12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 30. Uadui wa Shetani<br />

“Na nitatia uadui katikati <strong>ya</strong>ko na mwanamuke, na katikati <strong>ya</strong> uzao wako na uzao wake;<br />

ataponda kichwa chako, na wewe utaponda kisingino chake.” Mwanzo 3:15. Uadui huu si wa<br />

tangu awali. Wakati mtu alipovunja sheria <strong>ya</strong> Mungu, hali <strong>ya</strong>ke ikawa mba<strong>ya</strong>, katika umoja<br />

na Shetani. Malaika walioanguka na watu waba<strong>ya</strong> wakajiunga katika urafiki wa kutokuwa na<br />

matumaini. Kama Mungu hakujitia kati, Shetani na mtu wangaliingia katika mapatano<br />

kumpinga Mungu wa mbinguni, na jamaa lote la binadamu lingalijiunga katika upinzanii kwa<br />

Mungu.<br />

Wakati Shetani aliposikia kwamba uadui ulipashwa kuwa kati <strong>ya</strong>ke na mwanamuke, na<br />

kati <strong>ya</strong> uzao wake na uzao wa mwanamuke, alijua kwamba kwa sababu yo yote mtu alipashwa<br />

kuwa mtu asiyeweza kupinga uwezo wake.<br />

Kristo alitia uadui ndani <strong>ya</strong> mtu kumpinga Shetani. Pasipo neema hii <strong>ya</strong> kugeuka na nguvu<br />

inayomfan<strong>ya</strong> mp<strong>ya</strong>, mtu angaliendelea kuwa mtumishi ta<strong>ya</strong>ri daima kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong><br />

Shetani. Lakini kanuni mp<strong>ya</strong> katika nafsi inaleta vita; uwezo ambao Kristo anatoa unawezesha<br />

mtu kushindana na mkorofi mkuu. Kuchukia sana zambi badala <strong>ya</strong> kuipenda kunaonyesha<br />

kanuni kabisa kutoka juu.<br />

Uadui kati <strong>ya</strong> Kristo na Shetani ulionekana wazi namna dunia ilivyompokea Yesu. Usafi<br />

na utakatifu wa Kristo uliamsha juu <strong>ya</strong>ke uchuki wa wasiomuogopa Mungu. Kujikana kwake<br />

kulikuwa laumu la duhakikisho kwa wenye kiburi na wapenda anasa <strong>ya</strong> mwili. Shetani na<br />

malaika waba<strong>ya</strong> wakaungana na watu waba<strong>ya</strong> kupinga <strong>ya</strong> Mshindi wa kweli. Uadui wa namna<br />

moja unaonyeshwa kwa wafuasi wa Kristo. Ye yote anayesimama imara kwa jaribu ataamsha<br />

hasira <strong>ya</strong> Shetani. Kristo na Shetani hawawezi kupatana. Na wote wanaotaka kuishi maisha<br />

<strong>ya</strong> utawa katika Kristo Yesu watapata mateso.” 2 Timoteo 3:12.<br />

Wajumbe wa Shetani wanatafuta kudangan<strong>ya</strong> wafuasi wa Kristo na kuwavuta kwa utii<br />

wao. Wanapotosha Maandiko kwa kutirniza kusudi lao. Roho iliyotia Kristo kwa mauti<br />

inaamsha waovu kuharibu wafuasi wake. Yote hii inaonyeshwa mbele katika ule unabii wa<br />

kwanza: “Na nitatia uadui katikati <strong>ya</strong>ko na mwanamuke, na katikati <strong>ya</strong> uzao wako na uzao<br />

wake.”<br />

Sababu gani Shetani hakutani na ushindani mkubwa? Kwa sababu askari za Kristo<br />

wanakuwa na uhusiano mdogo sana pamoja na Kristo. Zambi haiwachukizi kama<br />

ilivyomchukiza Bwana wao. Hawajitoi kwa kupigana nayo. Tabia <strong>ya</strong> mkuu wa giza<br />

imewafan<strong>ya</strong> vipofu. Wengi hawajui kwamba adui wao ni mkubwa mwenye nguvu za<br />

kupigana kumpinga Kristo. Hata wahuduma wa habari njema hawaoni ushaihidi wa kazi <strong>ya</strong>ke.<br />

Wanaonekana kutojali kuwako kwa hakika kwake.<br />

Adui Mwangalifu<br />

207

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!