Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Katika “Kitabu cha ukumbusho” kumeandikwa matendo mema <strong>ya</strong> “wale wenye kuogopa<br />
Bwana, na kufikiri juu <strong>ya</strong> jina lake.” Kila jaribu lililostahimiliwa, kila uovu uliozuiwa, kila<br />
neno la huruma lililoonyeshwa, kila tendo la (kafara), kila huzuni iliyovumiliwa kwa ajili <strong>ya</strong><br />
Kristo imeandikwa. “Umehesabu kutangatanga kwangu; Utie machozi <strong>ya</strong>ngu ndani <strong>ya</strong> chupa<br />
<strong>ya</strong>ko; Ha<strong>ya</strong> si katika kitabu chako?” Malaki 3:16; Zaburi 56:8.<br />
Mukusudi <strong>ya</strong> Siri<br />
Hapo kunakuwa pia ukumbusho wa zambi za watu. “Kwa maana Mungu ataleta kila kazi<br />
hukumuni, pamoja na kila neno la siri, kama likiwa jema ao kama likiwa ba<strong>ya</strong>.” Kila neno la<br />
bure watu watakalolisema. watatoa hesabu <strong>ya</strong> neno hili siku <strong>ya</strong> hukumu.” “Kwa masemo <strong>ya</strong>ko<br />
utahesabiwa haki, na kwa masemo <strong>ya</strong>ko utahukumiwa.” Makusudi <strong>ya</strong> siri <strong>ya</strong>naonekana katika<br />
kitabu, kwa maana Mungu “atatia nuru maneno <strong>ya</strong>liyofichwa katika giza, na kuonyesha<br />
makusudi <strong>ya</strong> mioyo.” Muhubiri 12:14; Matayo 12:36,37; 1 Wakorinto 4:5. Mbele <strong>ya</strong> kila jina<br />
katika vitabu v<strong>ya</strong> mbinguni kunaingia kila neno ba<strong>ya</strong>, kila tendo la choyo, kila mapashwa<br />
<strong>ya</strong>siyotimizwa, na kila zambi <strong>ya</strong> siri. Maonyo <strong>ya</strong>liyotumwa na mbingu ao makaripio<br />
<strong>ya</strong>siyojaliwa, n<strong>ya</strong>kati zilizotumiwa bure, mvuto uliotumiwa kwa wema ao kwa uba<strong>ya</strong> pamoja<br />
na matokeo <strong>ya</strong> mwisho wake wa mbali, <strong>ya</strong>naandikwa yote kwa taratibu na malaika<br />
mwandishi.<br />
Kipimo cha Hukumu<br />
Sheria <strong>ya</strong> Mungu ni kipimo katika hukumu. “Ogopa Mungu, na shika amri zake; maana<br />
maneno ha<strong>ya</strong> ni yote inayofaa mtu kufan<strong>ya</strong>. Kwa maana Mungu ataleta kila kazi hukumuni.”<br />
“Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria <strong>ya</strong> uhuru.” Muhubiri<br />
12:13,14; Yakobo 2:12.<br />
Wale “wanaohesabiwa kuwa wamestahili” watakuwa na sehemu katika ufufuko wa wenye<br />
haki, Yesu akasema: “Lakini wale watakaohesabiwa kuwa wamestahili kupata dunia ile na<br />
kufufuka kutoka wafu,... ni wana wa Mungu, wakiwa wana wa ufufuo.” “Wale waliofan<strong>ya</strong><br />
mema watafufuka kwa ufufuko wa uzima.” Luka 20:35,36; Yoane 5:29. Wafu wenye haki<br />
hawatafufuliwa hata baada <strong>ya</strong> hukumu ambayo watakayohesabiwa kuwa wamestahili kwa<br />
“ufufuo wa uzima.” Kwa sababu hiyo hawatakuwako katika nafsi wakati vilivyoandikwa juu<br />
<strong>ya</strong> vingali na chunguzwa kesi zao kukatwa.<br />
Yesu atatokea kama mwombezi wao, kutetea kwa ajili <strong>ya</strong>o mbele <strong>ya</strong> Mungu. “Na Kama<br />
mtu yeyote akitenda zambi, tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki.” “Kwa<br />
sababu Kristo hakuingia katika Pahali patakatifu palipofanywa kwa mikono, ndio mfano wa<br />
kweli, lakini aliingia mbinguni zenyewe, aonekane sasa mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa ajili yetu.”<br />
“Naye, kwa sababu hii anaweza pia kuwaokoa wanaokuja kwake Mungu kwa njia <strong>ya</strong>ke;<br />
maana yeye ni hai siku zote apate kuwaombea.” 1 Yoane 2:1; Waebrania 7:25; 9:24.<br />
Wakati vitabu v<strong>ya</strong> ukumbusho vinapofunguliwa katika hukumu, maisha <strong>ya</strong> wote<br />
walioamini kwa Yesu <strong>ya</strong>nakuja katika ukumbusho mbele <strong>ya</strong> Mungu. Kuanzia kwa wale<br />
197