You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
zambi. Zambi ni onyesho la kanuni inayoleta kwa vita sheria <strong>ya</strong> upendo, inayokuwa msingi<br />
wa serkali <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Mbele <strong>ya</strong> kuingia kwa zambi amani na furaha ilikuwa katika viumbe vyote. Upendo kwa<br />
Mungu ulikuwa mkubwa, upendo kwa mtu na kwa mwingine ulikuwa wa bila ubaguzi. Kristo<br />
Mwana wa pekee wa Mungu alikuwa mmoja pamoja na Baba wa milele katika hali, katika<br />
tabia, na katika kusudi--ni yeye peke <strong>ya</strong>ke ambaye aliweza kuingia katika mashauri yote na<br />
makusudi <strong>ya</strong> Mungu. ‘’Katika yeye vitu vyote viliumbwa vilivyo mbinguni, ... ikiwa ni viti<br />
v<strong>ya</strong> wafalme ao usultani ao falme ao mamlaka.” Wakolosayi 1:16.<br />
Sheria <strong>ya</strong> upendo ilikuwa msingi wa utawala wa Mungu, furaha <strong>ya</strong> viumbe vyote<br />
vilivyoumbwa ilitegemea kwa upatano pamoja na kanuni zake za haki. Mungu hapendezwi<br />
na utii wa kulazimishwa, na kwa wote anatoa uhuru wa mapenzi, kwamba wanaweza<br />
kumfanyia kazi bila kulazimishwa).<br />
Lakini kulikuwa na mmoja aliyechagua kuharibu viba<strong>ya</strong> uhuru huo. Zambi ilianzia kwake,<br />
yeye aliyekuwa, baada <strong>ya</strong> Kristo, aliheshimiwa sana kwa Mungu. Mbele <strong>ya</strong> kuanguka kwake,<br />
Lusifero alikuwa wa kwanza kwa wakerubi wa kufunika, mtakatifu na mwenye usafi. “Bwana<br />
Mungu anasema hivi: Ulikuwa muhuri wa ukamilifu, mwenye kujaa na hekima na ukamilifu<br />
wa uzuri. Wewe ulikuwa katika Edeni, shamba la Mungu; kila jiwe la damani lilkuwa<br />
kifunuko chako. ... Wewe ulikuwa kerubi wa kufunika mwenye kutiwa mafuta; nami<br />
nilikuweka juu <strong>ya</strong> mlima mtakatifu wa Mungu; umetembea huko na huko katikati <strong>ya</strong> mawe<br />
<strong>ya</strong> moto. Ulikuwa mkamilifu kwa njia zako tangu siku ulipoumbwa, hata uovu ulipoonekana<br />
ndani <strong>ya</strong>ko. ... Moyo wako umen<strong>ya</strong>nyuliwa kwa sababu <strong>ya</strong> uzuri wako, umeharibu hekima<br />
<strong>ya</strong>ko kwa sababu <strong>ya</strong> kungaa kwako.” “Nawe ulisema moyoni mwako ... Nitan<strong>ya</strong>nyua kiti<br />
changu cha enzi juu kupita nyota za Mungu, Na nitakaa juu <strong>ya</strong> mlima wa makutano. ...<br />
Nitapanda juu kupita vimo v<strong>ya</strong> mawingu, Nitafanana naaliye juu Sana.” Ezekieli 28:12-17;<br />
28:6; Isa<strong>ya</strong> 14:13,14.<br />
Kutamani heshima ambayo Baba aliweka juu <strong>ya</strong> Mwana wake, mtawala huyu wa malaika<br />
akatamani kwa uwezo ambao ulikuwa ni mamlaka <strong>ya</strong> Kristo peke <strong>ya</strong>ke kutawala. Sauti<br />
isiyopatana sasa ikaharibu mapatano <strong>ya</strong> mbinguni. Kujiinua kwa nafsi kukaamsha visirani<br />
v<strong>ya</strong> uovu katika mioyo ambayo utukufu wa Mungu ulikuwa mkubwa. Baraza za mbinguni<br />
zikatetea pamoja na Lusifero. Mwana wa Mungu akaonyesha mbele <strong>ya</strong>ke wema na haki <strong>ya</strong><br />
Muumba na tabia takatifu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong>ke. Kwa kuiacha, Lusifero angezarau Muumba wake<br />
na kujiletea uharibifu juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe. Lakini onyo peke likaamsha msimamo. Lusifero<br />
akaruhusu wivu wa Kristo kushinda.<br />
Kiburi kikazidisha tamaa <strong>ya</strong> mamlaka. Heshima za juu zilizotolewa kwa Lusifero zikaleta<br />
kutokuwa na shukrani kwa Muumba. Akatamani kuwa sawa sawa na Mungu. Huku Mwana<br />
wa Mungu alikuwa Mfalme aliyekubaliwa wa mbingu, mmoja kwa uwezo na mamlaka<br />
pamoja na Baba. Katika mipango yote <strong>ya</strong> Mungu, Kristo alikuwa mshirika, lakini Lusifero<br />
hakuruhusiwa kuingia katika makusudi <strong>ya</strong> kimungu. “Sababu gani,” akauliza huyu malaika<br />
202