12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kwa wakati huu juu <strong>ya</strong> vitu vyote vingine inafaa kila nafsi kusikia onyo la upole la<br />

Mwokozi: “Tazameni, ombeni, maana hamujui wakati ule.” Marko 13:33.<br />

Mwisho wa Wote Umekatwa<br />

Rehema imeisha kwa wakati mfupi kabla <strong>ya</strong> kuonekana kwa Bwana katika mawingu <strong>ya</strong><br />

mbinguni. Kristo akitazama wakati ule, anasema: “Yeye aliye mzalimu azidi kuwa mzalimu;<br />

na mwenye uchafu azidi kuwa mchafu; na mwenye haki azidi kufan<strong>ya</strong> haki; na mtakatifu azidi<br />

kutakaswa. Tazama, ninakuja upesi na mshahara wangu ni pamoja nami, kulipa kila mtu kama<br />

ilivyo kazi <strong>ya</strong>ke.” Ufunuo 22:11,12.<br />

Watu watakuwa wakipanda na kujenga, kula na kunywa, wote pasipokufahamu <strong>ya</strong> kuwa<br />

hukumu <strong>ya</strong> mwisho imetangazwa katika Pahali patakatifu mbinguni. Mbele <strong>ya</strong> Garika, baada<br />

<strong>ya</strong> Noa kuingia katika safina, Mungu akamfungia ndani na kufungia waovu inje; lakini kwa<br />

siku saba watu wakaendelea na maisha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kupenda anasa na wakachekelea maonyo <strong>ya</strong><br />

hukumu. “Ndivyo” asema Mwokozi, “kutakavyokuwa kuja kwa Mwana wa watu.” Kwa<br />

kim<strong>ya</strong>, bila kuonwa kama mwizi usiku wa manane, saa itakuja ambayo inaonyesha kukata<br />

shauri la mwisho wa kila mtu. “Basi angalieni: ... asije na kuwasitusha ninyi gafula,<br />

akawakuta mumelala.” Matayo 24:39; Marko 13:35,36.<br />

Hali ni yenye hatari <strong>ya</strong> wale ambao, huendelea kuchoka kwa kukesha kwao, wanageuka<br />

kwa mivuto <strong>ya</strong> dunia. Wakati mtu wa biashara anaposhughulika katika kufuata faida, wakati<br />

mwenye kupenda anasa anapotafuta anasa, wakati binti wa desturi <strong>ya</strong> kuvaa nguo<br />

anapotengeneza mapambo <strong>ya</strong>ke--inaweza kuwa katika saa ile Mwamzi wa dunia yote<br />

atatangaza hukumu, “Umepimwa katika mizani, nawe umeonekana kuwa umepunguka.”<br />

Danieli 5:27.<br />

Sura 29. Asili <strong>ya</strong> Uovu<br />

Wengi wanaona kazi <strong>ya</strong> uovu, na msiba wake na ukiwa, na wanauliza namna gani hii<br />

inaweza kuwa chini <strong>ya</strong> utawala wa Huyu Mmoja asiyekuwa na mwisho katika hekima, uwezo<br />

na upendo. Wale wanaotaka kuwa na mashaka wanashikamana na jambo hili na kutafuta<br />

sababu <strong>ya</strong> kukataa manene <strong>ya</strong> Maandiko matakatifu. Desturi <strong>ya</strong> asili na mafahamu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

maandiko <strong>ya</strong>meficha mafundisho <strong>ya</strong> Biblia kuhusu tabia <strong>ya</strong> Mungu, asili <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke,<br />

na kanuni zake kuhusu zambi.<br />

Haiwezekani kueleza mwanzo wa zambi vilevile kama kutoa sababu kwa ajili <strong>ya</strong> kuwako<br />

kwake (zambi). Kwani kuna mambo mengi <strong>ya</strong> kutosha inayoweza kufahamiwa juu <strong>ya</strong><br />

mwanzo na hali <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong> zambi kufan<strong>ya</strong> onyesho kamili haki na wema wa Mungu.<br />

Mungu kwa hekima yo yote hakuwa mwenye madaraka kwa zambi; hapakuwa bila sababu<br />

kuondolewa kwa neema <strong>ya</strong> Mungu, hakuna upungufu katika mamlaka <strong>ya</strong> kimungu, iliyotoa<br />

nafasi kwa uasi. Zambi ni mpelelezi (mdukizi) ambaye kuwako kwake hakuna sababu<br />

inayoweza kutolewa. Kuisamehe ni kuitetea. Kama iliweza kusamehewa ingekoma kuwa<br />

201

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!