You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wakati Wakristo walipokubali kujiunga pamoja na wale waliogeuka kwa nusu tu kutoka<br />
katika ushenzi, Shetani akashangilia. Ndipo akawatia moyo kutesa wale waliodumu kuwa<br />
waaminifu kwa Mungu. Wakristo hawa wakufuru (waasi), walipoungana na wenzao nusu<br />
wapagani wakaelekeza vita <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> kanuni (zaidi) <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> Kristo.<br />
Ilitakiwa shindano kali sana kusimama imara juu <strong>ya</strong> madanganyo na machukizo<br />
<strong>ya</strong>liyoingizwa kanisani. Biblia haikukubaliwa kuwa msingi wa imani. Mafundisho <strong>ya</strong> uhuru<br />
wa dini <strong>ya</strong>kaitwa uwongo, na watetezi wake wakaondolewa.<br />
Baada <strong>ya</strong> mapigano marefu, waaminifu waliona kwamba mutengano ulikuwa wa lazima<br />
kabisa. Hawakusubutu kuvumilia wakati mrefu zaidi makosa <strong>ya</strong>liyokuwa hatari kwa roho zao,<br />
na kufan<strong>ya</strong> mfano mba<strong>ya</strong> ungaliweza kuhatarisha imani <strong>ya</strong> watoto wao na watoto wa watoto<br />
wao. Waliona kwamba amani ingepatikana kwa bei kali sana kwa kafara <strong>ya</strong> kanuni. Kama<br />
umoja ungalifanyiwa tu kwa kuvunja ukweli, heri tofauti iwepo, na hata vita.<br />
Wakristo wa kwanza walikuwa kweli watu wa kipekee. Wachache katika hesabu, bila<br />
utajiri, cheo, wala majina <strong>ya</strong> heshima, walikuwa wakichukiwa na waovu, hata kama vile Abeli<br />
alivyochukiwa na Kaini. Tazama Mwanzo 4:1-10. Tangu siku za Kristo hata sasa, wanafunzi<br />
wake waaminifu wameamsha chuki na upinzani wa wale wanaopenda zambi.<br />
Namna gani, basi, injili inaweza kuitwa habari <strong>ya</strong> amani? Malaika waliimba kwa uwanja<br />
wa Betelehemu: “Utukufu kwa Mungu aliye juu, na salama duniani, katika watu<br />
wanaomupendeza”. Luka 2:14. Kwa inje hapo kuna kinyume kati <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> unabii huu<br />
na maneno <strong>ya</strong> Kristo: “Sikuja kuleta salama lakini upanga”. Matayo 10:34. Lakini<br />
<strong>ya</strong>nafahamika vizuri, maneno ha<strong>ya</strong> mawili <strong>ya</strong>napatana vizuri kabisa. Injili ni ujumbe wa<br />
amani. Dini <strong>ya</strong> Kristo, ikikubaliwa na kutii, ingeeneza amani na furaha duniani pote. Ilikuwa<br />
kazi <strong>ya</strong> Yesu kupatanisha watu kwa Mungu, na kwa mtu kwa mwenzake. Lakini ulimwengu<br />
wote unakuwa katika utawala wa Shetani, adui mkali wa Kristo. Injili huonyesha kanuni za<br />
maisha kuwa zinazokuwa kinyume cha tabia na mapenzi <strong>ya</strong>o, nazo zinapinga injili <strong>ya</strong>ke.<br />
Huchukia usafi unaofunua na kuhukumu zambi zao, na hutesa na kuangamiza wale<br />
wanaotangaza haki na utakatifu. Ni kwa maana hii kwamba injili huitwa upanga. Tazama<br />
Matayo 10:34.<br />
Wengi wanaokuwa wazaifu katika imani wanakuwa ta<strong>ya</strong>ri kuacha tumaini lao katika<br />
Mungu kwa sababu anakubali watu waovu kusitawi, wakati watu wema na safi wanapoteseka<br />
na uwezo wa ukali wao. Swali, namna gani, Mungu mwenye haki na rehema, ambaye uwezo<br />
wake hauna mwisho, anaweza kukubali uzalimu na mateso <strong>ya</strong> namna hiyo? Mungu ametupa<br />
ushuhuda wa kutosha wa upendo wake. Hatuwezi kuwa na mashaka juu <strong>ya</strong> wema wake kwani<br />
hatuwezi kufahamu maongozi <strong>ya</strong>ke. Mwokozi alisema, “Kumbukeni neno nililowaambia<br />
ninyi: Mtumwa si mkubwa kuliko Bwana <strong>ya</strong>ke. Kama walinitesa mimi, watawatesa ninyi vile<br />
vile”. Yoane 15:20. Wale wanaoitwa kwa kuvumilia mateso na mauti <strong>ya</strong> wafia dini<br />
wanapaswa kutembea kwa n<strong>ya</strong>yo za Mwana mpendwa wa Mungu.<br />
14