Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wapungufu wa mafundisho <strong>ya</strong> kiroho <strong>ya</strong>nayotolewa na moyo wa kujikana, kwa namna<br />
vinavyoelezwa, kukubaliwa na kupokelewa kwa bidii kubwa. Shetani anakuwa ta<strong>ya</strong>ri kutoa<br />
kwa tamaa <strong>ya</strong> moyo, na anapokeza hila za udanganyifu badala pa Kweli. Ilikuwa kwa namna<br />
hii ambayo dini <strong>ya</strong> Roma (papa) ilipata mamlaka <strong>ya</strong>ke kwa roho za watu. Na katika kukataa<br />
kweli kwa sababu inahusikana na msalaba, Waprotestanti wanafuata njia ile ile. Wote<br />
wanaojifunza manufaa na mashauri, ili wasiweze kuwa na tofauti na ulimwengu, wataachwa<br />
kupata “uharibifu usiokawia” wakizania ni kweli. 2 Petro 2:1. Yeye anayetazama kwa<br />
kuchukia udanganyifu moja atapokea mara hiyo mwingine. “Na kwa maneno ha<strong>ya</strong> Mungu<br />
anawaletea nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini uwongo: ili wahukumiwe wote wasioamini<br />
kweli, lakini walifurahi katika uzalimu.” 2 Watesalonika 2:11,12.<br />
Makosa <strong>ya</strong> Hatari<br />
Miongoni mwa vyombo v<strong>ya</strong> ushindi zaidi v<strong>ya</strong> mdanganyi mkubwa ni maajabu <strong>ya</strong> uwongo<br />
<strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> roho za watu waliokufa (spiritisme). Kwa namna watu wanavyokataa kweli<br />
wanatekwa kwa udanganyifu.<br />
Kosa lingine ni mafundisho <strong>ya</strong>nayokana Umungu wa Kristo, kudai kwamba hakuwako<br />
mbele <strong>ya</strong> kuja kwake kwa ulimwengu huu.<br />
Maelezo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nakausha maneno <strong>ya</strong> Mwokozi wetu juu <strong>ya</strong> uhusiano wake na Baba na<br />
kuwako kwake siku zote za mbele. Yanaharibu imani katika Biblia kama ufunuo kutoka kwa<br />
Mungu. Kama watu wanakana ushuhuda wa Maandiko juu <strong>ya</strong> Umungu wa Kristo, ni bure<br />
kubishana nao; hakuna mabishano, hakuna neno hata wazi la kuweza, kuwasadikisha; Hakuna<br />
anayeshikilia kosa hili anayeweza kuwa na wazo la kweli la Kristo wala la mpango wa Mungu<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> ukombozi wa mtu.<br />
Tena kosa lingine ni imani kwamba Shetani haishi kama kiumbe chenye nafsi, kwamba<br />
jina linalotumiwa katika Maandiko ni kufananisha tu mawazo maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> watu na tamaa.<br />
Mafundisho kwamba kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili kwa Kristo ni kuja kwake kwa kila mtu wakati<br />
wa mauti ni uongo kwa kupotosha akili kusahau kwa kuja kwake mwenyewe katika mawingu<br />
<strong>ya</strong> mbingu. Shetani basi amekuwa akisema, ‘’Tazama, yeye ni katika vyumba v<strong>ya</strong> ndani”<br />
(Tazama Matayo 24:23-26), na wengi wamepotea katika kukubali udanganyifu huu.<br />
Tena watu wa maarifa wanadai kwamba hakuna jibu la kweli linaweza kuwako kwa<br />
kuomba; hii ingekuwa uvunjaji wa sheria-mwujiza, na miujiza haiwezi kuwako. Ulimwengu,<br />
wanasema, unatawaliwa katika sheria zisizobabilika, na Mungu Mwenyewe hafanye kitu<br />
kinyume kwa sheria hizi. Kwa hivi wanafananinisha Mungu kama amelazimishwa katika<br />
sheria zake mwenyewe--kana kwamba sheria za Mungu zingekataza uhuru wa Mungu.<br />
Fundisho la namna hii linapinga ushuhuda wa maandiko.<br />
Je, miujiza haikufanywa na Kristo na mitume wake? Mwokozi yule yule anapendezwa<br />
basi kusikiliza maombi <strong>ya</strong> imani kama vile alivyotembea kwa wazi miongoni mwa watu. Hali<br />
214