Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kapernaumu (Luka 4:33-36)--wote waliponyeshwa kwa Mwokozi. Karibu kila mfano, Kristo<br />
akasema pepo mchafu kama kitu chenye akili, kumwagiza kutotesa mtu wake tena. Waabuduo<br />
kule Kapernaumu “wote wakashangaa sana, wakasemezana wao wenyewe wakisema: Neno<br />
gani hili; kwani kwa mamlaka na uwezo anaamuru pepo wachafu, nao wanatoka.” Luka 4:36.<br />
Kwa ajili <strong>ya</strong> kupata uwezo wa ajabu, wengine wakakaribisha mvuto wa Shetani. Mambo<br />
ha<strong>ya</strong> bila shaka ha<strong>ya</strong>kuwa na ugomvi pamoja na pepo wachafu. Kwa kundi hili kulikuwa wale<br />
waliokuwa na pepo <strong>ya</strong> uaguzi--Simon Magus, Elima mchawi yule, na kijakazi mwenye pepo<br />
aliyefuata Paulo na Sila kule Filipi. Tazama Matendo 8:9,18; 13:8; 16:16-18.<br />
Hakuna wanaokuwa katika hatari kubwa kuliko wale wanaokana kuwako kwa Shetani na<br />
malaika zake. Wengi wanajali mashauri <strong>ya</strong>o wanapoona wao wenyewe kuwa wakifuata<br />
hekima <strong>ya</strong>o wenyewe. Kwa namna tunavyokaribia mwisho wa wakati, wakati Shetani<br />
anapashwa kutumika kwa uwezo mkubwa kudangan<strong>ya</strong>, anaeneza mahali pote imani kwamba<br />
yeye hakuwako. Ni kanuni <strong>ya</strong>ke kujificha mwenyewe na namna <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kutumika.<br />
Mwongo mkubwa anaogopa kwamba tutakuwa wenye kutambua mipango <strong>ya</strong>ke. Kwa<br />
kuficha tabia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli akajifan<strong>ya</strong> mwenyewe aonyeshwe kama kitu cha kuchekelea ao<br />
cha kuzarau. Anapendezwa kufafanishwa kama mwenye kuchekesha, mwenye msiba, nusu<br />
mn<strong>ya</strong>ma na nusu mwanadamu. Anapendezwa kusikia jina lake linapotumiwa katika mchezo<br />
na kicheko. Kwa sababu amejificha mwenyewe na akili kamili, swali linaulizwa sana popote:<br />
“Je, kiumbe cha namna hii kinakuwako kweli?” Ni kwa sababu Shetani anaweza kwa upesi<br />
kutawala mawazo <strong>ya</strong> wale wanaokuwa bila kufahamu mvuto wake kwamba Neno la Mungu<br />
linafungua mbele yetu nguvu za siri <strong>ya</strong>ke, kwa hivi kutuweka kwa angalisho.<br />
Tunaweza kupata kimbilio na wokovu katika uwezo mukubwa wa Mkombozi wetu.<br />
Tunachunga vizuri sana nyumba zetu kwa mapingo na kufuli kulinda mali yetu na maisha<br />
kwa watu waovu, lakini ni marahaba kufikiri juu <strong>ya</strong> malaika waovu kushindana na<br />
mashambulio <strong>ya</strong>ke tunayokuwa nayo, katika nguvu zetu wenyewe, hakuna ulinzi. Kama<br />
wakiruhusiwa, wanaweza kuvuta mioyo yetu, kutesa miili yetu, kuharibu mali yetu na maisha<br />
yetu. Lakini wale wanaomfuata Kristo wanakuwa salama chini <strong>ya</strong> ulinzi wake. Malaika<br />
wanaopita katika nguvu wanatumwa kuwalinda. Waovu hawawezi kuvunja ulinzi aliyoweka<br />
Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake.<br />
Sura 32. Namna <strong>ya</strong> Kumshinda Shetani<br />
Vita kuu kati <strong>ya</strong> Kristo na Shetani ni karibu kuisha, na mwovu huyo anazidisha mara mbili<br />
juhudi zake kwa kuvunja kazi <strong>ya</strong> Kristo kwa ajili <strong>ya</strong> mtu. Kwa kushikilia watu katika giza na<br />
ugumu wa moyo hata upatanishi wa Mwokozi umalizika ndiyo shabaha anayoitafuta<br />
kutimiza. Wakati ubaridi unapokuwa mwingi ndani <strong>ya</strong> kanisa, Shetani hajali. Lakini wakati<br />
roho zinapochunguza, “Nifanye nini nipate kuokolewa?” anakuwa pale kupiganisha uwezo<br />
wake kupinga Kristo pia na kupinga mvuto wa Roho Mtakatifu.<br />
211