12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli iweze kuonekana kwa wote. Lusifero alikuwa mwenye kupendwa sana na<br />

viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni, na mvuto wake juu <strong>ya</strong>o ulikuwa wa nguvu. Serkali <strong>ya</strong> Mungu<br />

haikuhusikana tu na wakaaji wa mbinguni, lakini kwa dunia zote alizoziumba; na Shetani<br />

akafikiri kwamba kama akiweza kuchukua malaika pamoja naye katika uasi, angeweza<br />

kuchukua vilevile dunia zingine. Kutumia madanganyo na werevu, uwezo wake kwa<br />

kudangan<strong>ya</strong> ulikuwa mkubwa sana. Hata Malaika waaminifu hawakuweza kabisa kutambua<br />

tabia <strong>ya</strong>ke wala kuona ni kitu gani kazi <strong>ya</strong>ke ilikuwa ikiongoza.<br />

Shetani alikuwa akiheshimiwa sana, na matendo <strong>ya</strong>ke yote kuvikwa sana na siri, mpaka<br />

ilikuwa vigumu kuonyesha kwa malaika tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke. Hata ilipositawi kabisa,<br />

zambi haikuonyesha kitu kiba<strong>ya</strong> kilichokuwako. Viumbe vitakatifu havikuweza kutambua<br />

matokeo <strong>ya</strong> kuweka kando sheria <strong>ya</strong> Mungu. Shetani mwanzoni alisema alikuwa anatafuta<br />

kuendelesha heshima <strong>ya</strong> Mungu na uzuri wa wakaaji wote wa mbinguni.<br />

Katika mipango <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> zambi, Mungu aliweza kutumia tu haki na kweli. Shetani<br />

aliweza kutumia mambo ambayo Mungu hakuweza kutumia--uongo na werevu. Tabia <strong>ya</strong><br />

kweli <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>nganyi ilipashwa kufahamiwa na wote. Alipashwa kuwa na wakati kujionyesha<br />

mwenyewe kwa kazi zake za uovu.<br />

Ugomvi ambao alianzisha yeye mwenyewe mbinguni, Shetani aliuwekea juu <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Uovu wote aliutangaza kuwa matokeo <strong>ya</strong> utawala wa Mungu. Kwa hiyo ilikuwa ni lazima<br />

kwamba aonyeshe wazi matokeo <strong>ya</strong> makusudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kugeuza sheria <strong>ya</strong> Mungu. Kazi <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe ilipashwa kumuhukumu. Viumbe vyote v<strong>ya</strong> ulimwengu vilipashwa kuona<br />

mdanganyi kufunuliwa.<br />

Hata wakati ilipokusudiwa kwamba hawezi tena kudumu mbinguni, Mungu wa hekima<br />

isiyokuwa na mwisho hakumuangamiza Shetani. Utii wa viumbe v<strong>ya</strong> Mungu unapashwa<br />

kuwa juu <strong>ya</strong> sadikisho la haki <strong>ya</strong>ke. Wakaaji wa mbinguni na wa dunia zingine, walipokuwa<br />

bila kujita<strong>ya</strong>risha kufahamu matokeo <strong>ya</strong> zambi, hawakuweza basi kuona haki na rehema <strong>ya</strong><br />

Mungu katika maangamizi <strong>ya</strong> Shetani. Kama angaliangamizwa mara moja, wangemtumikia<br />

Mungu kwa hofu kuliko kwa upendo. Mvuto wa mdanganyi haungeharibiwa kabisa, wala<br />

roho <strong>ya</strong> uasi kungolewa kabisa. Kwa faida <strong>ya</strong> viumbe vyote katika vizazi vyote, Shetani<br />

alipashwa kuendelesha kabisa kanuni zake, kwamba mashambulio <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong><br />

Mungu <strong>ya</strong>pate kuonekana katika nuru <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli kwa viumbe vyote vilivyoumbwa.<br />

Uasi wa Shetani ulipashwa kuwa kwa viumbe vyote ushuhuda kwa matokeo <strong>ya</strong><br />

kuogopesha <strong>ya</strong> zambi. Kanuni <strong>ya</strong>ke ingeonyesha matunda <strong>ya</strong> kuweka kando mamlaka <strong>ya</strong><br />

Mungu. Historia <strong>ya</strong> tendo hili la kuogopesha la uasi lilipashwa kuwa ulinzi wa milele kwa<br />

akili takatifu zote kuwaokoa kwa zambi na kwa azabu <strong>ya</strong>ke.<br />

Wakati ilipotangazwa kwamba pamoja na washiriki wake wote mn<strong>ya</strong>nganyi mkubwa wa<br />

ufalme anapashwa kufukuzwa kutoka kwa makao <strong>ya</strong> cheo cha furaha, mwongozi muasi<br />

(mhuni) akatangaza wazi bila woga zarau kwa ajili <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Muumba. Akalaumu sheria<br />

204

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!