12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 33. Kinacholala Ng’ambo <strong>ya</strong> Pili <strong>ya</strong> Kaburi<br />

Shetani aliyechochea uasi huko mbinguni, alitaka kushawishi wakaaji wa dunia kuungana<br />

katika vita <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kumpinga Mungu. Adamu na Hawa walikuwa na furaha kamili katika utii<br />

kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu--ushuhuda wa daima wa kupinga madai <strong>ya</strong> Shetani ulioweka mbele<br />

katika mbingu <strong>ya</strong> kuwa sheria <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa <strong>ya</strong> taabu. Shetani akakusudia kuanzisha<br />

maanguko <strong>ya</strong>o, ili aweze kumiliki dunia na hapa kuimarisha ufalme wake kwa kupingana na<br />

Aliye Juu.<br />

Adamu na Hawa walikuwa wakionywa juu <strong>ya</strong> adui wa hatari huyu, lakini alikuwa<br />

akitumika katika giza, kuficha kusudi lake. Kutumia nyoka kama chombo chake, ndipo<br />

kiumbe cha mfano wa kupendeza, akamwambia Hawa: “Ndiyo, Mungu amesema: Msile <strong>ya</strong><br />

miti yote <strong>ya</strong> shamba?” Hawa akajihatarisha (akasubutu) kusemana naye na akaanguka mateka<br />

kwa uongo wake: “Mwanamuke akamwambia nyoka: Matunda <strong>ya</strong> miti <strong>ya</strong> shamba tunaweza<br />

kula; lakini matunda <strong>ya</strong> mti ulio katikati <strong>ya</strong> shamba Mungu amesema: Musile matunda <strong>ya</strong>ke<br />

wala musi<strong>ya</strong>guse, musife. Na nyoka akamwambia mwanamuke; Hakika hamutakufa, kwani<br />

Mungu anajua <strong>ya</strong> kama siku mutakapokula matunda <strong>ya</strong>ke, macho yenu <strong>ya</strong>tafunguliwa, na<br />

mutakuwa kama miungu, mukijua uzuri na uba<strong>ya</strong>.” Mwanzo 3:1-5.<br />

Hawa akakubali, na kwa mvuto wake (mwanamuke) Adamu akaongozwa katika zambi.<br />

Wakakubali maneno <strong>ya</strong> nyoka; wakaonyesha kutotumaini Muumba wao na kuwaza <strong>ya</strong> kama<br />

alikuwa akizuia uhuru wao.<br />

Lakini ni kitu gani Adamu alichopata kujua kuwa maana <strong>ya</strong> maneno, “Kwa maana siku<br />

utakapokula, hakika utakufa”? Je, alipaswa kuongozwa katika maisha <strong>ya</strong> kujiinua zaidi?<br />

Adamu hakuona jambo hili kuwa maana <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> Mungu. Mungu alitangaza ile kama<br />

azabu kwa ajili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke, mtu alipashwa kurudi kwa mavumbi: “Kwa sababu mavumbi<br />

wewe, na utarudi kwa mavumbi.” Mwanzo 3:19. Maneno <strong>ya</strong> Shetani, “Macho yenu<br />

<strong>ya</strong>tafunguliwa,” <strong>ya</strong>lionekana kuwa <strong>ya</strong> kweli katika maana hii tu: macho <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kafunguliwa<br />

kutambua ujinga wao. Wakajua uba<strong>ya</strong> na kuonja tunda la uchungu wa uasi.<br />

Mti wa uzima ulikuwa na uwezo wa kudumisha uzima. Adamu angeendelea kufurahia<br />

ruhusa <strong>ya</strong> uhuru wa kukaribia mti huu na kuishi milele, lakini wakati alipofan<strong>ya</strong> zambi<br />

akazuiwa kwa mti wa uzima na akastahili kifo. Kufa ikaondoa kutokufa. Pale hapangalikuwa<br />

na tumaini kwa uzao ulioanguka kama Mungu, kwa kafara <strong>ya</strong> Mwana wake, hangeleta<br />

kutokufa karibu nao. Na hivi ‘’kufa kulikuja juu <strong>ya</strong> watu wote, kwa sababu wote wamefan<strong>ya</strong><br />

zambi,” Kristo “ameleta uzima na maisha <strong>ya</strong>siyokoma nuru ni kwa njia <strong>ya</strong> Habari Njema.”<br />

Katika Kristo tu kutokufa kunaweza kupatikana. “Anayeamini Mwana ana uzima wa milele;<br />

na asiyemwamini Mwana hataona uzima.” Waroma 5:12; 2 Timoteo 1:10; Yoane 3:36.<br />

Uwongo Mkubwa<br />

217

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!