You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kwa wakati huu juu <strong>ya</strong> vitu vyote vingine inafaa kila nafsi kusikia onyo la upole la<br />
Mwokozi: “Tazameni, ombeni, maana hamujui wakati ule.” Marko 13:33.<br />
Mwisho wa Wote Umekatwa<br />
Rehema imeisha kwa wakati mfupi kabla <strong>ya</strong> kuonekana kwa Bwana katika mawingu <strong>ya</strong><br />
mbinguni. Kristo akitazama wakati ule, anasema: “Yeye aliye mzalimu azidi kuwa mzalimu;<br />
na mwenye uchafu azidi kuwa mchafu; na mwenye haki azidi kufan<strong>ya</strong> haki; na mtakatifu azidi<br />
kutakaswa. Tazama, ninakuja upesi na mshahara wangu ni pamoja nami, kulipa kila mtu kama<br />
ilivyo kazi <strong>ya</strong>ke.” Ufunuo 22:11,12.<br />
Watu watakuwa wakipanda na kujenga, kula na kunywa, wote pasipokufahamu <strong>ya</strong> kuwa<br />
hukumu <strong>ya</strong> mwisho imetangazwa katika Pahali patakatifu mbinguni. Mbele <strong>ya</strong> Garika, baada<br />
<strong>ya</strong> Noa kuingia katika safina, Mungu akamfungia ndani na kufungia waovu inje; lakini kwa<br />
siku saba watu wakaendelea na maisha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kupenda anasa na wakachekelea maonyo <strong>ya</strong><br />
hukumu. “Ndivyo” asema Mwokozi, “kutakavyokuwa kuja kwa Mwana wa watu.” Kwa<br />
kim<strong>ya</strong>, bila kuonwa kama mwizi usiku wa manane, saa itakuja ambayo inaonyesha kukata<br />
shauri la mwisho wa kila mtu. “Basi angalieni: ... asije na kuwasitusha ninyi gafula,<br />
akawakuta mumelala.” Matayo 24:39; Marko 13:35,36.<br />
Hali ni yenye hatari <strong>ya</strong> wale ambao, huendelea kuchoka kwa kukesha kwao, wanageuka<br />
kwa mivuto <strong>ya</strong> dunia. Wakati mtu wa biashara anaposhughulika katika kufuata faida, wakati<br />
mwenye kupenda anasa anapotafuta anasa, wakati binti wa desturi <strong>ya</strong> kuvaa nguo<br />
anapotengeneza mapambo <strong>ya</strong>ke--inaweza kuwa katika saa ile Mwamzi wa dunia yote<br />
atatangaza hukumu, “Umepimwa katika mizani, nawe umeonekana kuwa umepunguka.”<br />
Danieli 5:27.<br />
Sura 29. Asili <strong>ya</strong> Uovu<br />
Wengi wanaona kazi <strong>ya</strong> uovu, na msiba wake na ukiwa, na wanauliza namna gani hii<br />
inaweza kuwa chini <strong>ya</strong> utawala wa Huyu Mmoja asiyekuwa na mwisho katika hekima, uwezo<br />
na upendo. Wale wanaotaka kuwa na mashaka wanashikamana na jambo hili na kutafuta<br />
sababu <strong>ya</strong> kukataa manene <strong>ya</strong> Maandiko matakatifu. Desturi <strong>ya</strong> asili na mafahamu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
maandiko <strong>ya</strong>meficha mafundisho <strong>ya</strong> Biblia kuhusu tabia <strong>ya</strong> Mungu, asili <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke,<br />
na kanuni zake kuhusu zambi.<br />
Haiwezekani kueleza mwanzo wa zambi vilevile kama kutoa sababu kwa ajili <strong>ya</strong> kuwako<br />
kwake (zambi). Kwani kuna mambo mengi <strong>ya</strong> kutosha inayoweza kufahamiwa juu <strong>ya</strong><br />
mwanzo na hali <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong> zambi kufan<strong>ya</strong> onyesho kamili haki na wema wa Mungu.<br />
Mungu kwa hekima yo yote hakuwa mwenye madaraka kwa zambi; hapakuwa bila sababu<br />
kuondolewa kwa neema <strong>ya</strong> Mungu, hakuna upungufu katika mamlaka <strong>ya</strong> kimungu, iliyotoa<br />
nafasi kwa uasi. Zambi ni mpelelezi (mdukizi) ambaye kuwako kwake hakuna sababu<br />
inayoweza kutolewa. Kuisamehe ni kuitetea. Kama iliweza kusamehewa ingekoma kuwa<br />
201