Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Yule aliyeahidi uzima katika uasi alikuwa mdanganyi mkubwa. Na tangazo la nyoka<br />
katika Edeni--“Hakika hamutakufa”--lilikuwa hubiri la kwanza lililohubiriwa daima juu <strong>ya</strong><br />
kutokufa kwa roho (nafsi). Lakini tangazo hili, la kubaki tu kwa mamlaka <strong>ya</strong> Shetani,<br />
linakaririwa kwa mimbara na kukubaliwa kwa watu wengi kwa upesi kama mbele kwa wazazi<br />
wetu wa kwanza. Hukumu <strong>ya</strong> Mungu, “Nafsi inayofan<strong>ya</strong> zambi itakufa” (Ezekieli 18:20)<br />
inafanywa kwa kutaka kuonyesha, Nafsi inayofan<strong>ya</strong> zambi, haitakufa, lakini itaishi milele na<br />
milele. Kama mtu angalipewa ruhusa <strong>ya</strong> uhuru <strong>ya</strong> kukaribia mti wa uzima, baada <strong>ya</strong> kuanguka<br />
kwake, zambi zingalifanywa kukaa milele. Lakini hakuna hata mtu mmoja wa jamaa <strong>ya</strong><br />
Adamu aliyeruhusiwa kuonja (kutwaa) tunda linalotoa uzima. Kwa hiyo hapo hakuna<br />
mwenye zambi wa kuishi milele.<br />
Baada <strong>ya</strong> Kuanguka, Shetani akaalika malaika zake kufundisha imani katika kutokufa <strong>ya</strong><br />
milele kwa asili <strong>ya</strong> mtu. Akiisha kuingiza watu kukubali kosa hili, ilikuwa ni kuwaongoza<br />
kuzania kama mwenye zambi angeishi katika mateso <strong>ya</strong> milele. Sasa mfalme wa giza<br />
anamuonyesha Mungu kuwa sultani mkali mwenye kutaka kisasi, kutangaza <strong>ya</strong> kama<br />
anatumbukiza katika jehanum wote wasiompendeza, <strong>ya</strong> kama wakati wanapojinyonga katika<br />
ndimi za moto wa milele, Muumba wao anawatazama chini na kurizika. Kwa hivi ibilisi<br />
mukubwa anavika Mtenda mema kwa mwanadamu tabia zake. Ukali ni tabia <strong>ya</strong> Shetani.<br />
Mungu ni mapendo. Shetani ni adui anayejaribu mtu afanye zambi na baadaye<br />
akamwangamiza kama awezavyo. Ni mambo <strong>ya</strong> kuchukiza upendo, rehema, na haki,<br />
mafundisho kwamba wafu waovu wanateseka katika jehanum inayowaka <strong>ya</strong> milele, kwamba<br />
kwa zambi za maisha mafupi <strong>ya</strong> kidunia wanateseka malipizi makali katika maisha yote <strong>ya</strong><br />
Mungu!<br />
Ni mahali gani katika Neno la Mungu mafundisho <strong>ya</strong> namna ile inapatikana? Je, mawazo<br />
<strong>ya</strong> wema wa watu wote <strong>ya</strong>geuzwe kwa ukali waushenzi? Hapana, <strong>ya</strong>le si mafundisho <strong>ya</strong><br />
Kitabu cha Mungu. “Ninavyoishi, Bwana Mungu anasema, sina furaha kwa kufa kwa mwovu;<br />
lakini mwovu aache njia <strong>ya</strong>ke apate kuishi; geukeni, geukeni mukaache njia yenu mba<strong>ya</strong>;<br />
kwani kwa sababu gani munataka kufa?” Ezekieli 33:11.<br />
Je, Mungu anapendezwa katika kushuhudia mateso <strong>ya</strong>siyomalizika? Je, Yeye<br />
anapendezwa na maumivu wala mazomeo na kilio cha nguvu cha viumbe vinavyoteseka<br />
anavyoshikilia katika ndimi za moto? Je, sauti hizi za kuchukiza ziwe sauti za nyimbo katika<br />
sikio la yule ambaye ana Upendo Pasipo Mwisho (Mungu)? Loo, matukano gani <strong>ya</strong> kutiisha!<br />
Utukufu wa Mungu hauongezwe kwa kudumisha zambi kupitiamilele na milele.<br />
Ujushi wa Maumivu Maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Milele<br />
Uovu ulifanyika kwa sababu <strong>ya</strong> ujushi wa maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele. Dini <strong>ya</strong> Biblia,<br />
inajaa na upendo na wema, inatiwa giza kwa imani <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> uchawi na inavikwa na hofu<br />
kubwa. Shetani amepakaa rangi tabia <strong>ya</strong> Mungu kwa rangi za uwongo. Muumba wetu wa<br />
rehema anaogopwa, na kuhofiwa, hata kuchukiwa. Maoni <strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong> Mungu ambayo<br />
218