12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Shetani basi, ili aweze kushinda Mungu alikata shauri <strong>ya</strong> kusimamisha mwenge wake<br />

ndani <strong>ya</strong> kanisa la Kristo, ili apate ujanja kile alichoshindwa kupata kwa nguvu. Mateso<br />

<strong>ya</strong>kakoma. Kwa mahali pake kukawekwa mvuto wa mafanyikio <strong>ya</strong> kidunia heshima za muda.<br />

Waabudu sanamu wakaongozwa kupokea sehemu <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kikristo, wakikataa mambo <strong>ya</strong><br />

ukweli <strong>ya</strong>liyo <strong>ya</strong> maana . Wakatangaza kumkubali Yesu kama Mwana wa Mungu na kuamini<br />

kufa na kufufuka kwake, lakini bila kukubali hali <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> zambi, na hawakusikia lazima <strong>ya</strong><br />

kuungama au badiliko la moyo waweze kuungana katika mafikara <strong>ya</strong> imani katika Kristo.<br />

Sasa kanisa lilikuwa katika hofu <strong>ya</strong> maangamizo. Kifungo, mateso, moto, na upanga<br />

vilikuwa ni mibaraka kwa kulinganisha pamoja na jambo hili. Baadhi <strong>ya</strong> Wakristo<br />

walisimama imara, kutangaza kwamba haikupasa kufan<strong>ya</strong> mapatano. Wengine walikubali<br />

kugeuza imani <strong>ya</strong>o. Chini <strong>ya</strong> vazi <strong>ya</strong> kondoo <strong>ya</strong> ukristo unaodaiwa, Shetani alikuwa akijificha<br />

yeye mwenyewe ndani <strong>ya</strong> kanisa, kwa kuchafua au kuharibu imani <strong>ya</strong>o.<br />

Wakristo wengi mwishowe walikubali kushusha kanuni <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>o. Na umoja<br />

ukafanyika kati <strong>ya</strong> ukristo na upagani. Ingawa waabudu sanamu walijifan<strong>ya</strong> kuwa washiriki<br />

wa makanisa walizidi kujiunga kwa ibada <strong>ya</strong> sanamu zao, ila tu wakageuza vyombo v<strong>ya</strong> ibada<br />

<strong>ya</strong>o kwa sanamu za Yesu, na hata za Maria na watakatifu. Mafundisho maba<strong>ya</strong>, kawaida za<br />

kuabudu mambo <strong>ya</strong> uchawi, na sherehe za ibada <strong>ya</strong> sanamu zikaunganishwa katika imani <strong>ya</strong><br />

kanisa na ibada. Dini <strong>ya</strong> Kikristo ikaharibika, na kanisa likapoteza utakatifu (usafi) na uwezo<br />

wake. Wengine lakini, hawakudanganyika. Waliendelea kushika uaminifu wao kwa Muumba<br />

wa ukweli.<br />

Makundi Mawili ndani <strong>ya</strong> Kanisa<br />

Kulikuwa makundi mawili miongoni mwa wale waliojidai kuwa wafuasi wa Kristo.<br />

Wakati kundi moja lilijifunza maisha <strong>ya</strong> Mwokozi na kwa uangalifu wakatafuta kuhakikisha<br />

makosa <strong>ya</strong>o na kufuata Mfano, kundi lingine likaepuka mambo <strong>ya</strong> kweli wazi wazi<br />

<strong>ya</strong>liyofunua makosa <strong>ya</strong>o. Hata katika hali <strong>ya</strong>ke bora, washiriki wa kanisa wote hawakuwa wa<br />

kweli, safi, na amini. Yuda aliunganishwa na wanafunzi, ili kwa njia <strong>ya</strong> mafundisho na mifano<br />

<strong>ya</strong> Yesu angeweza kugeuka kwa kuona makosa <strong>ya</strong>ke. Lakini kwa upendeleo katika zambi<br />

akaalika majaribu <strong>ya</strong> Shetani. Akakasirika wakati makosa <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lihakikishwa na ndipo<br />

akaongozwa kusaliti Bwana wake. Tazama Marko 14:10,11.<br />

Anania na Safira wakajidai kutoa kafara kamili kwa Mungu wakati walizuia kwa tamaa<br />

sehemu kwa ajili <strong>ya</strong>o wenyewe. Roho wa ukweli akafunua kwa mitume tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong><br />

wajanja hawa, na hukumu za Mungu zikaokoa kanisa kwa laumu mba<strong>ya</strong> kwa usafi wake.<br />

Tazama Matendo 5:1-11. Mateso <strong>ya</strong>lipokuja juu <strong>ya</strong> wafuasi wa Kristo, wale tu waliotaka<br />

kuacha vyote kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli walitamani kuwa wanafunzi wake. Lakini kwa vile mateso<br />

<strong>ya</strong>lipokoma, waongofu waliongezeka wasiokuwa wa kweli, na njia ikafunguliwa kwa ajili <strong>ya</strong><br />

Shetani kupata pa kuwekea mguu.<br />

13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!