12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Mimi nitamupa yeye mwenye kiu, <strong>ya</strong> chemchemi <strong>ya</strong> maji <strong>ya</strong> uzima, bure.” Ahadi hii ni<br />

<strong>ya</strong> wale tu wanaokuwa na kiu. “Yeye anayeshinda atariti maneno ha<strong>ya</strong>, nami nitakuwa Mungu<br />

wake, naye atakuwa mwana wangu.” Ufunuo 21:6,7. Mashairi <strong>ya</strong>meelezwa. Kwa kuriti vitu<br />

vyote, inatupasa kushinda zambi.<br />

“Lakini haitakuwa heri kwake mwovu.” Muhubiri 8:13. Mwenye zambi anajiwekea<br />

mwenyewe “hasira kwa siku <strong>ya</strong> hasira na ufunuo wa hukumu <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> Mungu, atakayelipa<br />

kila mutu kwa kadiri <strong>ya</strong> matendo <strong>ya</strong>ke;” “mateso na taabu juu <strong>ya</strong> kila nafsi <strong>ya</strong> mutu<br />

anayefan<strong>ya</strong> uovu.” Waroma 2:5,6,9.<br />

“Hakuna mwasherati wala mutu muchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu,<br />

aliye uriti katika ufalme wa Kristo na Mungu.” “Heri wale wanaofula nguo zao, wawe na amri<br />

kwendea mti wa uzima, na kuingia katika muji kwa milango <strong>ya</strong>ke. Lakini inje ni imbwa, na<br />

wachawi, na wazini, na wauaji, na wanaoabudu sanamu, na kila mutu anayependa uwongo na<br />

kuufan<strong>ya</strong>.” Waefeso 5:5, ARV; Ufunuo 22:14,15.<br />

Mungu amewatolea watu tangazo la kanuni <strong>ya</strong> matendo na zambi. “Waovu wote<br />

atawaharibu.” ‘’Lakini wakosaji wataharibiwa pamoja; mwisho wa waovu utaharibiwa.”<br />

Zaburi 145:20; 37:38. Mamlaka <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> Mungu itaharibu maasi, lakini haki <strong>ya</strong> kulipiza<br />

kisasi itakuwa aminifu pamoja na tabia <strong>ya</strong> Mungu kama wa rehema, na wema.<br />

Mungu hashurutishe mapenzi. Hapendezwi na utii wa utumwa. Anataka <strong>ya</strong> kama viumbe<br />

v<strong>ya</strong> mikono <strong>ya</strong>ke watampenda kwa sababu anastahili upendo. Angaliwatakia wamtii kwa<br />

sababu wanakuwa na shukrani <strong>ya</strong> akili kwa hekima <strong>ya</strong>ke, haki, na wema.<br />

Kanuni za serkali <strong>ya</strong> Mungu zinakuwa katika umoja pamoja na amri <strong>ya</strong> Mwokozi,<br />

“Pendeni adui zenu.” Matayo 5:44. Mungu anatimiliza haki kwa waovu kwa ajili <strong>ya</strong> uzuri wa<br />

viumbe vyote na hata kwa ajili <strong>ya</strong> uzuri wa wale ambao hukumu zake zitakapowatazama.<br />

Angewafurahisha kama awezavyo. Amewazunguusha na alama za upendo wake na<br />

kuwafuatisha na matoleo za rehema; lakini wanazarau upendo wake, wanavunja sheria <strong>ya</strong>ke,<br />

na kukataa rehema <strong>ya</strong>ke. Kupokea daima zawadi zake, wanampatisha ha<strong>ya</strong> Mtoaji. Bwana<br />

anavumilia ukaidi wao wakati mrefu; lakini je, atawafunga waasi hawa kwa upande wake,<br />

kuwalazimisha kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke?<br />

Hawakuta<strong>ya</strong>rishwa Kuingia Mbinguni<br />

Wale waliochagua Shetani kuwa kiongozi wao hawakuta<strong>ya</strong>-rishwa kuingia machoni pa<br />

Mungu. Kiburi, uongo, uasherati, ukali, <strong>ya</strong>mekazwa katika tabia zao. Je, wanaweza kuingia<br />

mbinguni kukaa milele pamoja na wale ambao waliwachukia duniani? Kweli haitaweza kuwa<br />

<strong>ya</strong> kupendeza kwa mwongo; upole hautaweza kutuliza kujisifu; usafi hauwezi kukubaliwa<br />

kwa mwovu; upendo usiotaka faida hauonekane wa kuvuta kwa mwenye choyo. Ni furaha<br />

gani mbingu ingeweza kutoa kwa wale wanaoshughulika sana katika faida za kujipendeza<br />

nafsi?<br />

220

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!