12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kwa wakati moja wakati malaika walipokuja kujionyesha wao wenyewe mbele <strong>ya</strong> Bwana,<br />

Shetani akakuja vilevile miongoni mwao, si kwa ajili <strong>ya</strong> kuinama mbele <strong>ya</strong> Mfalme wa<br />

Milele, lakini kuharakisha makusudi <strong>ya</strong>ke maovu <strong>ya</strong> kushindana na wenye haki. Utazame<br />

Yobu 1:6. Yeye anahuzuria wakati watu wanapoabudu, kutumika kwa juhudi kutawala<br />

mawazo <strong>ya</strong> wanaoabudu. Kwa namna anavyoona mjumbe wa Mungu kutafuta Maandiko,<br />

anaandika yote juu <strong>ya</strong> fundisho litakalofundishwa. Ndipo anatumia werevu wake na akili ili<br />

habari isiweze kufikia wale ambao anawadangan<strong>ya</strong> kwa jambo halisi lile. Yule anayehitaji<br />

onyo zaidi atashurutishwa katika kazi <strong>ya</strong> jambo fulani ao kwa njia ingine atapata kizuizi kwa<br />

kusikia neno.<br />

Shetani anaona watumishi wa Mungu wakilemewa kwa sababu <strong>ya</strong> giza inayofunika watu.<br />

Anasikia maombi <strong>ya</strong>o kwa ajili <strong>ya</strong> neema <strong>ya</strong> Mungu na uwezo kwa kuvunja mvuto wa ubaridi<br />

na uvivu. Halafu kwa nguvu mp<strong>ya</strong> anajaribu watu kwa anasa <strong>ya</strong> tamaa ao kujifurahisha, na<br />

kwa hivyo anaua akili zao ili washindwe kusikia mambo kabisa wanayohitaji zaidi kujifunza.<br />

Shetani anajua kwamba wote wanaozarau maombi na Maandiko watashindwa kwa<br />

mashambulio <strong>ya</strong>ke. Kwa hiyo anavumbua kila kitu cha kuvuta moyo. Wasaidizi wake wa<br />

mkono wa kuume wanakuwa na juhudi siku zote wakati Mungu anakuwa kwa kazi.<br />

Wataonyesha watumishi wa kweli wa Kristo wenye kujikana kama wanaodanganywa ao<br />

wanaodangan<strong>ya</strong>. Ni kazi <strong>ya</strong>o kusingizia makusudi <strong>ya</strong> kila tendo bora, kueneza mambo <strong>ya</strong><br />

kuchongea, na kuamsha mashaka katika mioyo <strong>ya</strong> wajinga. Lakini inaweza kuonekana upesi<br />

wanakuwa watoto wa nani, ambao mfano ni wa nani wanaoufuata, na wanafan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> nani.<br />

“Mutawatambua kwa njia <strong>ya</strong> matunda <strong>ya</strong>o.” Matayo 7:16; utazame vilevile Ufunuo 12:10.<br />

Kweli Inatakasa<br />

Mdanganyi mkubwa anakuwa na wazushi wengi waliofanywa ta<strong>ya</strong>ri kupendeza onjo<br />

mbalimbali <strong>ya</strong> wale ambao angeharibu. Ni mpango wake kuleta ndani <strong>ya</strong> kanisa watu<br />

wasiofaa, wasiogeuza wale watakaoshawishi mashaka na kutoamini. Wengi wasiokuwa na<br />

imani kamili katika Mungu wanakubali kanuni zingine za kweli na wanajifan<strong>ya</strong> kuwa<br />

Wakristo, na kwa hivi wanawezeshwa kuingiza kosa kama mafundisho <strong>ya</strong> maandiko. Shetani<br />

anajua kwamba kweli, iliyokubaliwa katika upendo, inatakasa nafsi. Kwa hiyo anatafuta<br />

kubadilisha maelezo <strong>ya</strong> uwongo, mifano, injili ingine. Tangu mwanzo, watumishi wa Mungu<br />

wamebishana juu <strong>ya</strong> waalimu wa uwongo, si kama watu waba<strong>ya</strong> tu, bali kama wenye<br />

kufundisha uwongo wa kufisha kwa nafsi. Elia, Yeremia, Paulo, kwa nguvu walipinga wale<br />

waliokuwa wakigeuza watu kutoka kwa Neno la Mungu. Ule uhuru ambao unaangaliarau<br />

imani kamili hafifu haikupata nafasi kwa hawa watetezi watakatifu wa kweli.<br />

Maelezo <strong>ya</strong>siyofahamika vizuri na <strong>ya</strong> kujiwazia tu juu <strong>ya</strong> Maandiko na maelezo yenye<br />

kupingana katika ulimwengu wa Kristo <strong>ya</strong>nakuwa ni kazi <strong>ya</strong> adui wetu mkubwa kwa kuchafua<br />

akili. Ugomvi na fitina miongoni mwa makanisa vinatokana mara nyingi na kupinganisha<br />

Maandiko kwa kuunga mkono maelezo <strong>ya</strong> kupendeza.<br />

212

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!