You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
zao kwa kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke. Hawatalegeza wala kuchafua sadaka wanayotoa kwa Baba<br />
wao wa mbinguni kwa anasa <strong>ya</strong> tamaa wala ulafi.<br />
Furaha yote <strong>ya</strong> zambi inaelekea kuzoofisha na kuua fahamu za akili na za kiroho; Neno<br />
wala Roho <strong>ya</strong> Mungu inaweza kufan<strong>ya</strong> mguso mdogo kwa moyo. “Tujisafishe wenyewe kwa<br />
uchafu wote wa mwili na wa roho, tukitimiza utakatifu katika woga wa Mungu.” 2 Wakorinto<br />
7:1.<br />
Ni wangapi wanaojitangaza kuwa Wakristo wanaoharibu sura <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kimungu kwa ulafi,<br />
kwa kunywa mvinyo, kwa anasa zilizokatazwa. Na kanisa vivyo hivyo hushawishi uovu, kwa<br />
kujaza tena mali <strong>ya</strong>ke ambayo mapendo kwa Kristo ni zaifu sana kutoa. Kama Kristo<br />
angeingia kwa makanisa <strong>ya</strong> leo na kutazama karamu iliyofanywa pale kwa jina la dini, je,<br />
hangalifukuza wale wakufuru, kama alivyofukuzia mbali wabadili feza kwa hekalu?<br />
“Hamujui <strong>ya</strong> kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, muliyepewa<br />
na Mungu? Na ninyi si mali yenu wenyewe; kwa sababu mulinunuliwa kwa bei; basi tukuzeni<br />
Mungu katika mwili wenu na katika roho yenu, maana ni <strong>ya</strong> Mungu.” 1 Wakorinto 6:19,20.<br />
Yeye ambaye mwili wake ni hekalu la Roho Mtakatifu hatafanywa mtumwa wa desturi<br />
mba<strong>ya</strong>. Nguvu zake ni za Kristo. Mali <strong>ya</strong>ke ni <strong>ya</strong> Bwana. Namna gani angetapan<strong>ya</strong> hazina<br />
uliyo gabiziwa?<br />
Wanaojitangaza kuwa Wakristo kila mwaka wanatumia feza nyingi kwa anasa mba<strong>ya</strong>.<br />
Mungu wanamuiba kwa zaka na sadaka, wanapoteketeza kwa mazabahu <strong>ya</strong> tamaa mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
kuharibu zaidi kuliko wanavyotoa kwa kusaidia maskini ao kusaidia maendeleo <strong>ya</strong> habari<br />
njema. Kama wote wanaoshuhudia Kristo wangetakaswa kwa kweli, mali <strong>ya</strong>o, badala <strong>ya</strong><br />
kuitumia kwa anasa za bure na zenye hasara, <strong>ya</strong>ngerudishwa katika hazina <strong>ya</strong> Bwana.<br />
Wakristo wangetoa mufano wa kiasi na kujitoa kafara. Ndipo wangekuwa nuru <strong>ya</strong><br />
ulimwengu.<br />
“Tamaa <strong>ya</strong> mwili, na tamaa <strong>ya</strong> macho, na kiburi cha maisha” (1 Yoane 2:16) zinatawala<br />
wingi wa watu. Lakini wafuasi wa Kristo wanakuwa na mwito takatifu. “Tokeni katikati <strong>ya</strong>o,<br />
mukatengwa nao, Bwana anasema, wala musiguse kitu kisicho safi.” Kwa wale wanaokubali<br />
pamoja na mapatano, ahadi za Mungu ni “Nitakuwa baba kwenu, nanyi mutakuwa kwangu<br />
wana na binti, Bwana Mwenyezi anasema.” 2 Wakorinto 6:17,18.<br />
Kila hatua <strong>ya</strong> imani na utii inaleta nafsi kwa uhusiano wa karibu sana na Nuru <strong>ya</strong><br />
Ulimwengu. Mwangaza safi wa Jua la Haki unaangazia juu <strong>ya</strong> watumishi wa Mungu, na<br />
wanapaswa kurudisha mishale <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong>ke. Nyota zinatwambia kwamba hapo kuna nuru<br />
katika mbingu na kwa utukufu wake zinangaa; kwa hivi Wakristo wanaonyesha kwamba hapo<br />
kuna Mungu kwa kiti cha enzi ambaye tabia <strong>ya</strong>ke ni bora <strong>ya</strong> sifa na <strong>ya</strong> kuiga. Utakatifu wa<br />
tabia <strong>ya</strong>ke utaonyeshwa katika ushuhuda wake.<br />
Katika sifa njema za Kristo tunakuwa na ruhusa <strong>ya</strong> kukaribia kwa kiti cha Mwenye uwezo<br />
usio na mwisho (Mungu). “Yeye asiyeachilia Mwana wake, lakini alimutoa kwa ajili yetu<br />
194