12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

zote, namna gani atakosa kututolea vitu vyote pamoja naye?” Yesu asema: “Kama ninyi mulio<br />

waba<strong>ya</strong> munajua kuwapa watoto wenu zawadi njema, si zaidi Baba yenu aliye katika mbingu<br />

atawapa wote wanaomwomba Roho Mtakatifu?” “Kama mukiomba neno gani kwa jina langu,<br />

nitalifan<strong>ya</strong>.” “Mwombe, na mutapata, furaha yenu itimizwe.” Waroma 8:32; Luka 11:13;<br />

Yoane 14:14; 16:24.<br />

Ni heshima <strong>ya</strong> kila mumoja kuishi ambako Mungu atakao kubali na kubarikia. Si mapenzi<br />

<strong>ya</strong> Baba yetu wa mbinguni <strong>ya</strong> kuwa tupate kuwa chini <strong>ya</strong> hukumu na giza. Hapo hakuna<br />

ushuhuda wa unyenyekevu wa kweli katika kwenda pamoja na kichwa cha kuinama chini na<br />

moyo unaojaa na mawazo <strong>ya</strong> uchoyo. Tunaweza kwenda kwa Yesu na kutakaswa na<br />

kusimama mbele <strong>ya</strong> sheria pasipo ha<strong>ya</strong> na majuto.<br />

Katika Yesu wana wa Adamu walioanguka wanakuwa “wana wa Mungu.” Kwa sababu<br />

hii haoni ha<strong>ya</strong> kuwaita ndugu zake.” Maisha <strong>ya</strong> mkristo <strong>ya</strong>napaswa kuwa <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> imani moja,<br />

ushindi, na furaha katika Mungu. “Maana furaha <strong>ya</strong> Bwana ni nguvu zenu.” “Furahini siku<br />

zote. Ombeni pasipo kuacha. Katika maneno yote mushukuru; maana maneno ha<strong>ya</strong> ni<br />

mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kwenu katika Kristo Yesu.” Waebrania 2:11; Nehemia 8:10; 1<br />

Watesalonika 5:16-18.<br />

Ha<strong>ya</strong> ndiyo <strong>ya</strong>navyokuwa matunda <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong> Biblia na utakaso; na ni kwa sababu <strong>ya</strong><br />

kanuni kubwa za haki zilizo wekwa katika sheria zinaangaliwa kwa kutojali kwamba matunda<br />

ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nashuhudiwa kwa shida. Hii ndiyo sababu hapo kunaonyeshwa kidogo sana kazi<br />

nyingi ile, yenye kudumu <strong>ya</strong> Roho ambayo iliyoonyesha maamsha <strong>ya</strong> kwanza.<br />

Ni kwa kutazama ile tunakuwa wenye kubadilika. Wakati amri hizo takatifu ambamo<br />

Mungu amefungulia watu ukamilifu na utakatifu wa tabia <strong>ya</strong>ke zimezarauliwa, na akili za<br />

watu zimevutwa kwa mafun-disho na maelezo <strong>ya</strong> watu, hapo kulifuatwa na upungufu wa<br />

utawa katika kanisa. Ni wakati tu sheria <strong>ya</strong> Mungu imerudishwa kwa hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> haki ndipo<br />

pale panaweza kuwa na muamsho wa imani <strong>ya</strong> zamani za kwanza na utawa miongoni mwa<br />

watu wake wanaojulikana.<br />

195

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!