12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mabishano kwa Ajiii <strong>ya</strong> Mtu<br />

Mbingu yote ikaona haki <strong>ya</strong> Mungu kufunuliwa. Lusifero alidai kwamba wanadamu wa<br />

zambi wangekuwa mbali <strong>ya</strong> ukombozi. Lakini azabu <strong>ya</strong> sheria ikaanguka juu <strong>ya</strong>ke aliyekuwa<br />

sawa na Mungu, na mtu akawa huru kukubali haki <strong>ya</strong> Kristo na kwa njia <strong>ya</strong> toba na kujishusha<br />

kwa kushinda nguvu za Shetani.<br />

Lakini Kristo hakuja duniani kufa kwa ajili <strong>ya</strong> kukomboa mtu tu. Alikuja kuonyesha kwa<br />

dunia zote kwamba sheria <strong>ya</strong> Mungu ni sheria isiyobadilika. Mauti <strong>ya</strong> Kristo inaihakikisha<br />

kuwa isiyogeuka na inaonyesha kwamba haki na rehema ndiyo msingi wa utawala wa Mungu.<br />

Katika hukumu <strong>ya</strong> mwisho itaonekana kwamba hapana sababu kwa ajili <strong>ya</strong> zambi kuwako.<br />

Wakati Mwamzi wa dunia yote atakapo muuliza Shetani, “Sababu gani uliasi juu <strong>ya</strong>ngu?”<br />

Mwanzishaji wa zambi hataweza kutoa sababu.<br />

Katika kupaza sauti kwa Mwokozi, “Imekwisha, “tarumbeta <strong>ya</strong> mauti <strong>ya</strong> Shetani ililia.<br />

Vita kuu ikakusudiwa, kungoa kwa mwisho kwa uovu kukahakikishwa. Kwa maana “siku<br />

inakuja, inawaka kama tanuru; na wenye kiburi wote, na wote wanaotumika uovu watakuwa<br />

kama makapi makavu; na siku itakayokuja itawateketeza, Bwana wa majeshi anasema; hata<br />

haitawaachia, wala shina wala tawi.” Malaki 4:1. Uovu hautaonekana tena kamwe. Sheria <strong>ya</strong><br />

Mungu itaheshimiwa kama sheria <strong>ya</strong> uhuru. Viumbe vyote vilivyojaribiwa na kuhakikishwa<br />

havitageuka kamwe kwa kumtii yeye ambaye tabia <strong>ya</strong>ke imeonekana kama upendo<br />

usiopimika na hekima isiyo na mwisho.<br />

206

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!