You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
walioishi kwanza duniani, Mtetezi wetu anaonyesha kesi za kila kizazi kwa kufuatana. Kila<br />
jina linatajwa, kila kesi inachunguzwa. Majina <strong>ya</strong>nakubaliwa, majina <strong>ya</strong>nakataliwa. Wakati<br />
mtu ye yote anakuwa na zambi zinazodumu kwa vitabu v<strong>ya</strong> ukumbusho, zisizoungamwa na<br />
kusamehewa, majina <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>tafutwa katika kitabu cha uzima. Bwana akamwambia Musa:<br />
“Mutu aliyenikosea, ndiye nitakayemwondosha katika kitabu changu.” Kutoka 32:33.<br />
Wote waliotubu kwa kweli na katika imani wakadai damu <strong>ya</strong> Kristo kama kafara <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />
upatanishi walipata rehema wakaingia katika vitabu v<strong>ya</strong> mbinguni. Kwa namna wanafanywa<br />
washiriki wa haki wa Kristo na tabia zao zinaonekana kuwa katika umoja na sheria <strong>ya</strong> Mungu,<br />
zambi zao zitafutwa mbali, na watahesabiwa wenyekustahili uzima wa milele. Bwana<br />
anasema: “Mimi, ndiye anayefuta makosa <strong>ya</strong>ko kwa ajili <strong>ya</strong>ngu mwenyewe; nami<br />
sitakumbuka zambi zako.” “Yeye anayeshinda atavikwa nguo nyeupe, wala sitaondosha jina<br />
lake katika kitabu cha uzima; nami nitakiri jina lake mbele <strong>ya</strong> Baba <strong>ya</strong>ngu, na mbele <strong>ya</strong><br />
malaika zake.’‘ “Basi kila mtu anayenikiri mbele <strong>ya</strong> watu, nitamukiri vilevile mbele <strong>ya</strong> Baba<br />
<strong>ya</strong>ngu aliye mbinguni.” Isa<strong>ya</strong> 43:25; Ufunuo 3:5; Matayo 10:32,33.<br />
Mtetezi wa kimungu anaonyesha maombi <strong>ya</strong>le yote <strong>ya</strong> walioshinda kwa njia <strong>ya</strong> imani<br />
katika damu <strong>ya</strong>ke wapate kurudishwa kwa makao <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> Edeni na kuvikwa taji kama kuwa<br />
wariti pamoja naye mwenyewe kwa “mamlaka <strong>ya</strong> mwanzo.” Mika 4:8. Sasa Kristo anauliza<br />
<strong>ya</strong> kuwa mpago wa kimungu katika kuumbwa kwa mtu upate kutimizwa kama kwamba mtu<br />
hakuanguka kamwe. Anauliza kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake si rehema tu na kuhesabiwa haki, bali<br />
sehemu katika utukufu wake na kukaa kwa kiti chake cha enzi.<br />
Wakati Yesu anapoombea watu neema <strong>ya</strong>ke, Shetani anawashitaki mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Anaonyesha ukumbusho wa maisha, upungufu wa tabia, kuwa na tofauti kwa Kristo, kwa<br />
zambi zote alizowajaribu nazo kufan<strong>ya</strong>. Kwa sababu <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> anawadai kuwa watu<br />
wake.<br />
Yesu haruhusu zambi zao, lakini anaonyesha toba <strong>ya</strong>o na imani. Anapoomba msamaha<br />
kwa ajili <strong>ya</strong>o, anainua mikono <strong>ya</strong>ke iliyojeruhiwa mbele <strong>ya</strong> Baba, kusema: Nimewachora kwa<br />
viganja v<strong>ya</strong> mikono <strong>ya</strong>ngu. “Zabihu za Mungu ni roho <strong>ya</strong> kuvunjika, moyo uliovunjika na<br />
toba hutauzarau, Ee Mungu.” Zaburi 51:17.<br />
Bwana Anahamakia Shetani<br />
Na kwa mushitaki anasema: “Bwana akuhamakie, Ee Shetani. Ndiyo Bwana aliyechagua<br />
Yerusalema, akuhamakie. Hiki si kinga kilichoondoshwa katika moto?” Zekaria 3:2. Kristo<br />
atavika waaminifu wake kwa haki <strong>ya</strong>ke mwenyewe, ili aweze kuwaonyesha kwa Baba <strong>ya</strong>ke<br />
“kanisa la utukufu, pasipo alama wala kikunjo wala kitu cho chote kama hivi.” Waefeso 5:27.<br />
Ndivyo itakavyotimilika utimilizo kamili wa ahadi <strong>ya</strong> maagano map<strong>ya</strong>: “Maana<br />
nitasamehe uovu wao, wala zambi <strong>ya</strong>o sitakumbuka tena.” “Katika siku zile na wakati ule,<br />
anasema Bwana, uovu wa Israeli utatafutikana, wala uovu hapana; na zambi za Yuda<br />
zitafutikana, wala hazitaonekana.” “Na itakuwa, yeye aliyeachwa katika Sayuni, na yeye<br />
198