12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong>meenea po pote ulimwenguni kutoka kwa mafundisho <strong>ya</strong> mimbara <strong>ya</strong>mefan<strong>ya</strong> mamilioni<br />

<strong>ya</strong> watu wenye mashaka na wasiokuwa waaminifu.<br />

Maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele ni mojawapo <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> uwongo, mvinyo wa gazabu<br />

<strong>ya</strong>ke (Ufunuo 14:8; 17:21), ambayo Babeli inafan<strong>ya</strong> wote kunywa. Wahuduma wa Kristo<br />

walipokea ujushi huu kwa Roma kama walivyokubali sabato <strong>ya</strong> uwongo. Kama tukiacha<br />

Neno la Mungu na kukubali mafundisho <strong>ya</strong> uwongo kwa sababu wababa zetu wali<strong>ya</strong>fundisha,<br />

tunaanguka chini <strong>ya</strong> hukumu iliyotangazwa kwa Babeli; tunakunywa mvinyo wa gazabu<br />

<strong>ya</strong>ke.<br />

Kundi kubwa linaongozwa kwa kosa la upande mwingine. Wanaona Maandiko<br />

<strong>ya</strong>nayoonyesha Mungu kama mwenye upendo na huruma na hawawezi kuamini kwamba<br />

atatupa viumbe kwa jehanum inayowaka milele. Kushikilia kwamba nafsi kwa kawaida ni <strong>ya</strong><br />

milele, wakaishia kwamba watu wote wataokolewa. Kwa hivyo mwenye zambi anaweza<br />

kuishi katika anasa <strong>ya</strong> kupendeza nafsi, kutojali matakwa <strong>ya</strong> Mungu, na kukubaliwa na<br />

Mungu. Mafundisho <strong>ya</strong> namna hiyo, <strong>ya</strong>nategemea kwa rehema <strong>ya</strong> Mungu lakini bila kujali<br />

haki <strong>ya</strong>ke, <strong>ya</strong>nafurahisha moyo wa tamaa za mwili.<br />

Wokovu wa Watu Wote Si Fundisho la Biblia<br />

Wanaoamini katika wokovu wa watu wote wanageuza Maandiko. Mhubiri anayejulikana<br />

wa Kristo anakariri uwongo ulioenezwa na nyoka katika Edeni, “Hakika hamutakufa.” “Siku<br />

mutakayokula matunda <strong>ya</strong>ke, macho yenu <strong>ya</strong>tafunguliwa, na mutakuwa kama miungu. ”<br />

Anatangaza <strong>ya</strong> kama mwovu zaidi katika wenye zambi--muuaji, mwizi, mzinzi--baada <strong>ya</strong> kifo<br />

ataingia katika hali <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong> milele. Hadizi za kweli za kupendeza, zinazofaa kwa<br />

kupendeza moyo wa tamaa za mwili!<br />

Kama ingekuwa kweli kwamba watu wote wangepita mara moja mbinguni kwa saa <strong>ya</strong><br />

mwisho <strong>ya</strong> mauti, tungeweza vema kutamani mauti kuliko uzima. Wengi wameongozwa<br />

katika imani hii kumaliza wala kukomesha maisha <strong>ya</strong>o. Kulemezwa na hatari na uchungu,<br />

inaonekana rahisi kuvunja mwendo wa maisha na kupanda upesi katika hali <strong>ya</strong> raha <strong>ya</strong> makao<br />

<strong>ya</strong> milele.<br />

Mungu ametoa katika Neno lake ushuhuda wazi <strong>ya</strong> kama ataazibu wavunjaji wa sheria<br />

<strong>ya</strong>ke. Je, yeye anakuwa mwenye rehema vilevile hata asitimize haki juu <strong>ya</strong> mwenye zambi?<br />

Tazama kwa msalaba wa Kalvari. Mauti <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu inashuhudia kwamba<br />

“mushahara wa zambi ni mauti” (Waroma 6:23), kwamba kila uvunjaji wa sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

unapashwa kupata malipizi. Kristo asiyekuwa na zambi akawa mwenye zambi kwa ajili <strong>ya</strong><br />

mtu. Akavumulia hatia za zambi na maficho <strong>ya</strong> uso wa Baba <strong>ya</strong>ke hata moyo wake ukapasuka<br />

na maisha <strong>ya</strong>ke kuangamizwa--yote ha<strong>ya</strong> ili wenye zambi waweze kukombolewa. Na kila<br />

nafsi ambayo inakataa kushirikiana na upatanisho uliotolewa kwa bei <strong>ya</strong> namna ile anapaswa<br />

kuchukua kwa nafsi <strong>ya</strong>ke mwenyewe hatia na azabu <strong>ya</strong> zambi.<br />

Masharti Yameelezwa<br />

219

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!