Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 33. Kinacholala Ng’ambo <strong>ya</strong> Pili <strong>ya</strong> Kaburi<br />
Shetani aliyechochea uasi huko mbinguni, alitaka kushawishi wakaaji wa dunia kuungana<br />
katika vita <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kumpinga Mungu. Adamu na Hawa walikuwa na furaha kamili katika utii<br />
kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu--ushuhuda wa daima wa kupinga madai <strong>ya</strong> Shetani ulioweka mbele<br />
katika mbingu <strong>ya</strong> kuwa sheria <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa <strong>ya</strong> taabu. Shetani akakusudia kuanzisha<br />
maanguko <strong>ya</strong>o, ili aweze kumiliki dunia na hapa kuimarisha ufalme wake kwa kupingana na<br />
Aliye Juu.<br />
Adamu na Hawa walikuwa wakionywa juu <strong>ya</strong> adui wa hatari huyu, lakini alikuwa<br />
akitumika katika giza, kuficha kusudi lake. Kutumia nyoka kama chombo chake, ndipo<br />
kiumbe cha mfano wa kupendeza, akamwambia Hawa: “Ndiyo, Mungu amesema: Msile <strong>ya</strong><br />
miti yote <strong>ya</strong> shamba?” Hawa akajihatarisha (akasubutu) kusemana naye na akaanguka mateka<br />
kwa uongo wake: “Mwanamuke akamwambia nyoka: Matunda <strong>ya</strong> miti <strong>ya</strong> shamba tunaweza<br />
kula; lakini matunda <strong>ya</strong> mti ulio katikati <strong>ya</strong> shamba Mungu amesema: Musile matunda <strong>ya</strong>ke<br />
wala musi<strong>ya</strong>guse, musife. Na nyoka akamwambia mwanamuke; Hakika hamutakufa, kwani<br />
Mungu anajua <strong>ya</strong> kama siku mutakapokula matunda <strong>ya</strong>ke, macho yenu <strong>ya</strong>tafunguliwa, na<br />
mutakuwa kama miungu, mukijua uzuri na uba<strong>ya</strong>.” Mwanzo 3:1-5.<br />
Hawa akakubali, na kwa mvuto wake (mwanamuke) Adamu akaongozwa katika zambi.<br />
Wakakubali maneno <strong>ya</strong> nyoka; wakaonyesha kutotumaini Muumba wao na kuwaza <strong>ya</strong> kama<br />
alikuwa akizuia uhuru wao.<br />
Lakini ni kitu gani Adamu alichopata kujua kuwa maana <strong>ya</strong> maneno, “Kwa maana siku<br />
utakapokula, hakika utakufa”? Je, alipaswa kuongozwa katika maisha <strong>ya</strong> kujiinua zaidi?<br />
Adamu hakuona jambo hili kuwa maana <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> Mungu. Mungu alitangaza ile kama<br />
azabu kwa ajili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke, mtu alipashwa kurudi kwa mavumbi: “Kwa sababu mavumbi<br />
wewe, na utarudi kwa mavumbi.” Mwanzo 3:19. Maneno <strong>ya</strong> Shetani, “Macho yenu<br />
<strong>ya</strong>tafunguliwa,” <strong>ya</strong>lionekana kuwa <strong>ya</strong> kweli katika maana hii tu: macho <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kafunguliwa<br />
kutambua ujinga wao. Wakajua uba<strong>ya</strong> na kuonja tunda la uchungu wa uasi.<br />
Mti wa uzima ulikuwa na uwezo wa kudumisha uzima. Adamu angeendelea kufurahia<br />
ruhusa <strong>ya</strong> uhuru wa kukaribia mti huu na kuishi milele, lakini wakati alipofan<strong>ya</strong> zambi<br />
akazuiwa kwa mti wa uzima na akastahili kifo. Kufa ikaondoa kutokufa. Pale hapangalikuwa<br />
na tumaini kwa uzao ulioanguka kama Mungu, kwa kafara <strong>ya</strong> Mwana wake, hangeleta<br />
kutokufa karibu nao. Na hivi ‘’kufa kulikuja juu <strong>ya</strong> watu wote, kwa sababu wote wamefan<strong>ya</strong><br />
zambi,” Kristo “ameleta uzima na maisha <strong>ya</strong>siyokoma nuru ni kwa njia <strong>ya</strong> Habari Njema.”<br />
Katika Kristo tu kutokufa kunaweza kupatikana. “Anayeamini Mwana ana uzima wa milele;<br />
na asiyemwamini Mwana hataona uzima.” Waroma 5:12; 2 Timoteo 1:10; Yoane 3:36.<br />
Uwongo Mkubwa<br />
217