Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Pepo wachafu, kwa mwanzo waliumbwa pasipo zambi, walikuwa sawasawa kwa tabia,<br />
uwezo, na utukufu pamoja na viumbe vitakatifu vile vinavyokuwa sasa wajumbe wa Mungu.<br />
Lakini walipoanguka katika zambi, wanashiriki pamoja kwa kufezeresha Mungu na uharibifu<br />
wa watu. Kwa kuungana pamoja na Shetani katika uasi, wanashirikiana katika vita kupigana<br />
na mamlaka <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Historia <strong>ya</strong> Agano la Kale inataja kuwapo kwao, lakini kwa wakati Yesu alipokuwa<br />
duniani pepo wachafu wakaonyesha uwezo wao kwa namna <strong>ya</strong> ajabu sana. Kristo alikuja kwa<br />
ajili <strong>ya</strong> ukombozi wa mtu, na Shetani akakusudia kutawala ulimwengu. Akafanikiwa katika<br />
kuimarisha ibada <strong>ya</strong> sanamu katika kila upande wa dunia isipokuwa Palestina. Kwa inchi ile<br />
tu ambayo haikujitoa kamili kwa mshawishi, Yesu akakuja, kunyosha mikono <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
upendo, kualika wote kupata msamaha na amani kwake. Majeshi <strong>ya</strong> giza <strong>ya</strong>kafahamu<br />
kwamba kama kazi <strong>ya</strong> Kristo inapata ushindi, mamlaka <strong>ya</strong>o ingekuwa karibu kumalizika.<br />
Kwamba watu wamekuwa na pepo mba<strong>ya</strong> inasemwa wazi katika Agano Jip<strong>ya</strong>. Kwa hivi<br />
watu walioteswa si kwa sababu tu <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> kawaida; Kristo alifahamu kuwako kwa<br />
chanzo cha magonjwa na nguvu <strong>ya</strong> pepo wachafu. Wenye pepo wachafu kule Gadara, wenye<br />
wazimu wa hali mba<strong>ya</strong>, kujinyonga, kujitapa, kutosha povu, kukasirika, walikuwa wakijitesa<br />
wao wenyewe na kuhatarisha wote waliopaswa kuwakaribia. Kutokwa kwao kwa damu,<br />
kukabadili hali <strong>ya</strong> mwili na mawazo yenye kuhangaika <strong>ya</strong>lionyesha ajabu <strong>ya</strong> kufurahisha sana<br />
mfalme wa giza. Mumojawapo wa pepo wachafu wakutawala wanaoteswa akatangaza, “Jina<br />
langu ni Legioni: maana: Jeshi.” Marko 5:9. Katika jeshi la Roma legioni ilikuwa <strong>ya</strong> kuanzia<br />
watu elfu tatu hata elfu tano. Kwa agizo la Yesu pepo wachafu wakatoka kwa watu wao<br />
waliokuwa wanatesa, kuwaacha wanapotulia, wenye akili, na wapole. Lakini pepo wachafu<br />
wakarusha kundi la nguruwe katika bahari, na kwa wakaaji wa Gadara hasara kubwa ikazima<br />
mibaraka Kristo aliyoitoa; mpon<strong>ya</strong> wa Mungu akalazimishwa kutoka. Tazama Matayo 8:22-<br />
34. Kwa kulaumu hasara <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> Yesu, Shetani akaamsha choyo cha woga kwa watu na<br />
kuwakataza kusikiliza maneno <strong>ya</strong>ke.<br />
Kristo akaruhusu pepo wachafu kuangamiza nguruwe kama laumu kwa Wayuda waliolea<br />
wan<strong>ya</strong>ma najisi kwa ajili <strong>ya</strong> faida. Kama Kristo hakuzuia pepo wachafu, wangalitumbukiza<br />
si nguruwe tu, bali wachungaji wao pia na wenye nguruwe ndani <strong>ya</strong> bahari.<br />
Tena, jambo hili liliruhusiwa ili wanafunzi waweze kushuhudia uwezo mkali wa Shetani<br />
juu <strong>ya</strong> wote wawili mtu na mn<strong>ya</strong>ma, ili wasiweze kudanganywa kwa mipango <strong>ya</strong>ke. Ilikuwa<br />
vilevile mapenzi <strong>ya</strong>ke kwamba watu walipashwa kutazama uwezo wake kuvunja utumwa wa<br />
Shetani na kufungua wafungwa wake. Ingawa Yesu Mwenyewe alitoka, watu waliookolewa<br />
kwa ajabu sana wakaendelea kutangaza rehema <strong>ya</strong> Mkarimu wao.<br />
Mifano mingine imeandikwa: Binti wamwanamuke wa Sirofoinike, aliyesumbuliwa vikali<br />
kwa Shetani, ambaye Yesu alifukuza kwa neno lake (Marko 7:26-30); kijana aliyekuwa na<br />
pepo ambayo mara kwa mara “kumtupa katika moto, na katika maji, amwangamize.” (Marko<br />
9:17-27); mwenye pepo, aliyeteswa na pepo <strong>ya</strong> ibilisi mchafu aliyechafua Sabato tulivu kule<br />
210