You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kwa kusimamia mafundisho <strong>ya</strong> uwongo, wengine wanashikilia juu <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong><br />
Maandiko wanayotenga kando kwa maneno mengine, kutumia maneno nusu <strong>ya</strong> fungu kama<br />
kuhakikisha msimamo wao, huku sehemu iliyobaki inapoonyesha maana kuwa kinyume<br />
kabisa. Kwa werevu wa nyoka wanajiingiza wenyewe nyuma <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> kutengwa<br />
<strong>ya</strong>liyofasiriwa kufurahisha tamaa za mwili. Wengine wanashikilia juu <strong>ya</strong> sura na mifano,<br />
wana<strong>ya</strong>tafsiri kwa kupendeza mawazo <strong>ya</strong>o, pamoja na heshima kidogo kwa ushuhuda wa<br />
Maandiko kama mfasiri wake mwenyewe, halafu kuonyesha mambo <strong>ya</strong> upumbavu wao kama<br />
mafundisho <strong>ya</strong> Biblia.<br />
Biblia Yote ni Kiongozi<br />
Wakati ambapo kujifunza kwa Maandiko kunapoauzwa pasipo roho <strong>ya</strong> maombi na<br />
inayoweza kufundishwa, mafungu <strong>ya</strong> waziwazi kabisa <strong>ya</strong>takuwa <strong>ya</strong> kupotea maana <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
kweli. Biblia yote inapashwa kutolewa kwa watu kama vile inavyosomwa.<br />
Mungu alitoa neno la haki la unabii; malaika na hata Yesu Mwenyewe alikuja kujulisha<br />
kwa Danieli na Yoane vitu ambavyo “vilivyopashwa kuwa upesi.” Ufunuo 1:1. Mambo <strong>ya</strong><br />
maana inayohusu wokovu wetu ha<strong>ya</strong>kufunuliwa kwa namna <strong>ya</strong> kutatiza na kuongoza viba<strong>ya</strong><br />
mtafutaji mwaminifu wa kweli. Neno la Mungu ni wazi kwa wote wanaojifunza sana kwa<br />
moyo wenye kuomba.<br />
Kwa kilio, Ukarimu, watu ni vipofu kwa mashauri mpinzani. Anafaulu kuondosha Biblia<br />
na kutumia mawazo mengi <strong>ya</strong> kibinadamu; sheria <strong>ya</strong> Mungu inawekwa pembeni; na makanisa<br />
<strong>ya</strong>nakuwa chini <strong>ya</strong> utumwa wa zambi <strong>ya</strong>napojitangaza kuwa huru.<br />
Mungu ameruhusu garika <strong>ya</strong> nuru kumiminwa ulimwenguni kwa mvumbuzi <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong><br />
ulimwengu wa vyumbe vyo (science). Lakini hata watu wa elimu zaidi, kama hawaongozwi<br />
na Neno la Mungu, wanapotea katika kujaribu kuchunguza mahusiano <strong>ya</strong> maarifa (science)<br />
na ufunuo.<br />
Maarifa <strong>ya</strong> kibinadamu ni <strong>ya</strong> kipande na si kamili; kwa hiyo wengi hawawezi kupatanisha<br />
maoni <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> maarifa (science) pamoja na Maandiko. Wengi wanakubali tu maelezo kama<br />
mambo <strong>ya</strong> ujuzi, na wanafikiri kwamba Neno la Mungu ni la kujaribiwa kwa “elimu<br />
inayoitwa elimu kwa uwongo.” 1 Timoteo 6:20. Kwa sababu hawawezi kueleza Muumba na<br />
kazi zake katika sheria za asili, historia <strong>ya</strong> Biblia inazaniwa kama isioweza kutumainiwau.<br />
Wale wanaokuwa na mashaka juu <strong>ya</strong> Agano la Kale na Agano Jip<strong>ya</strong> kwa mara nyingi<br />
wanakwenda hatua mbali zaidi na kutosadiki kuwako kwa Mungu. Walipoachilia nanga <strong>ya</strong>o,<br />
wanagonga juu <strong>ya</strong> miamba <strong>ya</strong> kutokuwa waaminifu kwa Mungu.<br />
Ni kazi kubwa <strong>ya</strong> uongo wa Shetani kudumisha watu kubahatisha kwa mambo ambayo<br />
Mungu haku<strong>ya</strong>ulisha. Lusifero akawa bila kurizika kwa sababu siri zote za makusudi <strong>ya</strong><br />
Mungu hazikufunuliwa kwake, na akakataa maneno <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyofunuliwa. Sasa anatafuta<br />
kujaza watu kwa roho <strong>ya</strong> namna ileile na kuwaongoza pia kutojali amri wazi za Mungu.<br />
213