strong>ke watampenda kwa sababu anastahili upendo. Angaliwatakia wamtii kwa<br />
sababu wanakuwa na shukrani <strong>ya</strong> akili kwa hekima <strong>ya</strong>ke, haki, na wema.<br />
Kanuni za serkali <strong>ya</strong> Mungu zinakuwa katika umoja pamoja na amri <strong>ya</strong> Mwokozi,<br />
“Pendeni adui zenu.” Matayo 5:44. Mungu anatimiliza haki kwa waovu kwa ajili <strong>ya</strong> uzuri wa<br />
viumbe vyote na hata kwa ajili <strong>ya</strong> uzuri wa wale ambao hukumu zake zitakapowatazama.<br />
Angewafurahisha kama awezavyo. Amewazunguusha na alama za upendo wake na<br />
kuwafuatisha na matoleo za rehema; lakini wanazarau upendo wake, wanavunja sheria <strong>ya</strong>ke,<br />
na kukataa rehema <strong>ya</strong>ke. Kupokea daima zawadi zake, wanampatisha ha<strong>ya</strong> Mtoaji. Bwana<br />
anavumilia ukaidi wao wakati mrefu; lakini je, atawafunga waasi hawa kwa upande wake,<br />
kuwalazimisha kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke?<br />
Hawakuta<strong>ya</strong>rishwa Kuingia Mbinguni<br />
Wale waliochagua Shetani kuwa kiongozi wao hawakuta<strong>ya</strong>-rishwa kuingia machoni pa<br />
Mungu. Kiburi, uongo, uasherati, ukali, <strong>ya</strong>mekazwa katika tabia zao. Je, wanaweza kuingia<br />
mbinguni kukaa milele pamoja na wale ambao waliwachukia duniani? Kweli haitaweza kuwa<br />
<strong>ya</strong> kupendeza kwa mwongo; upole hautaweza kutuliza kujisifu; usafi hauwezi kukubaliwa<br />
kwa mwovu; upendo usiotaka faida hauonekane wa kuvuta kwa mwenye choyo. Ni furaha<br />
gani mbingu ingeweza kutoa kwa wale wanaoshughulika sana katika faida za kujipendeza<br />
nafsi?<br />
220