You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli iweze kuonekana kwa wote. Lusifero alikuwa mwenye kupendwa sana na<br />
viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni, na mvuto wake juu <strong>ya</strong>o ulikuwa wa nguvu. Serkali <strong>ya</strong> Mungu<br />
haikuhusikana tu na wakaaji wa mbinguni, lakini kwa dunia zote alizoziumba; na Shetani<br />
akafikiri kwamba kama akiweza kuchukua malaika pamoja naye katika uasi, angeweza<br />
kuchukua vilevile dunia zingine. Kutumia madanganyo na werevu, uwezo wake kwa<br />
kudangan<strong>ya</strong> ulikuwa mkubwa sana. Hata Malaika waaminifu hawakuweza kabisa kutambua<br />
tabia <strong>ya</strong>ke wala kuona ni kitu gani kazi <strong>ya</strong>ke ilikuwa ikiongoza.<br />
Shetani alikuwa akiheshimiwa sana, na matendo <strong>ya</strong>ke yote kuvikwa sana na siri, mpaka<br />
ilikuwa vigumu kuonyesha kwa malaika tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke. Hata ilipositawi kabisa,<br />
zambi haikuonyesha kitu kiba<strong>ya</strong> kilichokuwako. Viumbe vitakatifu havikuweza kutambua<br />
matokeo <strong>ya</strong> kuweka kando sheria <strong>ya</strong> Mungu. Shetani mwanzoni alisema alikuwa anatafuta<br />
kuendelesha heshima <strong>ya</strong> Mungu na uzuri wa wakaaji wote wa mbinguni.<br />
Katika mipango <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> zambi, Mungu aliweza kutumia tu haki na kweli. Shetani<br />
aliweza kutumia mambo ambayo Mungu hakuweza kutumia--uongo na werevu. Tabia <strong>ya</strong><br />
kweli <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>nganyi ilipashwa kufahamiwa na wote. Alipashwa kuwa na wakati kujionyesha<br />
mwenyewe kwa kazi zake za uovu.<br />
Ugomvi ambao alianzisha yeye mwenyewe mbinguni, Shetani aliuwekea juu <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Uovu wote aliutangaza kuwa matokeo <strong>ya</strong> utawala wa Mungu. Kwa hiyo ilikuwa ni lazima<br />
kwamba aonyeshe wazi matokeo <strong>ya</strong> makusudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kugeuza sheria <strong>ya</strong> Mungu. Kazi <strong>ya</strong>ke<br />
mwenyewe ilipashwa kumuhukumu. Viumbe vyote v<strong>ya</strong> ulimwengu vilipashwa kuona<br />
mdanganyi kufunuliwa.<br />
Hata wakati ilipokusudiwa kwamba hawezi tena kudumu mbinguni, Mungu wa hekima<br />
isiyokuwa na mwisho hakumuangamiza Shetani. Utii wa viumbe v<strong>ya</strong> Mungu unapashwa<br />
kuwa juu <strong>ya</strong> sadikisho la haki <strong>ya</strong>ke. Wakaaji wa mbinguni na wa dunia zingine, walipokuwa<br />
bila kujita<strong>ya</strong>risha kufahamu matokeo <strong>ya</strong> zambi, hawakuweza basi kuona haki na rehema <strong>ya</strong><br />
Mungu katika maangamizi <strong>ya</strong> Shetani. Kama angaliangamizwa mara moja, wangemtumikia<br />
Mungu kwa hofu kuliko kwa upendo. Mvuto wa mdanganyi haungeharibiwa kabisa, wala<br />
roho <strong>ya</strong> uasi kungolewa kabisa. Kwa faida <strong>ya</strong> viumbe vyote katika vizazi vyote, Shetani<br />
alipashwa kuendelesha kabisa kanuni zake, kwamba mashambulio <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong><br />
Mungu <strong>ya</strong>pate kuonekana katika nuru <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli kwa viumbe vyote vilivyoumbwa.<br />
Uasi wa Shetani ulipashwa kuwa kwa viumbe vyote ushuhuda kwa matokeo <strong>ya</strong><br />
kuogopesha <strong>ya</strong> zambi. Kanuni <strong>ya</strong>ke ingeonyesha matunda <strong>ya</strong> kuweka kando mamlaka <strong>ya</strong><br />
Mungu. Historia <strong>ya</strong> tendo hili la kuogopesha la uasi lilipashwa kuwa ulinzi wa milele kwa<br />
akili takatifu zote kuwaokoa kwa zambi na kwa azabu <strong>ya</strong>ke.<br />
Wakati ilipotangazwa kwamba pamoja na washiriki wake wote mn<strong>ya</strong>nganyi mkubwa wa<br />
ufalme anapashwa kufukuzwa kutoka kwa makao <strong>ya</strong> cheo cha furaha, mwongozi muasi<br />
(mhuni) akatangaza wazi bila woga zarau kwa ajili <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Muumba. Akalaumu sheria<br />
204