12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

za Mungu kama kizuio cha uhuru na akatangaza kusudi lake la kupata kuondoshwa kwa<br />

sheria. Kwa kuwekwa huru kwa amri hii, majeshi <strong>ya</strong> mbinguni wangeweza kuingia juu <strong>ya</strong><br />

hali <strong>ya</strong> kujipandisha zaidi katika maisha.<br />

Kufukuziwa Mbali Kutoka Mbinguni<br />

Shetani na jeshi lake wakatupa laumu la uasi wao juu <strong>ya</strong> Kristo; kama hawakulaumiwa,<br />

kama hawangeasi kamwe. Wagumu na wakiburi, huku wakajitangaza kwa matukano kuwa<br />

watu wasiokuwa na kosa na kwamba waliteswa na mamlaka makali. Muasi mkubwa wa<br />

waliomfuata wakafukuzwa kutoka mbinguni. Tazama Ufunuo 12:7-9.<br />

Roho <strong>ya</strong> Shetani ingali inaendesha uasi duniani katika wana wa uasi. Kama yeye<br />

wakaahidia watu uhuru kwa kuvunja sheria <strong>ya</strong> Mungu. Hakikisho la zambi likaendelea<br />

kuamsha uchuki. Shetani anaongoza watu kujihakikisha wao wenyewe na kutafuta huruma<br />

<strong>ya</strong> wengine katika zambi zao. Badala <strong>ya</strong> kusahihisha makosa <strong>ya</strong>o, wanaamsha hasira juu <strong>ya</strong><br />

mwenye kukaripia, kama kwamba wanakuwa chanzo cha shida. Kwa kusingizia kwa namna<br />

ileile <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong> Mungu kama alivyo<strong>ya</strong>tumia mbinguni, kumfan<strong>ya</strong> kuwa kama mwenye<br />

kuzaniwa kama mkali na wa kushurutisha, Shetani akashawishi mtu kwa zambi. Akatangaza<br />

kwamba vizuizi visivyo na haki v<strong>ya</strong> Mungu viliongoza kuanguka kwa mtu, kama<br />

vilivyoongoza kwa uasi wake mwenyewe.<br />

Katika kufukuziwa kwa Shetani kutoka mbinguni, Mungu alitangaza haki <strong>ya</strong>ke na<br />

heshima. Lakini wakati mtu alipotenda zambi, Mungu alitoa ushuhuda wa upendo wake kwa<br />

kutoa Mwana wake kufa kwa ajili <strong>ya</strong> taifa lililoanguka. Katika upatanisho tabia <strong>ya</strong> Mungu<br />

imefunuliwa. Mabishanomakubwa <strong>ya</strong> msalaba <strong>ya</strong>naonyesha kwamba zambi haikuwa na<br />

hekima yo yote kulipizwa juu <strong>ya</strong> utawala wa Mungu. Wakati wa huduma <strong>ya</strong> kidunia <strong>ya</strong><br />

Mwokozi, mdanganyi mkubwa akafunuliwa. Matukano <strong>ya</strong> wazi <strong>ya</strong> kutaka kwamba Kristo<br />

amupe heshima kuu, uovu usiolala uliomuwinda pahali po pote, kuongoza mioyo <strong>ya</strong><br />

makuhani na watu kukataa upendo wake na kulalamika kwa sauti, “Asulibiwe! asulibiwe!” -<br />

-yote ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liamsha mshangao na hasira <strong>ya</strong> ulimwengu. Mfalme wa zambi akatumia uwezo<br />

wake wote na werevu kuharibu Yesu. Shetani akatumia watu kama wajumbe wake kujaza<br />

maisha <strong>ya</strong> Mwokozi kwa mateso na huzuni. Chuki na wivu na uovu, machukio na kisasi,<br />

vikaanguka kutoka Kalvari juu <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu.<br />

Sasa kosa la Shetani likaonekana wazi. Alifunua tabia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli. Mashitaki <strong>ya</strong><br />

uwongo <strong>ya</strong> Shetani juu <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>kaonekana katika nuru <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kweli. Alimshitaki<br />

Mungu juu <strong>ya</strong> kutafuta kujiinua mwenyewe katika kuomba utii kwa viumbe v<strong>ya</strong>ke na<br />

akatangaza kwamba wakati Muumba alipolazimisha wote kujikana mwenyewe, Yeye<br />

mwenyewe hakutumia kujikana mwenyewe na hakutoa kafara yo yote. Sasa ilionekana<br />

kwamba Mtawala wa ulimwengu alitoa kafara kubwa sana ambayo upendo uliweza kufan<strong>ya</strong>,<br />

“maana, Mungu alikuwa ndani <strong>ya</strong> Kristo, akipatanisha ulimwengu naye mwenyewe.” 2<br />

Wakorinto 5:19. Kusudi aharibu zambi Kristo akajinyenyekea mwenyewe na kuwa mtiifu<br />

hata mauti.<br />

205

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!