Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
mkubwa, “inamupasa Kristo kuwa na mamlaka? Sababu gani yeye anaheshimiwa kupita<br />
Lusifero?”<br />
Manunguniko Miongoni mwa Malaika<br />
Kuacha pahali pake mbele <strong>ya</strong> Mungu, Lusifero akaendelea kutawan<strong>ya</strong> manunguniko<br />
miongoni mwa malaika. Kwa maficho <strong>ya</strong>siyoelezeka,kwa kuficha kusudi lake la kweli chini<br />
<strong>ya</strong> mfano wa heshima kwa Mungu, akajikaza kuamsha kutorizika juu <strong>ya</strong> sheria ambazo<br />
zilitawala viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni, kutangaza kwamba walilazimisha amri isiyohitajika. Kwani<br />
tabia zao zilikuwa takatifu, akashurtisha kwamba malaika walipashwa kutii amri za mapenzi<br />
<strong>ya</strong>o wenyewe. Mungu alimtendea bila haki kwa kuweka heshima kubwa juu <strong>ya</strong> Kristo. Akadai<br />
kwamba hakukusudia kujiinua mwenyewe lakini alikuwa akitafuta kulinda uhuru wa wakaaji<br />
wote wa mbinguni, ili waweze kufikia maisha <strong>ya</strong> juu.<br />
Mungu akavumilia Lusifero muda mrefu. Hakuondolewa cheo kwa kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> juu ijapo<br />
wakati alipoanza kuonyesha madai <strong>ya</strong> uwongo mbele <strong>ya</strong> malaika. Mara kwa mara akatolewa<br />
rehema ikiwa anakubali kutubu na kutii. Juhudi za namna ile ambayo upendo tu usio na<br />
mwisho ulifan<strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong>kumpata asadiki <strong>ya</strong> kosa lake. Mwanzoni manunguniko ha<strong>ya</strong><br />
kujulikana kule mbinguni. Lusifero mwenyewe mara <strong>ya</strong> kwanza hakufahamu tabia <strong>ya</strong> kweli<br />
<strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>ke. Kwa namna uchungu wake ulipohakikishwa kuwa bila sababu, Lusifero<br />
akasadikishwa kwamba madai <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> haki na kwamba ilimupasa<br />
ku<strong>ya</strong>ungama mbele <strong>ya</strong> wote wa mbinguni. Kama angalifan<strong>ya</strong> hivi, angalijiokoa mwenyewe<br />
na malaika wengi. Kama angalipenda kurudi kwa Mungu, kutoshelewa kujaza pahali<br />
alipoagizwa, angalirudishwa katika kazi <strong>ya</strong>ke. Lakini kiburi kikamkataza kutii. Akashikilia<br />
kwamba hakuwa na haja <strong>ya</strong> toba, na akajitoa kabisa katika vita kuu juu <strong>ya</strong> Muumba wake.<br />
Nguvu zote za akili <strong>ya</strong> ufundi wake zikaelekeza kwa udanganyifu, kusudi malaika<br />
wamuunge mkono. Shetani akaonyesha kwamba alihukumiwa kwa uwongo na kwamba<br />
uhuru wake ukapunguzwa. Kwa masingizio <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> Kristo akapita kwa kusimamia<br />
uwongo, kushitaki Mwana wa Mungu juu <strong>ya</strong> shauri la kumfezelesha mbele <strong>ya</strong> wakaaji wa<br />
mbinguni.<br />
Wote ambao hakuweza kuwapindua kwa upande wake akawashitaki kuwa wenye ubaridi<br />
(kutojali) kwa faida <strong>ya</strong> viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni. Akakimbilia kwa maafundisho <strong>ya</strong> uwongo juu<br />
<strong>ya</strong> Muumba. Ilikuwa ujanja wake kwa kuhangaisha malaika na maneno <strong>ya</strong> ujanja juu <strong>ya</strong><br />
makusudi <strong>ya</strong> Mungu. Kila kitu chepesi akakifunika katika fumbo, na kwa njia <strong>ya</strong> kupotosha<br />
akatia mashaka juu <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>liyokuwa wazi kabisa kwa Mungu. Cheo chake cha juu<br />
kikatoa nguvu kubwa kwa masingizio <strong>ya</strong>ke. Akashawishi wengi kuungana pamoja naye<br />
katika uasi.<br />
Uchuki Ukasitawishwa Katika Uasi wa Juhudi<br />
Mungu katika hekima <strong>ya</strong>ke akaruhusu Shetani kuendelea na kazi <strong>ya</strong>ke, hata roho <strong>ya</strong> uchuki<br />
ikasitawishwa katika uasi. Ilikuwa ni lazima kwa mashauri <strong>ya</strong>ke kuendelea kabisa, ili tabia<br />
203