Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Lakini wale wanaokuwa na mashaka na kutotumaini hakikisho (assurance) la neema <strong>ya</strong>ke<br />
wanapatisha ha<strong>ya</strong> Kristo. Wanakuwa miti isiyozaa inayozuia nuru <strong>ya</strong> jua kwa mimea mingine,<br />
kuiletea kufifia na kufa chini <strong>ya</strong> baridi <strong>ya</strong> kivuli. Kazi <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> watu hawa itatokea kama<br />
ushuhuda usiokoma juu <strong>ya</strong>o.<br />
Kunakuwa lakini sababu moja tu <strong>ya</strong> kufuata kwa wale ambao kwa uaminifu wanatamani<br />
kuwa huru kwa kutokuwa na mashaka. Badala <strong>ya</strong> kuuliza <strong>ya</strong>le wasiyofahamu, waachwe watoe<br />
ukubali kwa nuru ambayo imekwisha kuangaza juu <strong>ya</strong>o, na watapata nuru kubwa zaidi.<br />
Shetani anaweza kuonyesha mfano karibu sana kufanana na kweli ule unaodangan<strong>ya</strong> wale<br />
wanaotaka kudanganyiwa, wanaotamani kuepuka kafara iliyohitajiwa katika kweli. Lakini ni<br />
kitu kisichowezekana kwake kushika chini <strong>ya</strong> uwezo wake nafsi moja inayotaka kwa<br />
uaminifu, kwa bei yo yote, kujua ukweli. Kristo ndiye kweli, “Nuru <strong>ya</strong> kweli inayotia nuru<br />
kila mtu anayekuja katika ulimwengu.” “Kila mtu akipenda kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke, atajua<br />
habari za <strong>ya</strong>le mafundisho.” Yoane 1:9; 7:17.<br />
Bwana anaruhusu watu wake kupata kwa majaribu makali <strong>ya</strong> kutesa, si kwa sababu<br />
anapendezwa wala kufurahishwa katika taabu <strong>ya</strong>o, bali kwa sababu jambo hili ni la lazima<br />
kwa ushindi wao wa mwisho. Hakuweza, kwa uthabiti kwa utukufu wake mwenyewe,<br />
kuwalinda kutoka kwa jaribu, kwa sababu kusudi la jaribu ni kuwata<strong>ya</strong>risha kupinga mivuto<br />
yote <strong>ya</strong> uovu. Hata waovu wala mashetani hawawezi kufunga kuwako kwa Mungu kwa watu<br />
wake kama wataungama na kuacha zambi zao na kudai ahadi zake. Kila jaribu, la wazi wala<br />
la siri, linaweza kupingwa kwa kufanikiwa. “Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, lakini kwa<br />
Roho <strong>ya</strong>ngu, Bwana wa majeshi anasema.” Zekaria 4:6.<br />
“Naye ni nani atakayewaumiza ninyi, kama ninyi mkiwa wenye bidii katika maneno <strong>ya</strong>le<br />
<strong>ya</strong>liyo mema?” 1 Petro 3:13. Shetani anafahamu vizuri kwamba roho inayokuwa zaifu zaidi<br />
inayokaa ndani <strong>ya</strong> Kristo inakuwa na nguvu zaidi kuliko mshindani kwa majeshi <strong>ya</strong> giza. Kwa<br />
sababu hiyo anatafuta kufukuzia mbali waaskari wa msalaba kutoka kwa boma lao lenye<br />
nguvu, huku anapolala akijificha, ta<strong>ya</strong>ri kuangamiza wote wanaosubutu kwa udongo wake.<br />
Ila tu katika kutegemea Mungu na utii kwa amri zake tunaweza kulindwa.<br />
Hakuna mtu anayekuwa salama kwa siku moja ao saa moja pasipo kuomba. Omba Bwana<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> hekima kwa kufahamu Neno lake. Shetani ni mbingwa katika kutumia Maandiko,<br />
kuweka mafasirio <strong>ya</strong>ke mwenyewe kwa mafungu ambayo anatumaini kutuletea kikwazo.<br />
Inatupasa kujifunza kwa unyenyekevu wa moyo. Huku tunapopashwa mara kwa mara<br />
kujilinda juu <strong>ya</strong> mashauri <strong>ya</strong> Shetani, inatupasa kuomba kwa imani siku zote; “Na usitulete<br />
katika majaribu.” Matayo 6:13.<br />
216