12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

walioishi kwanza duniani, Mtetezi wetu anaonyesha kesi za kila kizazi kwa kufuatana. Kila<br />

jina linatajwa, kila kesi inachunguzwa. Majina <strong>ya</strong>nakubaliwa, majina <strong>ya</strong>nakataliwa. Wakati<br />

mtu ye yote anakuwa na zambi zinazodumu kwa vitabu v<strong>ya</strong> ukumbusho, zisizoungamwa na<br />

kusamehewa, majina <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>tafutwa katika kitabu cha uzima. Bwana akamwambia Musa:<br />

“Mutu aliyenikosea, ndiye nitakayemwondosha katika kitabu changu.” Kutoka 32:33.<br />

Wote waliotubu kwa kweli na katika imani wakadai damu <strong>ya</strong> Kristo kama kafara <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />

upatanishi walipata rehema wakaingia katika vitabu v<strong>ya</strong> mbinguni. Kwa namna wanafanywa<br />

washiriki wa haki wa Kristo na tabia zao zinaonekana kuwa katika umoja na sheria <strong>ya</strong> Mungu,<br />

zambi zao zitafutwa mbali, na watahesabiwa wenyekustahili uzima wa milele. Bwana<br />

anasema: “Mimi, ndiye anayefuta makosa <strong>ya</strong>ko kwa ajili <strong>ya</strong>ngu mwenyewe; nami<br />

sitakumbuka zambi zako.” “Yeye anayeshinda atavikwa nguo nyeupe, wala sitaondosha jina<br />

lake katika kitabu cha uzima; nami nitakiri jina lake mbele <strong>ya</strong> Baba <strong>ya</strong>ngu, na mbele <strong>ya</strong><br />

malaika zake.’‘ “Basi kila mtu anayenikiri mbele <strong>ya</strong> watu, nitamukiri vilevile mbele <strong>ya</strong> Baba<br />

<strong>ya</strong>ngu aliye mbinguni.” Isa<strong>ya</strong> 43:25; Ufunuo 3:5; Matayo 10:32,33.<br />

Mtetezi wa kimungu anaonyesha maombi <strong>ya</strong>le yote <strong>ya</strong> walioshinda kwa njia <strong>ya</strong> imani<br />

katika damu <strong>ya</strong>ke wapate kurudishwa kwa makao <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> Edeni na kuvikwa taji kama kuwa<br />

wariti pamoja naye mwenyewe kwa “mamlaka <strong>ya</strong> mwanzo.” Mika 4:8. Sasa Kristo anauliza<br />

<strong>ya</strong> kuwa mpago wa kimungu katika kuumbwa kwa mtu upate kutimizwa kama kwamba mtu<br />

hakuanguka kamwe. Anauliza kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake si rehema tu na kuhesabiwa haki, bali<br />

sehemu katika utukufu wake na kukaa kwa kiti chake cha enzi.<br />

Wakati Yesu anapoombea watu neema <strong>ya</strong>ke, Shetani anawashitaki mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Anaonyesha ukumbusho wa maisha, upungufu wa tabia, kuwa na tofauti kwa Kristo, kwa<br />

zambi zote alizowajaribu nazo kufan<strong>ya</strong>. Kwa sababu <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> anawadai kuwa watu<br />

wake.<br />

Yesu haruhusu zambi zao, lakini anaonyesha toba <strong>ya</strong>o na imani. Anapoomba msamaha<br />

kwa ajili <strong>ya</strong>o, anainua mikono <strong>ya</strong>ke iliyojeruhiwa mbele <strong>ya</strong> Baba, kusema: Nimewachora kwa<br />

viganja v<strong>ya</strong> mikono <strong>ya</strong>ngu. “Zabihu za Mungu ni roho <strong>ya</strong> kuvunjika, moyo uliovunjika na<br />

toba hutauzarau, Ee Mungu.” Zaburi 51:17.<br />

Bwana Anahamakia Shetani<br />

Na kwa mushitaki anasema: “Bwana akuhamakie, Ee Shetani. Ndiyo Bwana aliyechagua<br />

Yerusalema, akuhamakie. Hiki si kinga kilichoondoshwa katika moto?” Zekaria 3:2. Kristo<br />

atavika waaminifu wake kwa haki <strong>ya</strong>ke mwenyewe, ili aweze kuwaonyesha kwa Baba <strong>ya</strong>ke<br />

“kanisa la utukufu, pasipo alama wala kikunjo wala kitu cho chote kama hivi.” Waefeso 5:27.<br />

Ndivyo itakavyotimilika utimilizo kamili wa ahadi <strong>ya</strong> maagano map<strong>ya</strong>: “Maana<br />

nitasamehe uovu wao, wala zambi <strong>ya</strong>o sitakumbuka tena.” “Katika siku zile na wakati ule,<br />

anasema Bwana, uovu wa Israeli utatafutikana, wala uovu hapana; na zambi za Yuda<br />

zitafutikana, wala hazitaonekana.” “Na itakuwa, yeye aliyeachwa katika Sayuni, na yeye<br />

198

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!