12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

zao kwa kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke. Hawatalegeza wala kuchafua sadaka wanayotoa kwa Baba<br />

wao wa mbinguni kwa anasa <strong>ya</strong> tamaa wala ulafi.<br />

Furaha yote <strong>ya</strong> zambi inaelekea kuzoofisha na kuua fahamu za akili na za kiroho; Neno<br />

wala Roho <strong>ya</strong> Mungu inaweza kufan<strong>ya</strong> mguso mdogo kwa moyo. “Tujisafishe wenyewe kwa<br />

uchafu wote wa mwili na wa roho, tukitimiza utakatifu katika woga wa Mungu.” 2 Wakorinto<br />

7:1.<br />

Ni wangapi wanaojitangaza kuwa Wakristo wanaoharibu sura <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kimungu kwa ulafi,<br />

kwa kunywa mvinyo, kwa anasa zilizokatazwa. Na kanisa vivyo hivyo hushawishi uovu, kwa<br />

kujaza tena mali <strong>ya</strong>ke ambayo mapendo kwa Kristo ni zaifu sana kutoa. Kama Kristo<br />

angeingia kwa makanisa <strong>ya</strong> leo na kutazama karamu iliyofanywa pale kwa jina la dini, je,<br />

hangalifukuza wale wakufuru, kama alivyofukuzia mbali wabadili feza kwa hekalu?<br />

“Hamujui <strong>ya</strong> kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, muliyepewa<br />

na Mungu? Na ninyi si mali yenu wenyewe; kwa sababu mulinunuliwa kwa bei; basi tukuzeni<br />

Mungu katika mwili wenu na katika roho yenu, maana ni <strong>ya</strong> Mungu.” 1 Wakorinto 6:19,20.<br />

Yeye ambaye mwili wake ni hekalu la Roho Mtakatifu hatafanywa mtumwa wa desturi<br />

mba<strong>ya</strong>. Nguvu zake ni za Kristo. Mali <strong>ya</strong>ke ni <strong>ya</strong> Bwana. Namna gani angetapan<strong>ya</strong> hazina<br />

uliyo gabiziwa?<br />

Wanaojitangaza kuwa Wakristo kila mwaka wanatumia feza nyingi kwa anasa mba<strong>ya</strong>.<br />

Mungu wanamuiba kwa zaka na sadaka, wanapoteketeza kwa mazabahu <strong>ya</strong> tamaa mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

kuharibu zaidi kuliko wanavyotoa kwa kusaidia maskini ao kusaidia maendeleo <strong>ya</strong> habari<br />

njema. Kama wote wanaoshuhudia Kristo wangetakaswa kwa kweli, mali <strong>ya</strong>o, badala <strong>ya</strong><br />

kuitumia kwa anasa za bure na zenye hasara, <strong>ya</strong>ngerudishwa katika hazina <strong>ya</strong> Bwana.<br />

Wakristo wangetoa mufano wa kiasi na kujitoa kafara. Ndipo wangekuwa nuru <strong>ya</strong><br />

ulimwengu.<br />

“Tamaa <strong>ya</strong> mwili, na tamaa <strong>ya</strong> macho, na kiburi cha maisha” (1 Yoane 2:16) zinatawala<br />

wingi wa watu. Lakini wafuasi wa Kristo wanakuwa na mwito takatifu. “Tokeni katikati <strong>ya</strong>o,<br />

mukatengwa nao, Bwana anasema, wala musiguse kitu kisicho safi.” Kwa wale wanaokubali<br />

pamoja na mapatano, ahadi za Mungu ni “Nitakuwa baba kwenu, nanyi mutakuwa kwangu<br />

wana na binti, Bwana Mwenyezi anasema.” 2 Wakorinto 6:17,18.<br />

Kila hatua <strong>ya</strong> imani na utii inaleta nafsi kwa uhusiano wa karibu sana na Nuru <strong>ya</strong><br />

Ulimwengu. Mwangaza safi wa Jua la Haki unaangazia juu <strong>ya</strong> watumishi wa Mungu, na<br />

wanapaswa kurudisha mishale <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong>ke. Nyota zinatwambia kwamba hapo kuna nuru<br />

katika mbingu na kwa utukufu wake zinangaa; kwa hivi Wakristo wanaonyesha kwamba hapo<br />

kuna Mungu kwa kiti cha enzi ambaye tabia <strong>ya</strong>ke ni bora <strong>ya</strong> sifa na <strong>ya</strong> kuiga. Utakatifu wa<br />

tabia <strong>ya</strong>ke utaonyeshwa katika ushuhuda wake.<br />

Katika sifa njema za Kristo tunakuwa na ruhusa <strong>ya</strong> kukaribia kwa kiti cha Mwenye uwezo<br />

usio na mwisho (Mungu). “Yeye asiyeachilia Mwana wake, lakini alimutoa kwa ajili yetu<br />

194

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!