Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti Adui huyu mwangalifu yuko anajiingiza katika kila jamaa, katika kila njia, katika makanisa, katika ma Baraza ya mataifa, katika manyumba ya sheria, katika baraza za hukumu, Kuleta matatizo, kudanganya, kukosesha, po pote kuharibu nafsi na miili ya wanaume na wanawake, na watoto. Anaharibu jamaa, kupanda uchuki, vita, fitina, na uuaji wa mtu kwa kusudi. Na ulimwengu unaonekana kuzania mambo haya kama kwamba ni Mungu aliyeyaweka na yanapashwa kuwako. Wote wasiokusudia kuwa wafuasi wa Kristo wanakuwa watumishi wa Shetani. Wakati Wakristo wanapochagua jamii ya wasiomwogopa Mungu, wanajihatarisha wao wenyewe kwa majaribu. Shetani anajificha mwenyewe kwa macho na anafunika kifuniko chake cha udanganyi kwa macho yao. Kufuatana na desturi za dunia anageuza kanisa kwa dunia, hageuzi kamwe dunia kwa Kristo. Kujizoeza zambi kutaifanya isionekane kuwa mbaya sana. Wakati katika njia ya kazi tunaletwa katika kujaribiwa, tunaweza kuwa na hakika kwamba Mungu atatulinda; lakini tukijiweka sisi wenyewe chini ya jaribu tutaanguka upesi ao baadaye. Mjaribu mara kwa mara anatumika kwa mafanikio zaidi katika wale bila shaka wasiojizania kuwa chini ya mamlaka yake. Kipawa na elimu ni kimtu ni zawadi za Mungu; lakini wakati hizi zinapoongoza mbali kutoka kwake, zinakuwa mtego. Mara nyingi mtu mwenye elimu ya akili na wa tabia ya kupendeza ni chombo kizuri katika mikono ya Shetani. Musisahau kamwe onyo la maongozi ya Mungu la kutangaza tangu karne nyingi hata wakati wetu. “Muwe na kiasi na kuangalia; mpinzanii wenu Shetani, kama simba anayenguruma anayezungukazunguka akitafuta mtu amumeze.” “Vaeni silaha zote za Mungu, mupate kuweza kusimama juu ya hila za Shetani.” 1 Petro 5:8; Waefeso 6:11. Adui wetu mkubwa anajitayarisha kwa mashambulio yake ya mwisho. Wote wanaomfuata Yesu watakuwa katika vita pamoja na adui huyu. Zaidi sana Mkristo anapoiga Mfano wa Mungu, na zaidi hakuna shaka atajiweka mwenyewe alama kwa mashambulio ya Shetani. Shetani alishambulia Kristo kwa majaribu makali na hila; lakini alikomeshwa katika kila vita. Kushinda kule kote kunatuwezesha sisi kishinda. Kristo atatoa nguvu kwa wale wote wanaoitafuta. Hakuna mtu asipokubali yeye mwenyewe anaweza kushindwa na Shetani. Mjaribu hana uwezo wa kutawala mapenzi ao kulazimisha mtu kufanya zambi. Anaweza kutia ao kuanzisha taabu, lakini hapana uchafu. Jambo la hakika kwamba Kristo alishinda linapasa kutia moyo wafuasi wake kwa nguvu kupigana vita juu ya zambi na Shetani. 208

Kupinga ya Kiprotestanti Sura 31. Pepo Wachafu Malaika wa Bwana na pepo wachafu wanaonyeshwa wazi katika Maandiko na wanaingia katika historia ya wanadamu. Malaika watakatifu wale “wanaotumikia watakaoriti wokovu” (Waebrania 1:14) wanazaniwa kwa wengi kama pepo za waliokufa. Lakini Maandiko inaonyesha hakika kwamba hawa si pepo inayoachana na mwili wa waliokufa. Mbele ya kuumbwa kwa mtu, malaika walikuwa wakiishi, kwani wakati misingi ya dunia ilipowekwa, ‘’nyota za asubui waliimba pamoja, na wana wote wa Mungu walipiga kelele kwa furaha.” Yobu 38:7. Nyuma ya kuanguka kwa mtu, malaika walitumwa kulinda mti wa uzima mbele ya mwanadamu kufa. Malaika wanakuwa wakubwa kwa cheo kuliko watu, kwa kuwa mtu aliumba “chini kidogo kupita malaika “. Zaburi 8:5. Nabii anasema, “Nikasikia sauti ya malaika wengi pande zote za kile kiti cha enzi.” Mbele ya Mufalme wa wafalme wanangojea-“ninyi watumishi wake, munaofanya mapenzi yake,” “mukisikiliza sauti ya neno lake,” “majeshi ya malaika elfu nyingi.” Ufunuo 5:11; Zaburi 103:20,21; Waebrania 12:22. Kama wajumbe wa Mungu wanatoka, kama “kuonekana, kwa kumulika kwa umeme,” mruko wao mwepesi sana. Malaika aliyetokea kwa kaburi la Mwokozi, sura yake “kama umeme,” ikawaletea walinzi kwa ajili ya hofu kutetemeka, na “wakawa kama wafu.” Wakati Saniaribu alipomtukana Mungu na kuogopesha Waisraeli, “malaika wa Bwana alitoka, akapiga katika kambi ya Waasuria watu elfu mia moja makumi mnane na tano.” Ezekieli 1:14; Matayo 28:3,4; 2 Wafalme 19:35. Malaika wanatumwa kwa kazi ya rehema kwa wana wa Mungu. Kwa Abrahamu, kwa ahadi za baraka; kwa Sodomo, kuokoa Loti kwa maangamizo; kwa Elia, karibu kuangamizwa katika jangwa; kwa Elisa, kwa magari ya farasi ya moto alipofungiwa ndani na adui zake; kwa Danieli, wakati alipoachwa kuwa mawindo ya simba; kwa Petro, alipohukumiwa kifo katika gereza ya Herode; kwa wafungwa kule Filipi; kwa Paulo katika usiku wa zoruba juu ya bahari; kwa kufungua akili ya Kornelio kwa kukubali habari njema; kwa kutuma Petro pamoja na habari njema ya wokovu kwa mgeni wa Kimataifa--kwa hivi malaika watakatifu walitumikia watu wa Mungu. Malaika Walinzi Malaika mlinzi amewekwa kwa kila mfuasi wa Kristo. “Malaika ya Bwana anapiga kambi kuzunguka wale wanaomwogopa, na anawaokoa.” Akasema Mwokozi, juu ya wale wanaomwamini: “Mbinguni malaika zao wanatazama siku zote uso wa Baba yangu.” Zaburi 34:7; Matayo 18:10. Watu wa Mungu, walihatarishwa kwa uovu usiolala wa mfalme wa giza, wanaahidiwa na ulinzi usiokoma wa malaika. Matumaini ya namna hiyo yanatolewa kwa sababu kunakuwa na nguvu kubwa za uovu za kukutana nazo--nguvu zisizohesabika, imara na zisizochoka. 209

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Adui huyu mwangalifu yuko anajiingiza katika kila jamaa, katika kila njia, katika<br />

makanisa, katika ma Baraza <strong>ya</strong> mataifa, katika manyumba <strong>ya</strong> sheria, katika baraza za hukumu,<br />

Kuleta matatizo, kudangan<strong>ya</strong>, kukosesha, po pote kuharibu nafsi na miili <strong>ya</strong> wanaume na<br />

wanawake, na watoto. Anaharibu jamaa, kupanda uchuki, vita, fitina, na uuaji wa mtu kwa<br />

kusudi. Na ulimwengu unaonekana kuzania mambo ha<strong>ya</strong> kama kwamba ni Mungu<br />

aliye<strong>ya</strong>weka na <strong>ya</strong>napashwa kuwako. Wote wasiokusudia kuwa wafuasi wa Kristo wanakuwa<br />

watumishi wa Shetani. Wakati Wakristo wanapochagua jamii <strong>ya</strong> wasiomwogopa Mungu,<br />

wanajihatarisha wao wenyewe kwa majaribu. Shetani anajificha mwenyewe kwa macho na<br />

anafunika kifuniko chake cha udanganyi kwa macho <strong>ya</strong>o.<br />

Kufuatana na desturi za dunia anageuza kanisa kwa dunia, hageuzi kamwe dunia kwa<br />

Kristo. Kujizoeza zambi kutaifan<strong>ya</strong> isionekane kuwa mba<strong>ya</strong> sana. Wakati katika njia <strong>ya</strong> kazi<br />

tunaletwa katika kujaribiwa, tunaweza kuwa na hakika kwamba Mungu atatulinda; lakini<br />

tukijiweka sisi wenyewe chini <strong>ya</strong> jaribu tutaanguka upesi ao baadaye.<br />

Mjaribu mara kwa mara anatumika kwa mafanikio zaidi katika wale bila shaka<br />

wasiojizania kuwa chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke. Kipawa na elimu ni kimtu ni zawadi za Mungu;<br />

lakini wakati hizi zinapoongoza mbali kutoka kwake, zinakuwa mtego. Mara nyingi mtu<br />

mwenye elimu <strong>ya</strong> akili na wa tabia <strong>ya</strong> kupendeza ni chombo kizuri katika mikono <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Musisahau kamwe onyo la maongozi <strong>ya</strong> Mungu la kutangaza tangu karne nyingi hata<br />

wakati wetu. “Muwe na kiasi na kuangalia; mpinzanii wenu Shetani, kama simba<br />

anayenguruma anayezungukazunguka akitafuta mtu amumeze.” “Vaeni silaha zote za<br />

Mungu, mupate kuweza kusimama juu <strong>ya</strong> hila za Shetani.” 1 Petro 5:8; Waefeso 6:11. Adui<br />

wetu mkubwa anajita<strong>ya</strong>risha kwa mashambulio <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho. Wote wanaomfuata Yesu<br />

watakuwa katika vita pamoja na adui huyu. Zaidi sana Mkristo anapoiga Mfano wa Mungu,<br />

na zaidi hakuna shaka atajiweka mwenyewe alama kwa mashambulio <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Shetani alishambulia Kristo kwa majaribu makali na hila; lakini alikomeshwa katika kila<br />

vita. Kushinda kule kote kunatuwezesha sisi kishinda. Kristo atatoa nguvu kwa wale wote<br />

wanaoitafuta. Hakuna mtu asipokubali yeye mwenyewe anaweza kushindwa na Shetani.<br />

Mjaribu hana uwezo wa kutawala mapenzi ao kulazimisha mtu kufan<strong>ya</strong> zambi. Anaweza kutia<br />

ao kuanzisha taabu, lakini hapana uchafu. Jambo la hakika kwamba Kristo alishinda linapasa<br />

kutia moyo wafuasi wake kwa nguvu kupigana vita juu <strong>ya</strong> zambi na Shetani.<br />

208

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!