Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
<strong>ya</strong> viumbe vinashirikiana na hali <strong>ya</strong> Mungu. Ni sehemu <strong>ya</strong> mpango wa Mungu kutusaidia,<br />
katika jibu kwa ombi la imani, lile ambalo hangalitoa tusilouliza.<br />
Mipaka <strong>ya</strong> Neno<br />
Mafundisho <strong>ya</strong> uwongo miongoni mwa makanisa <strong>ya</strong>naondoa mipaka iliyowekwa na Neno<br />
la Mungu. Wachache wanasimamia kwa kukataa kweli moja tu. Wengi wanaweka kando<br />
mojawapo kwa ingine <strong>ya</strong> kanuni za kweli, hata wanapokuwa wasioamini.<br />
Makosa <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> tabia na sifa za Mungu na dini <strong>ya</strong> kupendezwa na watu wengi<br />
<strong>ya</strong>liendesha roho nyingi kwa moyo wa mashaka (sceptisim). Haiwezekani kwao kukubali<br />
mafundisho ambayo <strong>ya</strong>nayopinga maelezo <strong>ya</strong> watu juu <strong>ya</strong> haki, rehema na wema. Kwa hivi<br />
mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naonyeshwa kama mafundisho <strong>ya</strong> Biblia, anakataa ku<strong>ya</strong>kubali kama Neno la<br />
Mungu.<br />
Neno la Mungu linaangaliwa bila tumaini kwa sababu linakemea na kuhukumu zambi.<br />
Wale wasiotaka kutii wanafan<strong>ya</strong> nguvu kupindua mamlaka <strong>ya</strong>ke. Wengi wanakufuru ili<br />
kutetea uzarau wa kazi <strong>ya</strong>o. Wengine pia, ni wapenda raha kwa kutimiza kitu cho chote<br />
ambacho kinaomba kujikana mwenyewe, wanatunza sifa kwa ajili <strong>ya</strong> hekima kubwa kwa<br />
kuteta Biblia.<br />
Wengi wanaona kama sifa kusimama upande wa kutoamini, mashaka, na kukufuru. Lakini<br />
chini <strong>ya</strong> mfano mwema kutapatikana kujitumaini mwenyewe na kiburi. Wengi<br />
wanapendezwa katika kupata kujua kitu fulani katika Maandiko kutatiza roho za wengine.<br />
Wengine kwa sababu <strong>ya</strong> kwanza kwa upande usiofaa kwa upendo tu wa mabishano. Lakini<br />
wakisha kuonyesha wazi kutoamini, wanajiunga pamoja na wasiomwongopa Mungu.<br />
Ushuhuda wa Kufaa<br />
Mungu ametoa katika Neno lake ushuhuda wa kutosha wa kuonyesha tabia <strong>ya</strong>ke. Lakini<br />
akili zenye mpaka zinakuwa si zakutosha kabisa kufahamu makusudi <strong>ya</strong> Mungu. “Hukumu<br />
zake hazivumbulikani, na njia zake hazifutikani!” Waroma 11:33. Tunaweza kutambua<br />
upendo usio na mpaka na rehema iliyoungana na uwezo usio na mwisho. Baba yetu aliye<br />
mbinguni atafunua kwetu kwa namna inavyotosha kwa ajili <strong>ya</strong> uzuri wetu kujua; zaidi <strong>ya</strong> pale<br />
tunapashwa kutumainia Mkono ule unaokuwa ni Mwenye mamlaka yote, Moyo unaojaa<br />
upendo.<br />
Mungu hataondoa kamwe sababu zote za kutoamini. Wote wanaotafuta sababu za<br />
kuwekea mashaka <strong>ya</strong>o watazipata. Na wale wanaokataa kutii hata kila kizuizi kinapokwisha<br />
kuondolewa hawatakuja kwa nuru kamwe. Moyo usiofanywa up<strong>ya</strong> unakuwa katika uadui na<br />
Mungu. Lakini imani inatiwa moyo kwa Roho Mtakatifu na itasitawi kama inavyolindwa.<br />
Hakuna mtu anaweza kuwa na nguvu katika imani pasipo nguvu imara. Kama watu<br />
wakijiruhusu wenyewe kubishana, mashaka <strong>ya</strong>tapata msingi zaidi.<br />
215